Mwigulu: Membe, Sitta Hawatapata Urais

Mwigulu: Membe, Sitta Hawatapata Urais

Status
Not open for further replies.
mwigulu nakuunga mkono 100%,ni lowasa tu 2015,hao wengne ni wanafiki wakubwa membe na sitta,!lowasa lowasa lowasa lowasa hata ukimuuliza mtoto mdogo anajua rais atakuwa edward lowasa 2015

Rais wa monduli
 
Baada kuulizwa maswali na vijana wa Iramba walioko Mwanza kuhusu nyendo za wana CCM kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, Bw. Mwigulu alisema kwamba Wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa Rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yake ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio Rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivyoidhibit CHADEMA na kuisambaratisha CUF, hao-wengine, sijui, Membe, sijui, Sitta, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.
mchumi number moja Tanzania akiwa kazini...
 
Heri Mbu wakae ikulu kuliko CCM, ni heri NRA waingie ikulu kuliko CCM kubaki sehemu hiyo, kila mtu anapigwa risasi hiyo ni ikulu au kijiweni???
CCM ni kama ukoo wa panya......(By Nasari)
 
Watanzania tusikubali kuja kutawaliwa na manyang'au waliojaa ndani ya CCM. hatutaki kuja kuongozwa na WAUZA MADAWA YA KULEVYA(DRUG LORDS) na WAUAJI kina Mwigulu Nchemba, Edward Lowassa,Emmanuel Nchimbi,Riz Kiwete, Steven Masato Wassira na wengine kama hao!

Kwa ujumla CCM haina mtu anayeweza kuja kuwa Rais 2015. Labda kama watatumia pesa ya madawa ya kulevya kuwalewesaha watu kwa pesa hizo haramu ili wawape KULA na si KURA!

Hakika uchaguzi wa 2015 utakuwa ni wenye vituko na vichekesho vitupu!

Tusubiri!
 
Mimi huwa sichangii chochote kwenye maneno ya Mwigulu ila leo samahanini kwani ishu ya uraisi ni magitu makubwa.
Ivyo kama watampitisha EL kugombea uraisi na WADANGANYIKA wakampa kura siku hiyo hiyo nachukua uraiya wa kenya
 
hiko chama kinadhalilishwa na mjinga mmoja ambae kapewa mamlaka yasiendana na uwezo wake wa kufikiri na kutenda !

wELL wapuuzii wa kiwango hiko ndio watatusaidia kufikia mwisho salama na chama kichovu na kizee kitazikwa rasmi by November 2015.
 
Ccm wana kazi kweli kweli,hii ni kutokana na mitafaruku ya watu hawa.
Lowasa ni adui wa samweli sitta na mwakyembe.Lowasa huyo huyo haziivi na Nape,kama Lowasa haziivi na Nape, basi, hata Nape haziivi na Mwigulu kwa maana Mwigulu ni rafiki yake Lowasa.
 
Mwigulu Nchemba anaonekana hata hajui anachoongea. Huyu jamaa ni mropokaji na huwa hafikiri anachozungumza kama kinaweza kuleta madhara au faida! Huyu mnyiramba ni janga!

Yeye mwache aropoke tu lakini yeye na CCM yake HAWATABAKI SALAMA MWAKA 2015. Kuna mambo mawili ambayo yako dhahiri kabisa na lazima yatokee kwa CCM. Ni aidha CCM KITAKUFA KABISA au KITAGAWANYIKA NA KUSAMBARATIKA MOJA KWA MOJA
 
Mia kwa mia mawazo yako niyakwel kabisa waangalie wasije wakawa kama kanu wa kenya
 
Haswaa raisi wa nchi hii anjulikana ni mmoja tu mana tunautambua maamuz yake ya misimamo katka kuiongoza nchi katika mwelekeo wa uadilifu.Ni Mh Lowasa pekee..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom