NIYOMBARE
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,718
- 4,229
Kwakuwa mmezoea maigizo yakishamba na ukichaa wenu mnafikiri wote ni vichaa kama nyie.Nakuhakikishia yule si askari bali ni mtu aliyepangwa kufanya maigizo na kitenge....
Kwakuwa mmezoea maigizo yakishamba na ukichaa wenu mnafikiri wote ni vichaa kama nyie.Nakuhakikishia yule si askari bali ni mtu aliyepangwa kufanya maigizo na kitenge....
Eti eeh! Nape inaelekea ndio alikuwa Drama Master wa chama kwa hiyo mnamuaminia kshenz?Nakuhakikishia yule si askari bali ni mtu aliyepangwa kufanya maigizo na kitenge....
Mkuu, kuku wa kisasa unawajua? Wale ni mfano hai wa hiki unachokiona.kama nape amefanyiwa vile hata wewe utafanyiwa najua nape ana thamani kubwa ccm kuliko wewe unaosumbuliwa na njaa
Mkuu, kuku wa kisasa unawajua? Wale ni mfano hai wa hiki unachokiona.
Makuku ya kisasa unaweza kuyarundika hata 40 hapo uwani, ukaanza kuchinja mmoja baada ya mwingine. Hakuna hata kuku moja litakalojiuliza ikiwa na lenyewe litachinjwa, sana sana utaona yakidonoa damu za wenzao waliokwisha katwa makoo.
Ipo siku atakumbuka maneno yako.

kama kweli ile ilikua ni bastola.
Duh, mbavu zangu aisee. Kwamba tume itasema ile sio bastola bali simu ya tecno ready for selfie!!Utasikia yule mtu ni mkenya badaye watasema ile aliyotoa si bastola ni simu alitaka wapige selfie na Nape
Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....
ha ha ha ha dah well done hadi wanakwisha mfano mzuri sanaMkuu, kuku wa kisasa unawajua? Wale ni mfano hai wa hiki unachokiona.
Makuku ya kisasa unaweza kuyarundika hata 40 hapo uwani, ukaanza kuchinja mmoja baada ya mwingine. Hakuna hata kuku moja litakalojiuliza ikiwa na lenyewe litachinjwa, sana sana utaona yakidonoa damu za wenzao waliokwisha katwa makoo.
Ipo siku atakumbuka maneno yako.
wrote ni polisi wa makondaaliyeamuru bastola irudishwe nae alikua na bastola ila hakuigusa. ila ilionekana wazi kabisa. kiunoni upande wa kulia.
Wanatufanya wajinga hawa.Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....
Jiongeze mkuu, kwani IGP anajua askari wote? Tunachoangalia ni nani ataweza kumtambua na kumkamata huyu askari, flow of authority. Mwigulu-IGP-RPC-OCD-OSS-kwa huyo askari aliyetolewa chambo~kwani kwa kuwa ni waziri anaweza kufahamu askari wote mmoja mmoja?....
~ok we differ!
Majuha mnajuana. Povu linakumwagika kila tundu.Utakuwa unaumwa unagoma kunywa dawa wewe. Jina lako ama langu ni majina kama mengine. Sina laana niko huru kuliko wewe. Hivi ukisema nina laana ndo tayari inakuwepo?. Haaahaaahaaahaaa, kuwaza siyo sare usitake tuwaze sare wote hiyo itakuwa ajali.
Aliyekuponza ni huyo aliyekukaririsha hiyo elimu bila kukupa uhuru ktk kichwa chako.
Karibu bongo mkuuWeee noma. Bongo raha sana story zenu hadi rahaa.
ready handed=red-handedyale yale ya mtu ameshikwa ready handed unataka uchunguzi ufanyike tena
Nimekuelewa BOB LUSEMshana jr swala la yule askari usihoji uthubutu.hapa unaniangusha kwakuwa naamini unakumbuka uzuri maswali ya kujiuliza ya akina Devie Fenner.swala ni yule ni askari kwakuwa wao wana interest na kumziba Nape mdomo.Raia wote tulitaka Nape aongee ili apate nafasi ya kucheua.AMINA CHIFUPA,Alizuiwa kuongea na Press.alikufa na kuondoka na alichopanga kusema kwa umma.(ACHA WATU WATEME/WACHEUE NYONGO ZAO)