Mwigulu hili hapana

Mwigulu hili hapana

Mwigulu naye ni msanii tu, anataka kutuaminisha kuwa wananchi hatujui kuwa hata yeye ni tiss na anafahamu mtu wa tiss hawezi kukamata hadharani bali hutoa Taarifa polisi na wao ndiyo wanaomkamata mtu
 
Wafanyakazi roho juu kufukuzwa lakini hivi sasa hata polisi akiua mbele ya huyo mwigulu atakuwa hajulikani wamepewa shavu,na zaidi hashughuliki na vijipost vyenu!
 
maigizo mengine jamani ni hatari sana, Kama ni kweli kitenge naye ahojiwe

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Anaweza kuwa sahihi anaweza hasiwe askari akawa ni moja wa mwanajumuiya ya kijitonyanya pale makumbusho, maana wale hawajulikanagi kama ni askari au watumishi wa umma. Ila najua ni sehemu ya mwendelezo wa matukio ili tusahau nia yetu ni nini na tulianza na nani mpaka kufikia hapo.
 
Niliwaona polisi katika hadhara ile, kuonesha bastola pale ni sawa na ujambazi walipaswa kumkamata on the spot, kitendo cha kumwacha huru bila kumchukulia hatua ina maanisha anafahamika ni mtu wa system mwenzao. Hivyo anajulikana, kama hajulikani hilo nalo ni tatizo jingine kubwa sana kuliko bastola yenyewe. Nakubaliana nawe mshana jr kuwa hizo ni drama.
 
Ha ha haaa.. eti kama askari kweli.. halafu ukiangalia kwa nyuma kwenye lile jeans last kishamba alikua ameweka pingu mfukoni.

Yaani mtu kabeba Bastola na Pingu, na anafanya yale mbele ya watu wa usalama bado unadai eti huna uhakika.

Yote haya chanzo ni Vyeti feki.View attachment 486633
Umeniwahi nilichotaka ku comment, ukimuangalia kwenye mfuko wa tako la kushoto pingu zinaonekana dhahiri.
 
Nakuhakikishia yule si askari bali ni mtu aliyepangwa kufanya maigizo na kitenge....

Kapimwe milembe wewe, kuna maigizo mbele ya kucock bunduki mbele ya kadamnasi na RPC yupo ndani ya gari? Mbona Kaganda hakutoka kama ni maigizo au yalikuwa maigizo ya polisi? wewe jamaa mahaba yamekuzidi ipo siku utaambiwa kale nyama ya mtu na mwenyekiti wako wa kijiji wa CCM na utakula. Pathetic and runatic person.
 
Nakuhakikishia yule si askari bali ni mtu aliyepangwa kufanya maigizo na kitenge....
Sasa hapa umetuhakikishia nini, au hata maana ya kuhakiki kwako ni mzigo?
Ebu tuhakikishie kujua na huyo aliyempanga ni nani?
 
Bongo bwana wanajua kucheza segere vzr ile ishu wameizima na makontena hatutaisikia tena
 
Nchi hii ina maajabu sana hata yule manager wa Protea kaulizwa umetumwa na nani kukataza press kutofanyika akasema RPC Kinondoni lakini Leo wanasema hawakumpigia manager kufanya alivyofanya

Huyo Askari wamemkana tena ameanza na Mukulu kabisa....Hiki kizazi ni hatari sana watawala mlijuwe hilo
 
Back
Top Bottom