Mwigulu hili hapana

Mwigulu hili hapana

Leo Mshana umechemka sijui umekula maharage ya wapi....
 
Kwa nn na wale askari walio vamia clouds hakujitokeza na kumuagiza igp awafatilie au kwa kuwa walivaa uniform? Wao waliwatuma? Hawakupaswa kutafutwa? Mwigulu ni mnafiki na mshenzi pia.
Kuna harufu ya mtu kuambiwa ni mchocheziii..ngoja nione!!!
 
Hiyo simu ni nzuri sana na inatunza chaji sana lakini haina kamera ya kupiga picha watu waone
Unatumia toleo gani kwani? Kumbuka infinix sio maarufu hapa wetu hivyo wengi sana wamepigwa na zile fekelo za mvimba macho
 
Kuna vitu kuvitetea inakubidi kushare akili na sizonje. Mkutano uliandaliwa vizuri,RPC akazuia maana yake tayari walishatumwa askari kanzu. Haiwezekan leo mseme so Wa kwenu. Pingu kiunoni ilikuwa ya nini? Ni akili za Albert pekee ndizo zitakazodanganyika
 
Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....
Ndo kiongozi wetu huyu hana say tena hata angekuwa kavaaa uniforms angesema hivyo
 
Kuna vitu kuvitetea inakubidi kushare akili na sizonje. Mkutano uliandaliwa vizuri,RPC akazuia maana yake tayari walishatumwa askari kanzu. Haiwezekan leo mseme so Wa kwenu. Pingu kiunoni ilikuwa ya nini? Ni akili za Albert pekee ndizo zitakazodanganyika

Nahisi yule hakua askari kabisa ndio maana alizuiwa na kukamatwa na wale askari
 
bado hujamwelewa Mwigulu,Mwigulu anajua IGP atapewa order asifanyie kazi amri yake ,ila anachotaka ni kufikisha ujumbe kuwa "Virusi wengine bado tupo kwenye baraza la Mawaziri " .uaidhani kwa kumtoa huyo umemaliza.
Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....
 
Naona Mwigulu anasogelea mstari polepole kwa kutoa amri kwa mujibu wa mamlaka aliopewa
 
Hahahaha ameshasema yeye. Ndo final say so mawaziri wasiingilie chochote coz vibarua vitaota majani
 
Nahisi yule hakua askari kabisa ndio maana alizuiwa na kukamatwa na wale askari
Ingekuwa ni hivyo tayari mzee wa media angejitokeza na kusema aliyemtishia nape bastola amekamatwa. Leo siku ya ngapi kimya?
 
Back
Top Bottom