Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Yaani the way unvyojenga hoja.Ukiona umezomewa pindi upitapo, usemapo au usimamapo mahali, basi ujue wewe ni mwiba kwa watu hao wanao kuzomea.
Mwigulu ni Mwiba katika chaguzi ndogo zinazo endelea huko Arusha, na asiondoke mpaka ahakikishe kata zote zinarudi CCM.
Yaani mtu mwenye Taahira ya akili ama Mlemavu wa Ubongo ndo anaweza ku argue in the way you used to do.
I am afraid...