Mwigulu: Membe, Sitta Hawatapata Urais

Mwigulu: Membe, Sitta Hawatapata Urais

Status
Not open for further replies.

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2009
Posts
3,444
Reaction score
265
Baada kuulizwa maswali na vijana wa Iramba walioko Mwanza kuhusu nyendo za wana CCM kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, Bw. Mwigulu alisema kwamba Wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa Rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yake ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio Rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivyoidhibit CHADEMA na kuisambaratisha CUF, hao-wengine, sijui, Membe, sijui, Sitta, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.
 
Du! Wadanganyika wanataka kukabidhi nji kwa jambazi
 
Hizo ni ndoto za asubuhi! Kufikiri umedhibiti watu ni kujidanganya, hujui kesho.
 
mwigulu nakuunga mkono 100%,ni lowasa tu 2015,hao wengne ni wanafiki wakubwa membe na sitta,!lowasa lowasa lowasa lowasa hata ukimuuliza mtoto mdogo anajua rais atakuwa edward lowasa 2015
 
Demokrasia i wapi?


Ndani ya CCM kuna tumika DOMO-GHASIA, DOLA-GHASIA na dramakrasia,mtu mchafu n'a mwivi hawez penda usafi n'a haki,kauli n'a matendo yao yanathibitisha matendo yao!!!
 
mwigulu nakuunga mkono 100%,ni lowasa tu 2015,hao wengne ni wanafiki wakubwa membe na sitta,!lowasa lowasa lowasa lowasa hata ukimuuliza mtoto mdogo anajua rais atakuwa edward lowasa 2015

Rais 2015 kamwe hawezi kutoka CCM. Babu Lowassa na kisukari chake hataweza mchakamchaka wa kuzunguka nchi nzima kujitetea kuwa ametubu dhambi za ufisadi na hatarudia tena hivyo tufunike kombe na kumpa urais
 
Mimi sitampigia kura yeyote ili mradi anagombea kupitia CCM hadi mwisho wa maisha yangu, kiapo hiki nakishuhudia JF...Eeh Mwenyezi Mungu naomba unisaidie.
 
Lowasa nenda baba!watanzania wenzangu na wanaJF Lowasa ni mtu sahihi kuwa rais 2015,tuweke itikadi zetu pembeni tumtie moyo huyu mwenzetu,ni mtu sahihi
 
Its very easy to know the brain of Mwigulu. Knowing what sort of human being he is is not tedious for sure. HE IS AN ORDINARY BAD PERSON.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom