Baada kuulizwa maswali na vijana wa iramba walioko Mwanza kuhusu nyendo za wana CCM kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, Bw. Mwigulu alisema kwamba wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa Rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yakw ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio Rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivy idhibit chadema na kuisambaratisha cuf, hao-wengine, sijui, Membe, sijui, sita, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.
mwigulu nakuunga mkono 100%,ni lowasa tu 2015,hao wengne ni wanafiki wakubwa membe na sitta,!lowasa lowasa lowasa lowasa hata ukimuuliza mtoto mdogo anajua rais atakuwa edward lowasa 2015
lowasa nenda baba!watanzania wenzangu na wanajf lowasa ni mtu sahihi kuwa rais 2015,tuweke itikadi zetu pembeni tumtie moyo huyu mwenzetu,ni mtu sahihi
Kama kweli haya maneno yametoka kwa Mwigulu ambaye ni Katibu mkuu msaidizi wa CCM basi chama kinaelekea kubaya. Tusubiri maziko yake tu.
Mwigulu na Lowassa? Then Nape na nani?
CCM imejazwa na wahuni wengi tu na wazandiki wa hali ya juu..vyovyote iwayo vile kumpigia kura kiongozi yoyote wa CCM kwenye chaguzi yoyote yenye uwakilishi wa wananchi na sawa na kumpigia fisadi kura,DR SLAA ndio chaguo langu hakika