Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,007
- 1,259
Mwigulu rais,Ni heri Mwigulu awe Rais kuliko Lowasa.
Lusinde waziri mkuu,
Lukuvi Speaker,
Nape Nnauye makamu wa rais
Mwigulu rais,Ni heri Mwigulu awe Rais kuliko Lowasa.
DISCLAIMERMods mmeidhibitisha kauli hii?,be care jukwaa litadorora mda si mrefu
huku ni kujidanganya kwa mtu alieko mirembe,watanzania ndio wana maamuzi na sio nchemba na ccm yake,labda kama wameandaa kura za mlango wa uwani,hata ivyo mwisho wa ccm umewadia mchana kweupe 2015 watakabizi nchi kwa chadema nchemba anajua na ccm wanajua,baada kuulizwa maswali na vijana wa iramba walioko mwanza kuhusu nyendo za wana ccm kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, bw. Mwigulu alisema kwamba wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yakw ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivy idhibit chadema na kuisambaratisha cuf, hao-wengine, sijui, membe, sijui, sita, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.
Binafsi kwa mtazamo wangu namuona Mh Lowasa kama ndio anaweza kuvaa viatu vya uraisi. Achilia mbali propaganda zinazoenezwa na wana siasa kwa ule mtindo wa siasa za maji taka. Unajua alichokifanya Lowasa kwa kuitii na kuitetea serikali ya CCM ndio kilimponza na kuwa hapa alipo sasa. Lakini ni vyema alipoamua kuwa mbuzi wa kafara kwani alijua madhara ya kuanguka kwa serikali hasa kwa serekali changa kama ilivyokuwa wakati ule anajiuzulu uwaziri mkuu.
Binafsi naamini kabisa Lowasa ni mchapa kazi na mtu wa mipango ya kupata maendeleo hasa ya nchi kwa ujumla. Kinachotusumbua sisi kukubali kama Lowasa anaweza kuvaa viatu vya uraisi na vikamtosha ni chuki zetu tulizonazo kwa utawala wa CCM. Kama tukifanya kosa tukamuacha kando basi tujue tutakuwa na miaka mingine kumi ya kupoteza na kuendelea kudorora katika nyanja ya maendeleo katika taifa letu. Tumuunge mkono Mh Lowasa ili atuvushe hapa tulipo sasa, ni kweli Tanzania inamuhitaji sana Lowasa kuliko tunavyodhani sisi kuwa Lowasa anauhitaji sana uraisi. Lowasa anaweza akaukosa uraisi lakini akaendelea na maisha yake na wala asitetereke, lakini kama Tanzania ikimkosa Lowasa kuwa raisi basi itakuwa imepoteza kitu kikubwa sana. Tuunganishe nguvu tumchague Mh Lowasa atuvushe hapa tulipo.
Dr Slaa hawezi kuja kuwa Rais wa JMT hata siku moja labda awe rais wa chama cha mapadre walioasi au rais wa chama cha wazee wenye jazba tz atapata...2015 ni LOWASSA au Dr MAGUULI au LT.COL.MEMBE tu
Ni heri Mwigulu awe Rais kuliko Lowasa.
NILIVOMJUA EDWARD LOWASA
KAMA UTATUMIA akili huru utakubali maelezo haya MH EDWARD LOWASA wakati akiwa waziri mkuu alifanya mambo makubwa wakuu wa wilaya walikua wakimwogopa kwa utendaji wake kazi na si ubabaishaji, aliamua kusimamia suala la shule za kata nakupata mafanikio makubwa kabla kashfa ya Richmond haijaletwa na kumfanya ajiuzulu na kuwa kiongozi bora barani afrika kujiuzulu kwa hiari ingawa kosa hujalitenda kulinda misingi ya uwajibikaji. WENGI HAWAMJUI MH LOWASA ila naamini muda si mrefu tutatambua mh EDWARD LOWASA anatufaa . mh LOWASA A MAN OF THE PEOPLE
Dr Mwakyembe prior to delivering his report in Dodoma
Nazir Karamagi
Baada kuulizwa maswali na vijana wa iramba walioko Mwanza kuhusu nyendo za wana CCM kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, Bw. Mwigulu alisema kwamba wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa Rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yakw ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio Rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivy idhibit chadema na kuisambaratisha cuf, hao-wengine, sijui, Membe, sijui, sita, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.
Aaaah ana maana Laigwenan mkuu?Baada kuulizwa maswali na vijana wa iramba walioko Mwanza kuhusu nyendo za wana CCM kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, Bw. Mwigulu alisema kwamba wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa Rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yakw ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio Rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivy idhibit chadema na kuisambaratisha cuf, hao-wengine, sijui, Membe, sijui, sita, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.