Mwigulu: Aonja Joto ya jiwe Washington, D.C.

Mwigulu: Aonja Joto ya jiwe Washington, D.C.

....
attachment.php
 
Ni upuuzi mtupu joto la jiwe liko wapi hapo? Ukiona huna la kusema ni jambo jema unyamaze kuliko kuongea vitu ambavyo havina mashiko mara kazomewa mara kapigiwa makofi mfululizo sasa tushike lipi ww yaya wa Junior Slaa?

Huku hatuzomei kwa kupiga kelele; tunakupigia makofi bila kusimama hata kama huongei point. Hiki ndio kilicho tokea, mwanzoni hakushtukia; baadaye alipo ona makofi hayasimami hata akipose kuongea akajua mambo sio mazuri. Alimaliza kwa kukatisha
 
Big Up sana makamanda. Nchemba alidhani anaongea na wana-Iramba eeh?
 
Ndio, tulikuwa tunampa haki ya kusikilwa; lakini ikabidi tumkimbize kwa zomea zomea ya makofi

.
Saafi sana ila kwa nini mmempa haki ya kusikilizwa bila yeye kutoa haki yenu ya kuuliza maswali?
Huyu jamaa Mwigulu ni wa kupuuzwa milele ndie mastermind wa ulipuaji wa mabomu Arusha.
.
 
Na akome kuwa ajipendekeza kukimbikia USA akizani kuwa waliyoyafanya ktk bunge la katiba yaliwapendezesha wtz waliowengi,tunaomba aende na ujerumani,ufaransa na Uk atakuja kuyasimulia mahintarahamwe menzake mziki atakaokutana nao huko, Mbona Tyson(Wsr) huwa aendi huko
 
Sasa hawa siunaona wamejikusanya 3 baada ya kupiga bangi maana sura zao zinaonekana kwamba ni wafuasi wazuri wa fikra za mzee wa gongo+ bangi. halafu unakuja jukwaani na picha za wahuni bila aibu. bila shaka hawa watakuwa na vyeo ndani ya bavicha. yericko huyo rasta ana cheo gani maana anafanana sana na mgombea wenu mtarajiwa wa ubunge MOrogoro mjini hapo chini picha Afande sele. Inayofuata wavutaji wengine uko Marekani anayebisha aniambie tofauti ya sele na huyo wa katikati .

attachment.php
WAZIWAZI
===>Una huyu WAZIWAZI mwenzako alivyobong'oa na kuachia MAKAMERUUNI
===>Sera ya magamba

diamond 1.jpeg diamond 2.jpeg diamond 3.jpeg

===>Afande yeye kashikilia Mtalimbo wake,hawa washabiki wa Magamba wanaonyesha MAKAMEROONI.
 
Last edited by a moderator:
Hapo penye picha ya Tanganyika na Unguja, mngeweka na Pemba pia.... afu ingependeza sherehe ka hizo msikanyage kabisa....
Afu hiyo picha mliyopga watu wanne..kumbukeni muungano ndio umewafanya hivyo...AFU MNACHEKAAAAA!!!
Nyie kweli mnaigiza...badala ya kusimamia uraia wa nchi mbili, mnakalia majungu...
 
Welcome DC Mh Mwigulu, you are not the first, it happened to Mkapa, Kikwete and Membe. Nchemba learn from this stupid mistake and never let it happens again
 
Wazee wa lumumba wanajipanga kuedit picha ili waje waseme Mwigulu chemba la mavi afunika Washington
 
Mwigulu ni janga alifikiri dc ni kinampanda au kiomboi!
 
Mwigulu ni janga la kitaifa.ni mtu hatari gaidi la ziada ambalo ula mbinu za ugaidi kila kucha
 
Nimeipanda 'RUDI TANGANYIKA" Hizo T-shirt zinapatikana wapi jamani Watz wa Marekani a.k.a Diaspora tumeni hizo T shirt China watufyatulie kwa wingi
 
Hivi kuna tofauti gani kati ya makamanda hawa wa CHADEMA
Tanzania Mgombea wao Ubunge kama walivyowahi kutuhabalisha hapa janvini na picha nyingine ni vijana watatu walioandaliwa kumcharengi Mchemba uko amerika bila shaka hawa ndio majembe ndani ya chadema.
Sasa hawa makanda wana tofauti kiupeo na kama ndio hivi CHADEMA Mnataka nini juu ya nchi hii na kundi lenu la bangi hili.

attachment.php



afande_sele4.jpg

kwahiyo challenge kwenu ccm ni dhambi?.mmezoea kusifiwa tu!,ndio maana mnasema lissu katukana waasisi wa muungano kisa eti kahoji mapungufu yao?.vp ninyi hamkumchalenji jkn ktk azimio lake la arusha?.
 
Back
Top Bottom