Mwigulu hili hapana

Mwigulu hili hapana

Yule aliyemtolea bastola Nape inasemekana ni jambazi sugu anaesakwa na mamlaka husika muda mrefu alitokea mirembe Dodoma!!

Nchi Hii!!! Mbele ya RPC mtu anatoa bastola kisha tunaambiwa hajulikani, jamani mtupe mapumziko sote sio akilinyumbu
Siku hizi uchovu hautokani na kazi zetu bali drama za hii kaya
 
Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....
Mwigulu anatafuta kutumbuliwa. Acha atumbuliwe kwani ye nani?

Amekua makonda mpaka asitumbuliwe?
 
Ukiangalia ile video kuna watu wanne walimfuata nape
1:aliyemtolea bastola
2:alivaa shati jeupe alimuamuru yule jamaa arudishe bastola
3:alivaa Tshirt nyeusi ,jeans na sneaker alifungua mlango wa gari
4:alivaa nguo sare na jamaa aliyetoa bastola
Wote ni polisi na wanajuana mwigulu una tuzuga na je lini atapelekwa mahakamani maana wote wanajulikana ni polisi
aliyeamuru bastola irudishwe nae alikua na bastola ila hakuigusa. ila ilionekana wazi kabisa. kiunoni upande wa kulia.
 
Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....
Kaka umeua sina cha kuongeza ktk hii post nisije nikaharibu bure
 
Kuna wakati mtu unawazaaaa, hivi huyu mfalme atakuja na drama gani 2020,unakosa jibu. Matatizo ya wananchi yameisha, ngoja wayatafute kinafiki.

Wala Mwigulu si wa kumlaumu kwa sasa maana naye anashangaa...Labda naye ni njia yake ya kutokea.

Laumu kwanini anataka kupangia vyombo vya habari cha kuandika.
Tunaishi ktk kipindi ambacho mitandao ya kijamii ina nguvu kuliko hizo media wanazotaka kuzibana
 
Ukiangalia ile video kuna watu wanne walimfuata nape
1:aliyemtolea bastola
2:alivaa shati jeupe alimuamuru yule jamaa arudishe bastola
3:alivaa Tshirt nyeusi ,jeans na sneaker alifungua mlango wa gari
4:alivaa nguo sare na jamaa aliyetoa bastola
Wote ni polisi na wanajuana mwigulu una tuzuga na je lini atapelekwa mahakamani maana wote wanajulikana ni polisi
Hizo details unazozitoa mkuu ndio Sizonje asizozitaka,kama uliisikiliza ile hotuba yake kwa wamiliki wa vyombo vya habari kuwa amechukizwa sana na ile habari na picha ya yule alietoa bastola ilivyopewa airtime ktk kurasa za mbele karibia za magazeti yote nyingine zikimuonyesha wakati kaitoa nyingine wakati anarudi nyuma nyingine wakati anairudisha mfukoni yaani kwa kifupi mkuu Sizonje imemuudhi saana saaaana
 
Kwann clouds media walikodi ukumbi. Kwann hawakumuita studio akajieleza or ndio wametoa msaada kwa vyombo vingine vya habar.
 
Kwa nn na wale askari walio vamia clouds hakujitokeza na kumuagiza igp awafatilie au kwa kuwa walivaa uniform? Wao waliwatuma? Hawakupaswa kutafutwa? Mwigulu ni mnafiki na mshenzi pia.
Saaaaana tu anampaka Nape mafuta kwa mgongo wa chupa,ulafi wa madaraka ni mbaya sana unajikuta mtu unafanya maigizo hata wanao wakisikia ni aibu
 
Mwigulu naye ni msanii tu, anataka kutuaminisha kuwa wananchi hatujui kuwa hata yeye ni tiss na anafahamu mtu wa tiss hawezi kukamata hadharani bali hutoa Taarifa polisi na wao ndiyo wanaomkamata mtu
Out of topic
 
Back
Top Bottom