Mama Samia Suluhu na Mwigulu Nchemba, huu ni ushauri wangu kwenu nnaoamini wenye manufaa makubwa kwa uchumi wa Tanzania.

FaizaFoxy

Platinum Member
Apr 13, 2011
92,883
109,212
Kabla ya kuanza ushauri wangu nachukuwa nafasi jujitambulisha.

Kwa wasionielewa, binafsi nilifanya kazi kwa miaka mingi sana nje ya Tanzania. Kazi zangu zote zilihusu sayansi ya mawasiliano na biashara. Nilipostaafu nje huko, nilirudi nyumbani nikafunguwa kazi za Ushauri wa Kibiashara (Business Consultancy) nayo ikazaa kazi zingine kadhaa ndogo ndogo. Sasa ni nusu Mstaafu (semi retired) na kazi zote nazifanya kutokea nyumbani kwangu.

Ushauri Wangu :

Kwa kuwa Tanzania tumedhamiria na tumeshaamuwa kuukuza uchumi kwa kukaribisha wawekezaji ili wawekeze Tanzania. Hilo ni jambo jema sana.

Ili tupate mafanikio ya haraka kama nchi na wananchi. Naamini mafanikio yoyote ya nchi kwanza ni muhimu sana yaonekane kwa maisha ya wananchi siyo kwenye takwimu tu. Kila mwanachi ni lazima yeye mwenyewe binagsi ayahisi mabadiliko, siyo mpaka zipigwe propaganda za kumuaminisha mwananchi kuwa Tanzania kuna mafanikio. Kama wsle. Ndugu zangu (Waarabu wa kuchovya) ambao ukimuuliza wewe kabila gani? Kukujibu mpaka aanze kwa kuapa "Wallahi mimi Mwarabu" 😂😂😂. Kwa nchi yenye mageuzi ya kweli ya kimaendeleo haitakiwi iwe hivyo hivyo, maendeleo na mafanikio ayahisi mwenyewe mwananchi.

Ni muhimu sana mambo mengibya namna tunavyoyaendesha kwenye uchumi wetu ni lazima tuyabadilishe haraka sana. Kwa kuanzia nashauri tuanze na mawili makubwa lakini ni myepesi sana serikali kuyatekeleza. Yataanza juonesha athari chanya mara moja (positive results).

1) "Peg" Kigingi.

Kwa haraka sana tuiwekee vigingi (peg) Shillingi yetu ili tuifungamanishe na pesa za nje zinazitumika kwa wingi kwenye biashara za kimataifa. Tunaweza juweka vigingi (pegs) kwenye sarafu nyingi tu duniani. Ingawa duniani huko ilizoweleka sana kuweka kigingi kwenye US Dollar peke yake, lakini dunia ya leo na mambo yanavyobadilika kwa haraka, si kazima kuweka kigingi kwenye sarafu (currency) moja tu.

Kwa kufanya hivyo kwenye biashara yetu kwa miaka mingi usoni hakutakuwa na mifumuko (inflation) zabghafla kwa bidhaa zetu kama ilivyo sasa.

Wafanya biashara na serikali wstsweza kupanga bajeti zao za mapato na matumizi kwa ufanisi zaidi.

Tutawavuta wawekezaji wengi wakubwa sana ambao kwa sasa uwekezaji wao wote unadhaminiwa kwa sarafu za nchi wanazowekeza kuwa na vigingi.

Ni vigumu kuwsvuta Tanzania. Wawekezaji wenye mitaji mikubwa kama hatuna dhamana ya uwekezaji wao kubaki na thamani ile ile ndani ya muda wa kurudisha mitaji yao (ROI), ambao mara nyingi huwa kati ya miaka 2 mpaka 5. Na dhamananrahusi ninkuwa nansarafu isyopanda na kushuka, yqani iwe pegged. Mfano, kuna nchi duniani huko leo miaka 40 mpaka 50 sarafu zao na.zingine zimebaki kiwango kile kile (stable).

Wakulima wetu watakuwa na uhakika wa bei za mazao yao wakati wote.

Walaji, wananchi walio wengi, watakuwa na uhakika wa kufanya bajeti nzuri za matumizi yetu kwa kipato chetu.

Sarafu yetu itakuwepo kwenye soko la kimataifa na tunaweza kusafiri nayo na kuibadilisha kwa thamani inayojukina bila tatizo lolote (convertible), siyo kama ilivyo sasa. Mpaka inaitwa *pesa ya madafu".


2) "Same rate taxation on everything".

Kodi zetu za mapato kwa serikali tuzibadili ziwe na kiwango kimoja tu cha kupigia mahesabu ya kodi. Siyo kama ilivyo sasa, kila kitu na namna yake ya mahesabu na vitu vinaongezeka kila siku. Hii ya kodi kuwa na viwango vingi vya namna nyingi tofauti kunafanya mianya ya rushwa iwe mingi sana na wizi wa ujwepaji kodi unaongezeka.

Hayo mawili kwa sasa yanatosha kabisa kuanzia, ni mambo yaliyopo duniani huko.

Mama na Mwigulu huu ni ushauri muhimu sana.

Nawasilisha na nakaribisha maswali.
 
Kumbe kweli huyu FaizaFoxy ni bibi, na kashastafu
Tumia fursa hii uulize maswali ya uchumi na biashara kijana. Gharama zangu ukija kwangu ni kubwa sana, huziwezi. Hapa JF unachota bure.


Au bofya chini hapo uulize chochote upendacho 👇🏾

 
Hapo "Kugingisha sarafu yetu na sarafu nyingine " sijakuelewa kwanza inaonekana ni kitu complex unajaribu tu kurahisisha
Hapana siyo complex, inabidi serikali ijiamini sera zake za uchumi kwa sababu ndiyo kufanya hivyo kunanyanyuwa sana uchumi.

. Serikali isiyofanya hivyo ni ngumu sana" kutobowa".


Kwa Tanzania kwa dhahabu na almasi tuliyonayo ni vyepesi sana kufanya hivyo.
Ni Mahesabu tu ya kiuchumi ya kuwa na reserve ya dhahabu kiasi fulani wakati wote kwenye hazina yetu. Kupanda na kushuka inakuwa hiyo reserve yetu huko BOT kwa Tanzania. Ni Kinga inapotokea hasara ya kushuka au kupanda thamani za sarafu, unakuwa na kinga kwa wananchi wasiumie Kiuchumi.

Wachezaji wa masoko ya sarafu za kimataifa wawe wazuri tu pale BOT, ambao Tanzania tunavyo vichwa vinavyoweza kufanya hayo, kama Rished Bade, siku mbili tatu anapata uzoefu wa kusimamia na kufundisha vijana.
 
Kabla ya kuanza ushauri wangu nachujuwa nafasi jujitambulisha.

Kwa wasionielewa, binafsi nilifanya kazi kwa miaka mingi sana nje ya Tanzania. Kazi zangu zote zilihusu sayansi ya mawasiliano na biashara. Nilipostaafu nje huko, nilirudi nyumbani nikafunguwa kazi za Ushauri wa Kibiashara (Business Consultancy) nayo ikazaa kazi zingine kadhaa ndogo ndogo. Sasa ni nusu Mstaafu (semi retired) na kazi zote nazifanya kutokea nyumbani kwangu.

Ushauri Wangu :

Kwa kuwa Tanzania tumedhamiria na tumeshaamuwa kuukuza uchumi kwa kukaribisha wawekezaji ili wawekeze Tanzania. Hilo ni jambo jema sana.

Ili tupate mafanikio ya haraka kama nchi na wananchi. Naamini mafanikio yoyote ya nchi kwanza ni muhimu sana yaonekane kwa maisha ya wananchi siyo kwenye takwimu tu. Kila mwanachi ni lazima yeye mwenyewe binagsi ayahisi mabadiliko, siyo mpaka zipigwe propaganda za kumuaminisha mwananchi kuwa Tanzania kuna mafanikio. Kama wsle. Ndugu zangu (Waarabu wa kuchovya) ambao ukimuuliza wewe kabila gani? Kukujibu mpaka aanze kwa kuapa "Wallahi mimi Mwarabu" 😂😂😂. Kwa nchi yenye mageuzi ya kweli ya kimaendeleo haitakiwi iwe hivyo hivyo, maendeleo na mafanikio ayahisi mwenyewe mwananchi.

Ni muhimu sana mambo mengibya namna tunavyoyaendesha kwenye uchumi wetu ni lazima tuyabadilishe haraka sana. Kwa kuanzia nashauri tuanze na mawili makubwa lakini ni myepesi sana serikali kuyatekeleza. Yataanza juonesha athari chanya mara moja (positive results).

1) "Peg" Kigingi.

Kwa haraka sana tuiwekee vigingi (peg) Shillingi yetu ili tuifungamanishe na pesa za nje zinazitumika kwa wingi kwenye biashara za kimataifa. Tunaweza juweka vigingi (pegs) kwenye sarafu nyingi tu duniani. Ingawa duniani huko ilizoweleka sana kuweka kigingi kwenye US Dollar peke yake, lakini dunia ya leo na mambo yanavyobadilika kwa haraka, si kazima kuweka kigingi kwenye sarafu (currency) moja tu.

Kwa kufanya hivyo kwenye biashara yetu kwa miaka mingi usoni hakutakuwa na mifumuko (inflation) zabghafla kwa bidhaa zetu kama ilivyo sasa.

Wafanya biashara na serikali wstsweza kupanga bajeti zao za mapato na matumizi kwa ufanisi zaidi.

Tutawavuta wawekezaji wengi wakubwa sana ambao kwa sasa uwekezaji wao wote unadhaminiwa kwa sarafu za nchi wanazowekeza kuwa na vigingi.

Ni vigumu kuwsvuta Tanzania. Wawekezaji wenye mitaji mikubwa kama hatuna dhamana ya uwekezaji wao kubaki na thamani ile ile ndani ya muda wa kurudisha mitaji yao (ROI), ambao mara nyingi huwa kati ya miaka 2 mpaka 5. Na dhamananrahusi ninkuwa nansarafu isyopanda na kushuka, yqani iwe pegged. Mfano, kuna nchi duniani huko leo miaka 40 mpaka 50 sarafu zao na.zingine zimebaki kiwango kile kile (stable).

Wakulima wetu watakuwa na uhakika wa bei za mazao yao wakati wote.

Walaji, wananchi walio wengi, watakuwa na uhakika wa kufanya bajeti nzuri za matumizi yetu kwa kipato chetu.

Sarafu yetu itakuwepo kwenye soko la kimataifa na tunaweza kusafiri nayo na kuibadilisha kwa thamani inayojukina bila tatizo lolote (convertible), siyo kama ilivyo sasa. Mpaka inaitwa *pesa ya madafu".


2) "Same rate taxation on everything".

Kodi zetu za mapato kwa serikali tuzibadili ziwe na kiwango kimoja tu cha kupigia mahesabu ya kodi. Siyo kama ilivyo sasa, kila kitu na namna yake ya mahesabu na vitu vinaongezeka kila siku. Hii ya kodi kuwa na viwango vingi vya namna nyingi tofauti kunafanya mianya ya rushwa iwe mingi sana na wizi wa ujwepaji kodi unaongezeka.

Hayo mawili kwa sasa yanatosha kabisa kuanzia, ni mambo yaliyopo duniani huko.

Mama na Mwigulu huu ni ushauri muhimu sana.

Nawasilisha na nakaribisha maswali.
Nimekupenda kuliko jana
 
Wewe hujui chochote unajua madhara ya fixed exchange rate na kwa nini wameamua kutumia flexible. Shuda yetu iko hapa kila mtu kujifanya anajua kila kitu! Wewe mwenyewe hapo unafikiri umeshauri kitu cha maana!
 
Kabla ya kuanza ushauri wangu nachukuwa nafasi jujitambulisha.

Kwa wasionielewa, binafsi nilifanya kazi kwa miaka mingi sana nje ya Tanzania. Kazi zangu zote zilihusu sayansi ya mawasiliano na biashara. Nilipostaafu nje huko, nilirudi nyumbani nikafunguwa kazi za Ushauri wa Kibiashara (Business Consultancy) nayo ikazaa kazi zingine kadhaa ndogo ndogo. Sasa ni nusu Mstaafu (semi retired) na kazi zote nazifanya kutokea nyumbani kwangu.

Ushauri Wangu :

Kwa kuwa Tanzania tumedhamiria na tumeshaamuwa kuukuza uchumi kwa kukaribisha wawekezaji ili wawekeze Tanzania. Hilo ni jambo jema sana.

Ili tupate mafanikio ya haraka kama nchi na wananchi. Naamini mafanikio yoyote ya nchi kwanza ni muhimu sana yaonekane kwa maisha ya wananchi siyo kwenye takwimu tu. Kila mwanachi ni lazima yeye mwenyewe binagsi ayahisi mabadiliko, siyo mpaka zipigwe propaganda za kumuaminisha mwananchi kuwa Tanzania kuna mafanikio. Kama wsle. Ndugu zangu (Waarabu wa kuchovya) ambao ukimuuliza wewe kabila gani? Kukujibu mpaka aanze kwa kuapa "Wallahi mimi Mwarabu" 😂😂😂. Kwa nchi yenye mageuzi ya kweli ya kimaendeleo haitakiwi iwe hivyo hivyo, maendeleo na mafanikio ayahisi mwenyewe mwananchi.

Ni muhimu sana mambo mengibya namna tunavyoyaendesha kwenye uchumi wetu ni lazima tuyabadilishe haraka sana. Kwa kuanzia nashauri tuanze na mawili makubwa lakini ni myepesi sana serikali kuyatekeleza. Yataanza juonesha athari chanya mara moja (positive results).

1) "Peg" Kigingi.

Kwa haraka sana tuiwekee vigingi (peg) Shillingi yetu ili tuifungamanishe na pesa za nje zinazitumika kwa wingi kwenye biashara za kimataifa. Tunaweza juweka vigingi (pegs) kwenye sarafu nyingi tu duniani. Ingawa duniani huko ilizoweleka sana kuweka kigingi kwenye US Dollar peke yake, lakini dunia ya leo na mambo yanavyobadilika kwa haraka, si kazima kuweka kigingi kwenye sarafu (currency) moja tu.

Kwa kufanya hivyo kwenye biashara yetu kwa miaka mingi usoni hakutakuwa na mifumuko (inflation) zabghafla kwa bidhaa zetu kama ilivyo sasa.

Wafanya biashara na serikali wstsweza kupanga bajeti zao za mapato na matumizi kwa ufanisi zaidi.

Tutawavuta wawekezaji wengi wakubwa sana ambao kwa sasa uwekezaji wao wote unadhaminiwa kwa sarafu za nchi wanazowekeza kuwa na vigingi.

Ni vigumu kuwsvuta Tanzania. Wawekezaji wenye mitaji mikubwa kama hatuna dhamana ya uwekezaji wao kubaki na thamani ile ile ndani ya muda wa kurudisha mitaji yao (ROI), ambao mara nyingi huwa kati ya miaka 2 mpaka 5. Na dhamananrahusi ninkuwa nansarafu isyopanda na kushuka, yqani iwe pegged. Mfano, kuna nchi duniani huko leo miaka 40 mpaka 50 sarafu zao na.zingine zimebaki kiwango kile kile (stable).

Wakulima wetu watakuwa na uhakika wa bei za mazao yao wakati wote.

Walaji, wananchi walio wengi, watakuwa na uhakika wa kufanya bajeti nzuri za matumizi yetu kwa kipato chetu.

Sarafu yetu itakuwepo kwenye soko la kimataifa na tunaweza kusafiri nayo na kuibadilisha kwa thamani inayojukina bila tatizo lolote (convertible), siyo kama ilivyo sasa. Mpaka inaitwa *pesa ya madafu".


2) "Same rate taxation on everything".

Kodi zetu za mapato kwa serikali tuzibadili ziwe na kiwango kimoja tu cha kupigia mahesabu ya kodi. Siyo kama ilivyo sasa, kila kitu na namna yake ya mahesabu na vitu vinaongezeka kila siku. Hii ya kodi kuwa na viwango vingi vya namna nyingi tofauti kunafanya mianya ya rushwa iwe mingi sana na wizi wa ujwepaji kodi unaongezeka.

Hayo mawili kwa sasa yanatosha kabisa kuanzia, ni mambo yaliyopo duniani huko.

Mama na Mwigulu huu ni ushauri muhimu sana.

Nawasilisha na nakaribisha maswali.
Kwajinsi ulivyofanya uzaandiki kwa taifa langu kwenye swala la DP world nashindwa kuamini ushauri wako na inawezekana wewe si mbara
 
Inaonesha una madini tena yenye uzito na faida kwa taifa letu ila umeamua uanze kimtego kwa lugha nyingine/ kabla ya kuwasilisha yale yenyewe unapima kwanza umma tumekaaje!!
Anyway karibu sana wala usiruhusu yeyote kukwamisha dhamira yko na kupotelea hewani. 🙏
 
FIRST Class Economist Hawezi Kununua Hii, Na Majibu Yake Ni Rahisi Tu: Currence Pegin And Same Rate Taxation Havijui, Kwa Kuwa Haviko Kwenye Syllabus Ya Bcom Pale Ud.
Kwa Bcom, Pale Ud, Mkazo Uko Kwenye Tozo, Tozo Na Tozo Tu.
Ndiyo shule za kusomea ujinga hizo.

Brazil waliweka "simplified tax system" walianzia kwenye biashara ndogo, tax zote na tozo zote sijui import, vat, usafi, mabango, zikajumuishwa na kuwa tax moja tu, kiwango kimoja tu kwa bidhaa zote. tena ikafanywa ndogo, kama sikosei, ilifanywa 30% flat rate, inajumuisha kila kitu. Hakuna kutozwa tozo au ushuru wowote baada ya hapo. Hakuna vigezo wala nini.


Kodi moja tu ukiingiza mzigo, unalipa 30% ukitengeneza kiwandani unalipa 30%

Ukiuza dukani 30% hakuna makadirio, kilichouzwa mwaka mzima ndicho unacholipia. Basi wafanyabiashara wenyewe wakaomba wawe wanalipa kila mwezi, kuweka wahasibu wa kila mwaka inawagharimu, wakaambiwa haya.


GDP ya Brazil ilipanda mpaka kufikia ongezeko la 26% kwa mwaka.

India wakaiga hiyo, wakanyanyuka vibaya sana . Hakuna mkwepa kodi hapo.

Ndiyo kina Dubai, wanafanya hivyo hivyo, hakuna mlolongo wa kodi Dubai mpaka imefikia unaambiwa hakuna kodi,
 
Kabla ya kuanza ushauri wangu nachukuwa nafasi jujitambulisha.

Kwa wasionielewa, binafsi nilifanya kazi kwa miaka mingi sana nje ya Tanzania. Kazi zangu zote zilihusu sayansi ya mawasiliano na biashara. Nilipostaafu nje huko, nilirudi nyumbani nikafunguwa kazi za Ushauri wa Kibiashara (Business Consultancy) nayo ikazaa kazi zingine kadhaa ndogo ndogo. Sasa ni nusu Mstaafu (semi retired) na kazi zote nazifanya kutokea nyumbani kwangu.

Ushauri Wangu :

Kwa kuwa Tanzania tumedhamiria na tumeshaamuwa kuukuza uchumi kwa kukaribisha wawekezaji ili wawekeze Tanzania. Hilo ni jambo jema sana.

Ili tupate mafanikio ya haraka kama nchi na wananchi. Naamini mafanikio yoyote ya nchi kwanza ni muhimu sana yaonekane kwa maisha ya wananchi siyo kwenye takwimu tu. Kila mwanachi ni lazima yeye mwenyewe binagsi ayahisi mabadiliko, siyo mpaka zipigwe propaganda za kumuaminisha mwananchi kuwa Tanzania kuna mafanikio. Kama wsle. Ndugu zangu (Waarabu wa kuchovya) ambao ukimuuliza wewe kabila gani? Kukujibu mpaka aanze kwa kuapa "Wallahi mimi Mwarabu" 😂😂😂. Kwa nchi yenye mageuzi ya kweli ya kimaendeleo haitakiwi iwe hivyo hivyo, maendeleo na mafanikio ayahisi mwenyewe mwananchi.

Ni muhimu sana mambo mengibya namna tunavyoyaendesha kwenye uchumi wetu ni lazima tuyabadilishe haraka sana. Kwa kuanzia nashauri tuanze na mawili makubwa lakini ni myepesi sana serikali kuyatekeleza. Yataanza juonesha athari chanya mara moja (positive results).

1) "Peg" Kigingi.

Kwa haraka sana tuiwekee vigingi (peg) Shillingi yetu ili tuifungamanishe na pesa za nje zinazitumika kwa wingi kwenye biashara za kimataifa. Tunaweza juweka vigingi (pegs) kwenye sarafu nyingi tu duniani. Ingawa duniani huko ilizoweleka sana kuweka kigingi kwenye US Dollar peke yake, lakini dunia ya leo na mambo yanavyobadilika kwa haraka, si kazima kuweka kigingi kwenye sarafu (currency) moja tu.

Kwa kufanya hivyo kwenye biashara yetu kwa miaka mingi usoni hakutakuwa na mifumuko (inflation) zabghafla kwa bidhaa zetu kama ilivyo sasa.

Wafanya biashara na serikali wstsweza kupanga bajeti zao za mapato na matumizi kwa ufanisi zaidi.

Tutawavuta wawekezaji wengi wakubwa sana ambao kwa sasa uwekezaji wao wote unadhaminiwa kwa sarafu za nchi wanazowekeza kuwa na vigingi.

Ni vigumu kuwsvuta Tanzania. Wawekezaji wenye mitaji mikubwa kama hatuna dhamana ya uwekezaji wao kubaki na thamani ile ile ndani ya muda wa kurudisha mitaji yao (ROI), ambao mara nyingi huwa kati ya miaka 2 mpaka 5. Na dhamananrahusi ninkuwa nansarafu isyopanda na kushuka, yqani iwe pegged. Mfano, kuna nchi duniani huko leo miaka 40 mpaka 50 sarafu zao na.zingine zimebaki kiwango kile kile (stable).

Wakulima wetu watakuwa na uhakika wa bei za mazao yao wakati wote.

Walaji, wananchi walio wengi, watakuwa na uhakika wa kufanya bajeti nzuri za matumizi yetu kwa kipato chetu.

Sarafu yetu itakuwepo kwenye soko la kimataifa na tunaweza kusafiri nayo na kuibadilisha kwa thamani inayojukina bila tatizo lolote (convertible), siyo kama ilivyo sasa. Mpaka inaitwa *pesa ya madafu".


2) "Same rate taxation on everything".

Kodi zetu za mapato kwa serikali tuzibadili ziwe na kiwango kimoja tu cha kupigia mahesabu ya kodi. Siyo kama ilivyo sasa, kila kitu na namna yake ya mahesabu na vitu vinaongezeka kila siku. Hii ya kodi kuwa na viwango vingi vya namna nyingi tofauti kunafanya mianya ya rushwa iwe mingi sana na wizi wa ujwepaji kodi unaongezeka.

Hayo mawili kwa sasa yanatosha kabisa kuanzia, ni mambo yaliyopo duniani huko.

Mama na Mwigulu huu ni ushauri muhimu sana.

Nawasilisha na nakaribisha maswali.
Leo umeongea vyema kabisa,
na hapo ndo nakupendaga.
Mwenye kusikia na akusome vizuri.
Maua yako nakupa🌷🌹🌻
 
We ustdhati mi nataka uje kule kwenye uzi wako uliotuita tuje kukutongoza.
Huku sijakuelewa kabisa.
Kwanza umekosea kosea maneno hadi hueleweki labda kipindi unaandika ulikuwa umeshakula kungu.
 
Ndiyo shule za kusomea ujinga hizo.

Brazil waliweka "simplified tax system" walianzia kwenye biashara ndogo, tax zote na tozo zote sijui import, vat, usafi, mabango, sikajumuisha na kuwa tax moja tu, kiwango kimoja tu kwa bidhaa zote. tena ikafanywa ndogo, kama sikosei, ilifanywa 30% flat rate, inajumuisha kila kitu. Hakuna kutozwa tozo au ushuru wowote baada ya hapo. Hakuna vigezo wala nini.


Kodi moja tu ukiingiza mzigo, unalipa 30% ukitengeneza kiwandani unalipa 30%

Ukiuza dukani 30% hakuna makadirio, kilichouzwa mwaka mzima ndicho unacholpia. Basi wafanya biashara wenyewqe wakaomba wawe wanalipa kila mwezi, kuweka wahasibu wa kila mwaka inawagharimu, wakaambiwa haya.


GDP ya Brazil ilipanda mpaka kufikia 26% kwa mwaka.

India wakaiga hiyo, wakanyanyuka vibaya sana . Hakuna mkwepa kodi hapo.

Ndiyo kina Dubai, wanafanya hivyo hivyo, hakuna mlolongo wa kodi Dubai mpaka imefikia unaambiwa hakuna kodi,
Kuna jambo la msingi la kufanya kwa serekali yetu,italazimu kujipima kwanza je tunaviwanda vinavyolisha ndani ya nchi kwa kiasi gani?, tunaweza kulifanya hili lakini ni lazima tuwe na viwanda ndani ya nchi vya kutosha.
 
Wewe hujui chochote unajua madhara ya fixed exchange rate na kwa nini wameamua kutumia flexible. Shuda yetu iko hapa kila mtu kujifanya anajua kila kitu! Wewe mwenyewe hapo unafikiri umeshauri kitu cha maana!
Wewe hata unachokisoma huelewi. nani kaandika "fixed" mimi nimeandika "Peg" au Kiswahili chake ni kihgingi.

ni tofauti kabisa na "fixed rate".


Wewe tafadhali piga goti nikupe elimu la mambo haya. Usitake kabisa kushindana kwa usiyoyajuwa. Siwezi kutowa shauri kitu cha kusadikika. Kanisome vizuri, nimeka "cons and pros".


Kumbuka, huwa sikisii.

Na huu ushauri unaendelea, hayo mawili nimeanzia tu.
 
Kuna jambo la msingi la kufanya kwa serekali yetu,italazimu kujipima kwanza je tunaviwanda vinavyolisha ndani ya nchi kwa kiasi gani?, tunaweza kulifanya hili lakini ni lazima tuwe na viwanda ndani ya nchi vya kutosha.
Siyo viwanda tu, inategemea kiwanda kipi. Hilo nililoshauri ndilo litavutia watu wafanye viwanda. Sisi tuna mali asili yenye thamani kuliko kiwanda chochote duniani.

Tuna raw materials za viwanda, baadhi ya hizo ndiyo dhamana yetu, hatujuwi kuzitumia rasilmali zatu za asili zikatuletea viwanda.

Kutuondowa huko tulipo ndiyo nimeweka ushauri huu. Viwanda serikali ilishashindwa kuviendesha toka wakati wa Nyerere. Huko tuwawachie watu binafsi.

Kwanza hakuna dhamana mbovu kwenye mambo ya uchumi mkubwa kama kiwanda au mashamba.


Huwa sikisii.
 
Kwajinsi ulivyofanya uzaandiki kwa taifa langu kwenye swala la DP world nashindwa kuamini ushauri wako na inawezekana wewe si mbara
Wewe huna ulijuwalo. Piga goti tukutowe tongotongo za ubongo. Huelewi uchumi wala biashara za bandari.

Suala la DP World lina nini?
 
Interesting subject...
Binafsi nafikiri hii mipango ya kurudisha wizara ya Mipango..hili liwe sehemu ya agenda...
Kuwe na watu wa mipango na watendaji......

Kuhusu peg...nimeshangaa Sana inflation inatusumbua kisa dollars wakati kumbe tunge peg Kwa Euro ni currency stable zaidi kuliko dollars...
Wazo lako la Ku peg Kwa currency nyingi zaidi ni better...
Na alieharibu utaratibu wa serikali kununua Dhahabu alituuumiza zaidi..
Tuwe na reserve ya Dhahabu ya kutosha Ku offset hizi inflation kila mara zikijitokeza..
 
Back
Top Bottom