Du! Wadanganyika wanataka kukabidhi nji kwa jambazi
we ndo jambazi tena mkata viungo vya albino.rais ajaye ni Lowasa hata mfanyeje
Du! Wadanganyika wanataka kukabidhi nji kwa jambazi
mwigulu nakuunga mkono 100%,ni lowasa tu 2015,hao wengne ni wanafiki wakubwa membe na sitta,!lowasa lowasa lowasa lowasa hata ukimuuliza mtoto mdogo anajua rais atakuwa edward lowasa 2015
Hivi bado kuna watu wanachukulia maneno ya Nape serious.Hivi ule mkwala wa nape kuhusu wanaotangaza nia kabla ya muda ulikuwa kwa ajili ya wengine tu na sio lowassa? Watanzania wenzangu tukiruhusu mtu huyu kuwa rais wa nchi yetu tutalia na kusaga meno kabla ya kiama hapahapa nchini kwetu tumkatae kwa nguvu zote
Mwigulu anadhani akili za watanzania zipo kwenye chupa kama zamani?Baada kuulizwa maswali na vijana wa iramba walioko Mwanza kuhusu nyendo za wana CCM kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, Bw. Mwigulu alisema kwamba wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa Rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yakw ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio Rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivy idhibit chadema na kuisambaratisha cuf, hao-wengine, sijui, Membe, sijui, sita, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.
Ni heri Mwigulu awe Rais kuliko Lowasa.
mwigulu nakuunga mkono 100%,ni
lowasa tu 2015,hao wengne ni wanafiki wakubwa membe na sitta,!lowasa
lowasa lowasa lowasa hata ukimuuliza mtoto mdogo anajua rais atakuwa
edward lowasa 2015
CCM hatawasimamishe malaika mimi siwezi kumpa kura yangu.Mimi sitampigia kura yeyote ili mradi anagombea kupitia CCM hadi mwisho wa maisha yangu, kiapo hiki nakishuhudia JF...Eeh Mwenyezi Mungu naomba unisaidie.
Sisi ni chadema damu,hatumtaki lowasa wala sitta.ccm tuwekeeni <shoka la mungu> j p magufuri tutamuunga mkono 100%
Ni heri job lusinde awe rais, kuliko lowasa kuwa rais!
Mwigulu na Lowassa? Then Nape na nani?
Binafsi kwa mtazamo wangu namuona Mh Lowasa kama ndio anaweza kuvaa viatu vya uraisi. Achilia mbali propaganda zinazoenezwa na wana siasa kwa ule mtindo wa siasa za maji taka. Unajua alichokifanya Lowasa kwa kuitii na kuitetea serikali ya CCM ndio kilimponza na kuwa hapa alipo sasa. Lakini ni vyema alipoamua kuwa mbuzi wa kafara kwani alijua madhara ya kuanguka kwa serikali hasa kwa serekali changa kama ilivyokuwa wakati ule anajiuzulu uwaziri mkuu.
Binafsi naamini kabisa Lowasa ni mchapa kazi na mtu wa mipango ya kupata maendeleo hasa ya nchi kwa ujumla. Kinachotusumbua sisi kukubali kama Lowasa anaweza kuvaa viatu vya uraisi na vikamtosha ni chuki zetu tulizonazo kwa utawala wa CCM. Kama tukifanya kosa tukamuacha kando basi tujue tutakuwa na miaka mingine kumi ya kupoteza na kuendelea kudorora katika nyanja ya maendeleo katika taifa letu. Tumuunge mkono Mh Lowasa ili atuvushe hapa tulipo sasa, ni kweli Tanzania inamuhitaji sana Lowasa kuliko tunavyodhani sisi kuwa Lowasa anauhitaji sana uraisi. Lowasa anaweza akaukosa uraisi lakini akaendelea na maisha yake na wala asitetereke, lakini kama Tanzania ikimkosa Lowasa kuwa raisi basi itakuwa imepoteza kitu kikubwa sana. Tuunganishe nguvu tumchague Mh Lowasa atuvushe hapa tulipo.