Mwigulu: Aonja Joto ya jiwe Washington, D.C.

Mwigulu: Aonja Joto ya jiwe Washington, D.C.

Chadema Diaspora

Kweli wizara ya fedha safari Hii imepata waziri na manaibu

1. Waziri degree yake inahojiwa ( ref Lipumba ) ..na uzoefu Hana
2. Naibu wa kwanza yupo busy na Siasa kuliko UCHUMI
3. Naibu wa Pili ..Huyu anaelezwa yupo busy na skirts...

Nilitegemea Mwigulu yupo USA ku push agenda Za Tanzania kwa taasis Za Breton Wood ...sio kupiga doomo ...Hiyo Ziara angemwachia NApe Sasa .
 
Last edited by a moderator:
Poleni, mliambiwa kabisa kuwa mnaenda kuongea na Mwigulu mkaahirisha kazi zenu mkaenda kumsikiliza huyo jamaa!!!! Aisee mna guts!
 
View attachment 154149

View attachment 154150

View attachment 154151
attachment.php


Hii ni dholuba aliyo kutana nayo mchana. T shirt zenye ujumbe "RUDI TANGANYIKA" "TUME YA KATIBA IHESHIMIWE" "ZANZIBAR NA TANGANYIKA HATUBURUZWI TENA"

Hapo ni ndani ya ubalozi wa Tanzania Washington, D.C.
attachment.php


attachment.php
 
sasa ngoja ndugu TASWIRA aje atuwekee mapicha ya US - OPEN , yenye kichwa cha habari MWIGULU AFUNIKA !
 
Akihutubia jioni hii kwenye sherehe za muungano Mh. Nchemba amekuwa akiongea uongo na kujaribu kuwachomekea wapinzani. Amesema wapinzani tokea siku ya kwanza Bungeni walikuwa wanafanya mpango wa kutoka Bungeni.

Ameendelea kupotosha kuwa muungano unadumu na wameongeza mambo ya muungano kwa sababa Tanganyika ( ametumia neno Tanzania Bara) ina huruma zifuatazo; huruma za muungano;
- Zanzibar isimezwe
-Tanzania isibebe mzigo wa muungano na Tanganyika
- huruma ya utu na uzalendo

Baada ya speech yake kuonyesha ku bore watu walianza zomea zomea ya Kimarekani; ambapo watu kutoka nyuma ( back benchers) walianza kupiga makofi constant. Alipo kuwa slow alichelewa ku notice hilo, lakini baadaye akagundua na kumaliza.

Ammeiponda tume ya Katiba na kusema wengi ya waTanzania hawakuongelea muungano, kwa hiyo "ana assume" wanaunga mkono muondo wa muungano uliopo. Ametumia neno "assume" "kuhisi"

OUR TAKE: jamaa anatumia assumption ku draw conclusions badala ya FACTS. Pia ame onyesha dharau kwa Zanzibar kuwa ni huruma ya Tanganyika inayo wabeba.

Who is footing the Mwigulu's USA visit bill?Again it's we tax payers who are paying for his ridiculous visits.This country is full of i.d.i.o.ts,many of them are within the ruling party of CCM.
 
Maisha ya kuishi kwa uongo ni maisha ya kitumwa, hata kama utajilimbikizia utajiri mwingi kiasi gani, kama misingi ya hoja zako imeegemea katika ghiliba na uongo, wewe ni mtumwa tu, kwa sababu nafsi yako haina dhamira huru.
 
Chadema Diaspora

Kweli wizara ya fedha safari Hii imepata waziri na manaibu

1. Waziri degree yake inahojiwa ( ref Lipumba ) ..na uzoefu Hana
2. Naibu wa kwanza yupo busy na Siasa kuliko UCHUMI
3. Naibu wa Pili ..Huyu anaelezwa yupo busy na skirts...

Nilitegemea Mwigulu yupo USA ku push agenda Za Tanzania kwa taasis Za Breton Wood ...sio kupiga doomo ...Hiyo Ziara angemwachia NApe Sasa .

Wenyewe wanasema ni kijana anayependa sana chama kuweza kufanya lolote kwaajili ya chama hivyo pale yupo kwa maslahi ya chama kiuchumi na si nchi ndio maana anafanya siasa kuliko hata Nape.....
 
Last edited by a moderator:
Jk kumpa mtu anae fanya kila kitu ni siasa Unaibu waziri tena kwa wizara nyeti kama ya Fedha ni kuwatusi watanganyika na wazanzibar!!!
 
Sasa hawa siunaona wamejikusanya 3 baada ya kupiga bangi maana sura zao zinaonekana kwamba ni wafuasi wazuri wa fikra za mzee wa gongo+ bangi. halafu unakuja jukwaani na picha za wahuni bila aibu. bila shaka hawa watakuwa na vyeo ndani ya bavicha. yericko huyo rasta ana cheo gani maana anafanana sana na mgombea wenu mtarajiwa wa ubunge MOrogoro mjini hapo chini picha Afande sele. Inayofuata wavutaji wengine uko Marekani anayebisha aniambie tofauti ya sele na huyo wa katikati .

attachment.php
 
Akihutubia jioni hii kwenye sherehe za muungano Mh. Nchemba amekuwa akiongea uongo na kujaribu kuwachomekea wapinzani. Amesema wapinzani tokea siku ya kwanza Bungeni walikuwa wanafanya mpango wa kutoka Bungeni.

Ameendelea kupotosha kuwa muungano unadumu na wameongeza mambo ya muungano kwa sababa Tanganyika ( ametumia neno Tanzania Bara) ina huruma zifuatazo; huruma za muungano;
- Zanzibar isimezwe
-Tanzania isibebe mzigo wa muungano na Tanganyika
- huruma ya utu na uzalendo

Baada ya speech yake kuonyesha ku bore watu walianza zomea zomea ya Kimarekani; ambapo watu kutoka nyuma ( back benchers) walianza kupiga makofi constant. Alipo kuwa slow alichelewa ku notice hilo, lakini baadaye akagundua na kumaliza.

Ammeiponda tume ya Katiba na kusema wengi ya waTanzania hawakuongelea muungano, kwa hiyo "ana assume" wanaunga mkono muondo wa muungano uliopo. Ametumia neno "assume" "kuhisi"

OUR TAKE: jamaa anatumia assumption ku draw conclusions badala ya FACTS. Pia ame onyesha dharau kwa Zanzibar kuwa ni huruma ya Tanganyika inayo wabeba.
Marekani wangekuwa hawafaidi Rasilimali zetu ikiwa ni pamoja na mikataba ya kijinga kwenye Nishati nina uhakika Nchemba asingeruhusiwa kuingia US...Ila Kwakuwa CCM iko kwa aajili ya maslahi mapana ya Wamarekani na kidogo sana kwa baadhi ya Watanzania, then anaruhusiwa kubwabwaja pumba zake popote pale atakapo tena kwa kodi zetu Wakulima, Wafanyakazi na wafanya biashara masikini wa Tanzania... RIP JKN
 
Back
Top Bottom