Mwigulu: Membe, Sitta Hawatapata Urais

Mwigulu: Membe, Sitta Hawatapata Urais

Status
Not open for further replies.
2015 hakuna kukimbia tunataka mdahalo wakitaifa.

Mbombea wa ccm lazima asima kupiga mdahalo wala mara tatu na wagombea wa upinzani.

Hatutaki tena watu kukimbia kujadili masuala ya lazima na muhimu kwa taifa na kuishia majungu na propaganda majukwaani
 
Kwa sasa nguvu ya lowasa ni kama sunami akuna anaeweza kuizuiya hata kidogo.kuna mashati yalioandikwa friends of lowasa plz mwenye kujua yalipo let me know am officialy team lowasa from now
 
Cha ajabu Lowasa mwenyewe amesema hela anazotoa kwenye harambee sio zake anapewa na wafadhili/marafiki wake ingawa hajawataja ila kwa akili ya kawaida ni wafanyabiashara. kwa maana hyo hao marafiki ndio watakaofanikisha aingie madarakani kama Raisi kama itawezekana. Hofu yangu ni je akipata madaraka atawadai kodi! au washatoa kodi anayogawa sasa hv! Je kwa mujibu wa J.K Nyerere mtu kama huyu atakayepelekwa ikulu na genge la wezi anafaa kuwa rais? jibu ni Big NO! tumwogope kama ukimwi au Malaria.
 
2015 hakuna kukimbia tunataka mdahalo wakitaifa.

Mbombea wa ccm lazima asima kupiga mdahalo wala mara tatu na wagombea wa upinzani.

Hatutaki tena watu kukimbia kujadili masuala ya lazima na muhimu kwa taifa na kuishia majungu na propaganda majukwaani

mkuu mbombea ni mdudu gani na asima ni nini.
 
Dr Slaa hawezi kuja kuwa Rais wa JMT hata siku moja labda awe rais wa chama cha mapadre walioasi au rais wa chama cha wazee wenye jazba tz atapata...2015 ni LOWASSA au Dr MAGUULI au LT.COL.MEMBE tu
 
Hivi ule mkwara wa Nape kuhusu wanaotangaza nia kabla ya muda ulikuwa kwa ajili ya wengine tu na sio Lowassa? Watanzania wenzangu tukiruhusu mtu huyu kuwa rais wa nchi yetu tutalia na kusaga meno kabla ya kiama hapahapa nchini kwetu tumkatae kwa nguvu zote
 
Dr Slaa hawezi kuja kuwa Rais wa JMT hata siku moja labda awe rais wa chama cha mapadre walioasi au rais wa chama cha wazee wenye jazba tz atapata...2015 ni LOWASSA au Dr MAGUULI au LT.COL.MEMBE tu

kwani hao ulowatja hawana dini?

Unataka kutuambia Mohsin wa misri na msimamo wa itikadi kali alikuwa shekhe?

Au yule jamaa aliemaliza mda wake kule iran Ahmed Nijad alikuwa Shekhe?

Au yule wa ehood wa islael ni askofu ?
 
mkuu mbombea ni mdudu gani na asima ni nini.


Mkuu makosa madogo ya uchapaji yaani mgombea au candidate


quote_icon.png
By adolay
2015 hakuna kukimbia tunataka mdahalo wakitaifa.

Mgombea wa ccm lazima asimame kupiga mdahalo wala mara tatu na wagombea wa upinzani.

Hatutaki tena watu kukimbia kujadili masuala ya lazima na muhimu kwa taifa na kuishia majungu na propaganda majukwaani
 
Mwigulu yupo upande upi wa wawania urais?
 
kama maneno hayo alitamka mhe Nchemba basi huenda kukawa na ukweli huo kwani mhe Nchemba ana ushawishi ndani ya chama na watu wengi wanavyosema hata kwenye vyombo vya usalama.
 
Lowassa atausikia urais Radio Okorenei Simanjiro saa iyo akiwa amejipumzisha Ngarashi
 
Hii habari kati ya 2014 hadi 15 magamba watavurugana sana sababu dalili si njema, kwa huku kukalumbana kuna leta shaka.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom