Mwigulu azomewa vibaya Kaloleni Arusha

Mwigulu azomewa vibaya Kaloleni Arusha

Lameck uko sawa, imalizieni CCM mkishirikiana na Shonza&Mwampamba.
Mnafanya kazi nzuri sana.
 
Naona watu hawataki source ya hii habari. Kweli kuwa mwana CHADEMA ni kama kuwa mfuasi wa Kibwetele.

Akili zilizo BINAFSISHWA zina shida kweli. Mwenyekiti wako anashindwa kukaa vizuri magogoni kwa kuiwazia CHADEMA. Wewe mpiga lapa na muambulia T-shirt na kofia unatoa kauli kwa kutumia makalio.

Hivi ingekuwa CHADEMA ni Kibwetere, Wabunge wa MAGAMBA wange sahau wajibu wao wa kuihoji serikali Bungeni na kuwa kitu kimoja na Mawaziri (ambao sasa ni kama wapo likizo bungeni. Kazi zote za kujibu hoja wamekabidhiwa Wabunge wa MAGAMBA)?

Wabunge wa MAGAMBA wameshindwa kuwatetea Wananchi, wamejikita kutetea udhaifu wa serikali. Inapo fikia kila anayeikosoa serikali basi ni adui wa Wabunge wa MAGAMBA hapo ujue hamna kitu.

Hebu angalia hii:

1. CHADEMA inapambana na Wabunge wa MAGAMBA
2. CHADEMA inapambana na Mawaziri wa serikali ya CCM
3. CHADEMA inapambana na na SPIKA
4. CHADEMA inapambana na NAIBU SPIKA
5. CHADEMA inapambana na WENYEVITI WA KAMATI ZA BUNGE
6. CHADEMA inapambana na POLICCM
7. CHADEMA inapambana na WAKUU WA MIKOA
8. CHADEMA inapambana na WAKUU WA WILAYA
9. CHADEMA inapambana na WATENDAJI KATA
10. CHADEMA inapambana na WATENDAJI WA VIJIJI
11. CHADEMA inapambana na WALE JAMAA WALIOMTUMBUKIZA MWENZAO KWENYE KISIMA CHA MAJI
12. CHADEMA inapambana na ....................
 
Habari njema sana hii wana arusha hongereni kwa kumtimua huyo mzinzi na kesho mkikutana nae pigeni mayai viza huyo..

Hivi huyu Mwigulu amesahau matusi anayowatukana watu wa ukanda huo halafu leo anajipeleka huko? Kule siyo Iramba he had better know it.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Tumemaliza kaskazin cku nyingi mnafata nini uko jman ona sasa
 
chezea chuga weye...huku watu safi bhana...hakuna wale wa lumumba buku saba huku,aende kuleeee ambako hata maji ya kunywa shida.
huku watu wanapiga makila kitu,kiujumla financialy watu wako safi.
nani utampa buku saba akuelewe?
mwigulu ni majanga.
 
Chadema wakiona mambo magumu hukimbilia kuzomea! Ni utoto huo demokrasia ya kuzomea haipo popote duniani isipo kua Tanzania na ili anzishwa na Dr Slaa! Chadema mnatia aibu sana na tabia yenu ya kuzomea!
Dawa yenu ni kuzomewa mpaka mkome!!
 
Habari njema sana hii wana arusha hongereni kwa kumtimua huyo mzinzi na kesho mkikutana nae pigeni mayai viza huyo..
Hahaha hahaha kwa kweli wana arusha wanastahili pongezi kubwa.safi sana...ikiwezekana mpigeni hata mawe huyo muasherati.
 
Iupe
Matusi ya nini hapa JF nenda kwa wahuni wenzako huko ukatukane,una ondoa hadhi ya JF
Matusi yako wapi hapi? Unayajua matusi au unaongea tuu..maccm mkiambiwa ukweli mnasema mmetukanwa wakati nyie ndio wazee wa matusi mnatukana utadhani hivyo vinywa havitafuni chakula badala yake mnakunya matusi kupitia midomo. Hebu tulia dawa ikuingie vizuri.stupid!
 
[umesema kweli kuhusu A town...]Arusha sio iramba, huwezi kwenda arusha kugawa rushwa na kufanya mazingaombwe ukadhani watu watakupa kura. Mwigulu ataondoka kwa aibu sana arusha! Kata zote zitakwenda chadema! Chezea watu wa A town wewe![/QUOTE]
 
Leo nimefanya mkutano wa tatu. Sijazomewa tangu nije. Subirini majibu tar 16.

Tulia dawa ikuingie wewe mzinzi na mwizi wa wake za watu.arusha sio iramba hata ukihonga pesa ujue kula ccm na kura ni chadema..sura mbaya kama msaga sumu.kanyoe hiyo midevu...mchafu mkubwa wewe sura mbaya, roho mbaya...sijui ukoje wewe ni iziraeli mtoa roho za watu.stupid!
 
Leo nimefanya mkutano wa tatu. Sijazomewa tangu nije. Subirini majibu tar 16.

Ni kushauri ndugu yangu achana na arusha na siku ya uchaguzi uje ukimbie kabisa kutoka hapo arusha kwa sababu kama mtatumia njia zenu zile za kubadilisha ma box ya kura mtaishia kuiingiza arusha kwenye matatizo ww binafsi huna uwezo wa kupiga kampeni arusha na ukashinda na hata kimtizamo uwezi tueleza kuwa mmeshinda arusha akuna kitu kama hicho usitudanganye kabisa.
 
Safi sana,,,huyu Nchemba mdomo wake unanuka matusi!! Azomewe mpaka atakaporekebisha domo lake!! Hongereni watu wa Kaloleni>>>
 
Hivi, huu upuuzi wa vijana kupost uongo humu JF, Utaisha lini? Mimi leo nilikuwa Arusha. Mwigulu amepiga mkutano fresh mwanzo mpaka mwisho na hakuzomewa. Hii faraja mnayotafuta mitandaoni, maradhi yatakuja waumbua kifo chenu kikifika. Shame on you.
 
Chadema wakiona mambo magumu hukimbilia kuzomea! Ni utoto huo demokrasia ya kuzomea haipo popote duniani isipo kua Tanzania na ili anzishwa na Dr Slaa! Chadema mnatia aibu sana na tabia yenu ya kuzomea!

ipo Tanzania tu? We kweli jamboo, hata Tanzanite ipo Tanzania tu ila S A wanaongoza kwa kuiuza soko la dunia.
 
Safi sana, kwa MAANA NI HESHIMA KUBWA SANA KWA MUNGU KUZOMEA MAFISADI
 
Back
Top Bottom