Mwigulu hili hapana

Mwigulu hili hapana

Basi kama mtu holela anaweza kufanya vile bila matatizo yoyote mbele ya kadamnasi, media, na mbele ya polisi na wanausalama (labda aseme na wale askari nao walikuwa fake) basi kuna failure kubwa saaaaaaaaana kwenye system nzima ya taasisi na vyombo vya usalama nchini... Ina maana saa yoyote siku yoyote mtu mwingine ataingia na silaa mahali halipo kiongozi mkubwa wa nchi na kufanya "one touch double manifastation" kwa huyo kiongozi... kama yule hakuwa askari, basi viongozi wa taasisi za usalama nchini (mwigulu included) waachie nafasi zao maramoja... tena wakiaanza na hao wanaojiita sijui vitengo sijui special vitu gani... what a shame!!!!

Kama ni askari wao basi wamshughulikie yeye na aliyemtuma, kama sio askari wao basi vyombo vya usalama vime fail wajishughulikie... "ukitchyema nchale ukimumunya nchale"
 
Nakuhakikishia yule si askari bali ni mtu aliyepangwa kufanya maigizo na kitenge....
Eti eeh! Nape inaelekea ndio alikuwa Drama Master wa chama kwa hiyo mnamuaminia kshenz?

Cool, na wale walioenda kuigiza studio za clouds nao walitumwa na nani?
 
kama nape amefanyiwa vile hata wewe utafanyiwa najua nape ana thamani kubwa ccm kuliko wewe unaosumbuliwa na njaa
Mkuu, kuku wa kisasa unawajua? Wale ni mfano hai wa hiki unachokiona.

Makuku ya kisasa unaweza kuyarundika hata 40 hapo uwani, ukaanza kuchinja mmoja baada ya mwingine. Hakuna hata kuku moja litakalojiuliza ikiwa na lenyewe litachinjwa, sana sana utaona yakidonoa damu za wenzao waliokwisha katwa makoo.

Ipo siku atakumbuka maneno yako.
 
Mkuu, kuku wa kisasa unawajua? Wale ni mfano hai wa hiki unachokiona.

Makuku ya kisasa unaweza kuyarundika hata 40 hapo uwani, ukaanza kuchinja mmoja baada ya mwingine. Hakuna hata kuku moja litakalojiuliza ikiwa na lenyewe litachinjwa, sana sana utaona yakidonoa damu za wenzao waliokwisha katwa makoo.

Ipo siku atakumbuka maneno yako.
 
Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....

Kwa hali ya kisiasa ilivyo kila mtu lazima alinde Kibarua chake. Usitegemee action yoyote
 
Mshana jr swala la yule askari usihoji uthubutu.hapa unaniangusha kwakuwa naamini unakumbuka uzuri maswali ya kujiuliza ya akina Devie Fenner.swala ni yule ni askari kwakuwa wao wana interest na kumziba Nape mdomo.Raia wote tulitaka Nape aongee ili apate nafasi ya kucheua.AMINA CHIFUPA,Alizuiwa kuongea na Press.alikufa na kuondoka na alichopanga kusema kwa umma.(ACHA WATU WATEME/WACHEUE NYONGO ZAO)
 
Mkuu, kuku wa kisasa unawajua? Wale ni mfano hai wa hiki unachokiona.

Makuku ya kisasa unaweza kuyarundika hata 40 hapo uwani, ukaanza kuchinja mmoja baada ya mwingine. Hakuna hata kuku moja litakalojiuliza ikiwa na lenyewe litachinjwa, sana sana utaona yakidonoa damu za wenzao waliokwisha katwa makoo.

Ipo siku atakumbuka maneno yako.
ha ha ha ha dah well done hadi wanakwisha mfano mzuri sana
 
Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....
Wanatufanya wajinga hawa.
 
~kwani kwa kuwa ni waziri anaweza kufahamu askari wote mmoja mmoja?....
~ok we differ!
Jiongeze mkuu, kwani IGP anajua askari wote? Tunachoangalia ni nani ataweza kumtambua na kumkamata huyu askari, flow of authority. Mwigulu-IGP-RPC-OCD-OSS-kwa huyo askari aliyetolewa chambo
 
Utakuwa unaumwa unagoma kunywa dawa wewe. Jina lako ama langu ni majina kama mengine. Sina laana niko huru kuliko wewe. Hivi ukisema nina laana ndo tayari inakuwepo?. Haaahaaahaaahaaa, kuwaza siyo sare usitake tuwaze sare wote hiyo itakuwa ajali.
Aliyekuponza ni huyo aliyekukaririsha hiyo elimu bila kukupa uhuru ktk kichwa chako.
Majuha mnajuana. Povu linakumwagika kila tundu.
 
mkuu kasaidie kutoa taharifa ktk hili suala msiwe kama wanawake kuzungumza umbea mitandaon
 
Mshana jr swala la yule askari usihoji uthubutu.hapa unaniangusha kwakuwa naamini unakumbuka uzuri maswali ya kujiuliza ya akina Devie Fenner.swala ni yule ni askari kwakuwa wao wana interest na kumziba Nape mdomo.Raia wote tulitaka Nape aongee ili apate nafasi ya kucheua.AMINA CHIFUPA,Alizuiwa kuongea na Press.alikufa na kuondoka na alichopanga kusema kwa umma.(ACHA WATU WATEME/WACHEUE NYONGO ZAO)
Nimekuelewa BOB LUSE

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom