Mwigulu hili hapana

Mwigulu hili hapana

Ila niliona kuna polisi pale wenye sare!
Swali kwanini hawakumkamata yule bwana aliyetoa bastola kama kweli hafahamiki?
 
Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....
Daaaah ama kweli watu mnajua kung'amua. Hapo unadhihirisha utofauti wa fb na jf gt. .Wataelewa tu.
 
Kapimwe milembe wewe, kuna maigizo mbele ya kucock bunduki mbele ya kadamnasi na RPC yupo ndani ya gari? Mbona Kaganda hakutoka kama ni maigizo au yalikuwa maigizo ya polisi? wewe jamaa mahaba yamekuzidi ipo siku utaambiwa kale nyama ya mtu na mwenyekiti wako wa kijiji wa CCM na utakula. Pathetic and runatic person.
dada duu

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....
Kwa nini usiwaze kivingine kuwa ile inaweza kuwa ni dramama? Ile behavior ya anayedaiwa kuwa ni askari sio ya official wa Tz.
 
Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....
Wanatuona sote ni mburura! I wish I could be sniper
 
Kwa utawala huu, ukiwa waziri lazima uchague lipi la kusema na jinsi ya kulisema. Ukiamua kufanya kama Nape utaishia "kupangiwa kazi nyingine"!!!
Ndiyo maana wenye akili zao wanatakiwa kujiuzulu lakini kwa woga wa wakio wengi wao wameufyata. This country is getting into a very sorry state!
 
Umeona mteuliwa wa sharia alivyoshukuru kuteuliwa mpaka karibunu atoe chozi?


Mkuu ile ishu inatakiwa uzi maalumu. Ningekuwa na hyo clip ningeianzishia Uzi.

Nilibaki kinywa wazi yaani siyo kusujudi kule utadhani alikuwa mbele ya mfalme. Halafu kama ulikuwa unamwangalia kila alichokuwa anaongea mkulu alikuwa ananod kama kukubaliana nacho.

Aisee yule tusitarajiwe lolote la maana Kutoka kwa yule le professeri. TLS inabidi wasimame kidete la sivyo bwana huyu mpya ataanza nao kwa maagizo ya mkulu.
 
Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....


Yule ni Tundu Lisu ndiyo aliyetoa bastola!
 
Ajabu kuwa wale askari ni PSU askari maalum wa Rais yaani kazi yao nyingine sasa wameingia kufanya kazi nyingine, askari walioingia clouds na Daudi ni hao hao PSU walinzi wa Rais, yaani maajabu kweli Rais kageuka kuwakuta muhalifu ndani ya nchi yake, walinzi aliopewa kumlinda sana ndio wamekuwa wahalifu mitaani kutishia watu, nchi ya maajabu sana
 
Back
Top Bottom