Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 8,246
- 12,789
Nimeipanda 'RUDI TANGANYIKA" Hizo T-shirt zinapatikana wapi jamani Watz wa Marekani a.k.a Diaspora tumeni hizo T shirt China watufyatulie kwa wingi
Naunga mkono hoja 100%
Nimeipanda 'RUDI TANGANYIKA" Hizo T-shirt zinapatikana wapi jamani Watz wa Marekani a.k.a Diaspora tumeni hizo T shirt China watufyatulie kwa wingi
Huyu ndiye Madelu Albert Mkumbo tunayemfahamu!
Hapo penye picha ya Tanganyika na Unguja, mngeweka na Pemba pia.... afu ingependeza sherehe ka hizo msikanyage kabisa....
Afu hiyo picha mliyopga watu wanne..kumbukeni muungano ndio umewafanya hivyo...AFU MNACHEKAAAAA!!!
Nyie kweli mnaigiza...badala ya kusimamia uraia wa nchi mbili, mnakalia majungu...
Hii ni dholuba aliyo kutana nayo mchana. T shirt zenye ujumbe "RUDI TANGANYIKA" "TUME YA KATIBA IHESHIMIWE" "ZANZIBAR NA TANGANYIKA HATUBURUZWI TENA"
Hapo ni ndani ya ubalozi wa Tanzania Washington, D.C.
Mwigulu next time weka Utanganyika mbele, UCCM wako hukohuko Lumumba
PICHA: Mwigulu: Aonja Joto ya jiwe Washington, D.C.
Akihutubia jioni hii kwenye sherehe za muungano Mh. Nchemba amekuwa akiongea uongo na kujaribu kuwachomekea wapinzani. Amesema wapinzani tokea siku ya kwanza Bungeni walikuwa wanafanya mpango wa kutoka Bungeni.
Ameendelea kupotosha kuwa muungano unadumu na wameongeza mambo ya muungano kwa sababa Tanganyika ( ametumia neno Tanzania Bara) ina huruma zifuatazo; huruma za muungano;
- Zanzibar isimezwe
-Tanzania isibebe mzigo wa muungano na Tanganyika
- huruma ya utu na uzalendo
Baada ya speech yake kuonyesha ku bore watu walianza zomea zomea ya Kimarekani; ambapo watu kutoka nyuma ( back benchers) walianza kupiga makofi constant. Alipo kuwa slow alichelewa ku notice hilo, lakini baadaye akagundua na kumaliza.
Ammeiponda tume ya Katiba na kusema wengi ya waTanzania hawakuongelea muungano, kwa hiyo "ana assume" wanaunga mkono muondo wa muungano uliopo. Ametumia neno "assume" "kuhisi"
OUR TAKE: jamaa anatumia assumption ku draw conclusions badala ya FACTS. Pia ame onyesha dharau kwa Zanzibar kuwa ni huruma ya Tanganyika inayo wabeba.
View attachment 154197Mwigulu Nchemba akikabidhiwa t-shirt yenye ujumbe "RUDI TANGANYIKA" TUME YA KATIBA IHESHIMIWE" "WAZANZIBAR NA WATANGANYIKA HATUBURUZWI TENA". Mh. Mwigulu aliikataa hiyo t-shirt akisitizia kuwa hakuna kitu kama Tanganyika na haiwezi kurudi; na kwa nini kupigania kitu ambacho hakiwezi kurudi tena. Hapa ilikuwa mchana nani ya Ubalozi wa Tanzania Washington DC. katikati ni balozi wa Tanzania nchini Marecan mama Mulamula
View attachment 154198
View attachment 154199
View attachment 154200
View attachment 154201
Hii ni dholuba aliyo kutana nayo mchana. T shirt zenye ujumbe "RUDI TANGANYIKA" "TUME YA KATIBA IHESHIMIWE" "ZANZIBAR NA TANGANYIKA HATUBURUZWI TENA"
Hapo ni ndani ya ubalozi wa Tanzania Washington, D.C.
PICHA: Mwigulu: Aonja Joto ya jiwe Washington, D.C.
Akihutubia jioni hii kwenye sherehe za muungano Mh. Nchemba amekuwa akiongea uongo na kujaribu kuwachomekea wapinzani. Amesema wapinzani tokea siku ya kwanza Bungeni walikuwa wanafanya mpango wa kutoka Bungeni.
Ameendelea kupotosha kuwa muungano unadumu na wameongeza mambo ya muungano kwa sababa Tanganyika ( ametumia neno Tanzania Bara) ina huruma zifuatazo; huruma za muungano;
- Zanzibar isimezwe
-Tanzania isibebe mzigo wa muungano na Tanganyika
- huruma ya utu na uzalendo
Baada ya speech yake kuonyesha ku bore watu walianza zomea zomea ya Kimarekani; ambapo watu kutoka nyuma ( back benchers) walianza kupiga makofi constant. Alipo kuwa slow alichelewa ku notice hilo, lakini baadaye akagundua na kumaliza.
Ammeiponda tume ya Katiba na kusema wengi ya waTanzania hawakuongelea muungano, kwa hiyo "ana assume" wanaunga mkono muondo wa muungano uliopo. Ametumia neno "assume" "kuhisi"
OUR TAKE: jamaa anatumia assumption ku draw conclusions badala ya FACTS. Pia ame onyesha dharau kwa Zanzibar kuwa ni huruma ya Tanganyika inayo wabeba.
View attachment 154197Mwigulu Nchemba akikabidhiwa t-shirt yenye ujumbe "RUDI TANGANYIKA" TUME YA KATIBA IHESHIMIWE" "WAZANZIBAR NA WATANGANYIKA HATUBURUZWI TENA". Mh. Mwigulu aliikataa hiyo t-shirt akisitizia kuwa hakuna kitu kama Tanganyika na haiwezi kurudi; na kwa nini kupigania kitu ambacho hakiwezi kurudi tena. Hapa ilikuwa mchana nani ya Ubalozi wa Tanzania Washington DC. katikati ni balozi wa Tanzania nchini Marecan mama Mulamula
View attachment 154198
View attachment 154199
View attachment 154200
View attachment 154201
amealikwa nanani?
View attachment 154152
View attachment 154153
View attachment 154154
Mh. Nchemba akikataa t shirt yenye ujumbe wa "rudi Tanganyika"