DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Kama LE MUTUZkudumisha utamaduni kitu cha msingi sana,naona diaspora wamezeeka huko halafu swaga zao za ki yo yo nigga.
watu mna sura za kizee halafu swaga za kina 50-cent wapi na wapi.
Kama LE MUTUZkudumisha utamaduni kitu cha msingi sana,naona diaspora wamezeeka huko halafu swaga zao za ki yo yo nigga.
watu mna sura za kizee halafu swaga za kina 50-cent wapi na wapi.
PICHA: Mwigulu: Aonja Joto ya jiwe Washington, D.C.o
Akihutubia jioni hii kwenye sherehe za muungano Mh. Nchemba amekuwa akiongea uongo na kujaribu kuwachomekea wapinzani. Amesema wapinzani tokea siku ya kwanza Bungeni walikuwa wanafanya mpango wa kutoka Bungeni.
Ameendelea kupotosha kuwa muungano unadumu na wameongeza mambo ya muungano kwa sababa Tanganyika ( ametumia neno Tanzania Bara) ina huruma zifuatazo; huruma za muungano;
- Zanzibar isimezwe
-Tanzania isibebe mzigo wa muungano na Tanganyika
- huruma ya utu na uzalendo
Baada ya speech yake kuonyesha ku bore watu walianza zomea zomea ya Kimarekani; ambapo watu kutoka nyuma ( back benchers) walianza kupiga makofi constant. Alipo kuwa slow alichelewa ku notice hilo, lakini baadaye akagundua na kumaliza.
Ammeiponda tume ya Katiba na kusema wengi ya waTanzania hawakuongelea muungano, kwa hiyo "ana assume" wanaunga mkono muondo wa muungano uliopo. Ametumia neno "assume" "kuhisi"
OUR TAKE: jamaa anatumia assumption ku draw conclusions badala ya FACTS. Pia ame onyesha dharau kwa Zanzibar kuwa ni huruma ya Tanganyika inayo wabeba.
View attachment 154197Mwigulu Nchemba akikabidhiwa t-shirt yenye ujumbe "RUDI TANGANYIKA" TUME YA KATIBA IHESHIMIWE" "WAZANZIBAR NA WATANGANYIKA HATUBURUZWI TENA". Mh. Mwigulu aliikataa hiyo t-shirt akisitizia kuwa hakuna kitu kama Tanganyika na haiwezi kurudi; na kwa nini kupigania kitu ambacho hakiwezi kurudi tena. Hapa ilikuwa mchana nani ya Ubalozi wa Tanzania Washington DC. katikati ni balozi wa Tanzania nchini Marecan mama Mulamula
View attachment 154198
View attachment 154199
View attachment 154200
View attachment 154201
wote wale waleKama LE MUTUZ
kudumisha utamaduni kitu cha msingi sana,naona diaspora wamezeeka huko halafu swaga zao za ki yo yo nigga.
watu mna sura za kizee halafu swaga za kina 50-cent wapi na wapi.
Siwaoni kabisa wale Nyumbu wa Lumumba kwenye huu uzi.
Cc
utaifakwanza ifweero Chabruma Lizaboni Simiyu Yetu FaizaFoxy
Ungefatilia post zangu humu JF nadhani ungeona kuwa mimi ni mtu wa kwanza kuupinga huu Muungano na ni miaka mingi sasa naandika humu JF kuulizia Tanganyika yangu iko wapi?
Nilipokuwa nikiponda maamuzi ya Nyerere ya kuiuwa Tanganyika kwa miaka mingi sasa, mlikuwa hamnielewi na mlikuwa mnarusha kila aina ya matusi, sasa nawauliza kiko wapi?
Search post zangu za zamani ujionee, ndiyo utamjuwa FF ni nani.
Natamani Tanganyika irudi leo kabla ya kesho, ili Zanzibar iweze kuwa nchi ya Kiislaam.
Ungefatilia post zangu humu JF nadhani ungeona kuwa mimi ni mtu wa kwanza kuupinga huu Muungano na ni miaka mingi sasa naandika humu JF kuulizia Tanganyika yangu iko wapi?
Nilipokuwa nikiponda maamuzi ya Nyerere ya kuiuwa Tanganyika kwa miaka mingi sasa, mlikuwa hamnielewi na mlikuwa mnarusha kila aina ya matusi, sasa nawauliza kiko wapi?
Search post zangu za zamani ujionee, ndiyo utamjuwa FF ni nani.
Natamani Tanganyika irudi leo kabla ya kesho, ili Zanzibar iweze kuwa nchi ya Kiislaam.
Aliiwakilisha serekali kwenye sherehe za muungano hapa dc.. Lakini nadhani amejua kwamba hatutaki uongo wa ccm, tunataka ukweli na ujengaji wa hoja..zinazo elewekaamealikwa nanani?
Ungefatilia post zangu humu JF nadhani ungeona kuwa mimi ni mtu wa kwanza kuupinga huu Muungano na ni miaka mingi sasa naandika humu JF kuulizia Tanganyika yangu iko wapi?
Nilipokuwa nikiponda maamuzi ya Nyerere ya kuiuwa Tanganyika kwa miaka mingi sasa, mlikuwa hamnielewi na mlikuwa mnarusha kila aina ya matusi, sasa nawauliza kiko wapi?
Search post zangu za zamani ujionee, ndiyo utamjuwa FF ni nani.
Natamani Tanganyika irudi leo kabla ya kesho, ili Zanzibar iweze kuwa nchi ya Kiislaam.
Unajua hapo ndo vijana wa ccm mnapokosea.. Sisi wengine tuliokua pale wala bavicha hatuijui.. Ila tunataka mambo yaaendeshwe kwa ukweli na uwazi si ujanja ujanja.. Na kuleta hoja za uongo na umakini.. Hata watermelon lililochogwa limeandikwa tanganyika na unguja na wakati ni tanganyika na zanzibar angalia picha vzr.. Tatizo ccm hamna umakini mnakurupukaAkili za ki~Bavicha hizo, hakuna kingine!
Vijana wa ccm na wazeeSasa hawa siunaona wamejikusanya 3 baada ya kupiga bangi maana sura zao zinaonekana kwamba ni wafuasi wazuri wa fikra za mzee wa gongo+ bangi. halafu unakuja jukwaani na picha za wahuni bila aibu. bila shaka hawa watakuwa na vyeo ndani ya bavicha. yericko huyo rasta ana cheo gani maana anafanana sana na mgombea wenu mtarajiwa wa ubunge MOrogoro mjini hapo chini picha Afande sele. Inayofuata wavutaji wengine uko Marekani anayebisha aniambie tofauti ya sele na huyo wa katikati .
![]()
Ndo akili za hao vijana zolipoishia mkuukijana naamini unastahili kupelekwa wodi za milembe kwa manufaa ya umma.
Jikite kwenye hoja.
source plz vinginevyo ni uzushi mwigulu jembeeee
kidum chama
Hawakutaka aulizwe maswali. Ilikuwa one way communication. The guy lies na hana caliber ya kuongea na sisi. Hajachukua maswali kabisa.
Hajawahi kufuatwa na watu, lakini alipofuatwa DC na kupewa tshirt ya Tanganyika, aliogopa sana. Hatarudia ujinga wake tenaMkuu nimejaribu kupitia vijimambo blog naona mwishoni na hotuba yake alianza kuwaponda UKAWA wanaoidai tanganyika. Nimeshangazwa na waziri kutotenga muda wa watanzania wenzetu huko kumuuliza maswali...
Chadema Diaspora Kuna taarifa nimepewa na ndugu mmoja liyekuwa ukumbini anasema Balozi wa Tanzania nchini Marekani Bi Liberata Mulamula alishindwa kuhutubia kwa mpangilio kwa kuwa alikuwa amepakia Tungi (Amelewa) vibaya mno.