Mwigulu: Membe, Sitta Hawatapata Urais

Mwigulu: Membe, Sitta Hawatapata Urais

Status
Not open for further replies.
Baada kuulizwa maswali na vijana wa iramba walioko Mwanza kuhusu nyendo za wana CCM kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, Bw. Mwigulu alisema kwamba wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa Rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yakw ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio Rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivy idhibit chadema na kuisambaratisha cuf, hao-wengine, sijui, Membe, sijui, sita, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.
?.
Inasikitisha kuona wale wanaojiita viongozi wanapokua na mtazamo finyu kuhusiana na suala zima linalohusu maamuzi ya wananchi. Ni nani anayewapa haki ya kuamua kwamba fulani ndie raisi ajaye ikiwa hilo ni jukumu la wananchi? na je mnafikiri kwamba nchi hii ni mali yenu ambayo mnaweza kurithishana kadri mtakavyo na kwamba watanzania ni mali yenu ambayo mtaidhibiti kadri muwezavyo Au ni wizi gani ambao mpanga kuufanya ili kujihakikishia huo ushindi?
 
Baada kuulizwa maswali na vijana wa iramba walioko Mwanza kuhusu nyendo za wana CCM kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, Bw. Mwigulu alisema kwamba wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa Rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yakw ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio Rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivy idhibit chadema na kuisambaratisha cuf, hao-wengine, sijui, Membe, sijui, sita, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.

Mwigulu na magamba menzie..yanahangaika tu hakina raisi CCM bana...
Tunatarajia CHADEMA watupe mgombea atakae kuwa raisi 2015...watapiga risasi wee...lakini tuna mtaka waliemnyang'anya kura 2010...mzee mwenye busara na akili nyingisana!! kwasasa tuseme tu ukweli..hakuna kama Dr Slaa!
 
mimi ni cdm damu,ccm itakapo mteuwa j p magufuri nitamuunga mkono 100%
 
Kama CCM itampitisha Lowassa kugombea urais basi kwa namna moja ama nyingne watakua wameraisisha harakati za ukombozi na CHADEMA itachukua nchi kiulaini. Dr.Slaa ndie tumain letu.
 
Hatuwezi kukabidhi nchi kwa janga lingine zaidi ya hili lililopo,nyayo zilezile huyu alitumia miskiti,huyu anatumia makanisa....janga lingine linakuja..tusitegemee mabadiliko...kama aliweza kuwa na kampuni hewa iliyokuwa inalipwa mabilion ya pesa akiwa w/mkuu akiwa rais itakuwaje?
EL hana aibu hata kidogo,pamoja na kashifa ya Richmond..bado anataka kuwa rais..makubwa!!
EL akiwa rais atauza nchi kabisa kwa kuwa hana mishipa ya aibu.
 
Sisi ni chadema damu,hatumtaki lowasa wala sitta.ccm tuwekeeni <shoka la mungu> j p magufuri tutamuunga mkono 100%
 
lowasa nenda baba!watanzania wenzangu na wanajf lowasa ni mtu sahihi kuwa rais 2015,tuweke itikadi zetu pembeni tumtie moyo huyu mwenzetu,ni mtu sahihi

kwa akili zako fupi kama hizi...sitashangaa kama utakubali mama ako mzazi aachwe kisa hawara wa baba ako...
 
ugolo wa bibi!jenga hoja ndugu,matusi hayana mashiko karne hii!kosa ni lipi hapo?
 
Baada kuulizwa maswali na vijana wa iramba walioko Mwanza kuhusu nyendo za wana CCM kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, Bw. Mwigulu alisema kwamba wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa Rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yakw ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio Rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivy idhibit chadema na kuisambaratisha cuf, hao-wengine, sijui, Membe, sijui, sita, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.


Lowasa mchafu sana.

Kwanini alijiuzuru uwaziri mkuu?
 
Baada kuulizwa maswali na vijana wa iramba walioko Mwanza kuhusu nyendo za wana CCM kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, Bw. Mwigulu alisema kwamba wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa Rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yakw ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio Rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivy idhibit chadema na kuisambaratisha cuf, hao-wengine, sijui, Membe, sijui, sita, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.

source please kabla sijachangia chochote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom