Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,247
Huyu jamaa ni msomi na mahiri mno wa uchumi ndio mana huwezi kukuta anakosolewa na profesa yeyote wa uchumi maana wanamuogopa sana. Maprofesa wengi waliunga unga lakini Mwingulu straight kutoka Mzumbe na alipiga first class UDSM wakati maprofesa wengi hawana hii. Profesa kama Semboja degree yake ya kwanza ni ualimu yaani B.A with education kwa hiyo siyo mchumi real.
Mwigulu hakupenda tu kufundisha UDSM lakini angependa angekuwa lecturer achana na akina Zitto wenye 2.7 GPA halafu wanajiita wachumi. Kipindi cha nyuma Zitto alikuwa anawachachafya sana Mawaziri wa Fedha kwa vi theories vyake lakini Sasa hivi amekutana na mwamba haoni pa kukosoa na akikosoa tu Mwigulu atamshukia kama mwewe.
Mwigulu hakupenda tu kufundisha UDSM lakini angependa angekuwa lecturer achana na akina Zitto wenye 2.7 GPA halafu wanajiita wachumi. Kipindi cha nyuma Zitto alikuwa anawachachafya sana Mawaziri wa Fedha kwa vi theories vyake lakini Sasa hivi amekutana na mwamba haoni pa kukosoa na akikosoa tu Mwigulu atamshukia kama mwewe.