Mwigulu: Aonja Joto ya jiwe Washington, D.C.

Mwigulu: Aonja Joto ya jiwe Washington, D.C.

Chadema Diaspora

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2010
Posts
480
Reaction score
644
PICHA: Mwigulu: Aonja Joto ya jiwe Washington, D.C.

Akihutubia jioni hii kwenye sherehe za muungano Mh. Nchemba amekuwa akiongea uongo na kujaribu kuwachomekea wapinzani. Amesema wapinzani tokea siku ya kwanza Bungeni walikuwa wanafanya mpango wa kutoka Bungeni.

Ameendelea kupotosha kuwa muungano unadumu na wameongeza mambo ya muungano kwa sababa Tanganyika ( ametumia neno Tanzania Bara) ina huruma zifuatazo; huruma za muungano;
- Zanzibar isimezwe
-Tanzania isibebe mzigo wa muungano na Tanganyika
- huruma ya utu na uzalendo

Baada ya speech yake kuonyesha ku bore watu walianza zomea zomea ya Kimarekani; ambapo watu kutoka nyuma ( back benchers) walianza kupiga makofi constant. Alipo kuwa slow alichelewa ku notice hilo, lakini baadaye akagundua na kumaliza.

Ammeiponda tume ya Katiba na kusema wengi ya waTanzania hawakuongelea muungano, kwa hiyo "ana assume" wanaunga mkono muondo wa muungano uliopo. Ametumia neno "assume" "kuhisi"

OUR TAKE: jamaa anatumia assumption ku draw conclusions badala ya FACTS. Pia ame onyesha dharau kwa Zanzibar kuwa ni huruma ya Tanganyika inayo wabeba.


Mwigulu T shirt.jpg
Mwigulu Nchemba akikabidhiwa t-shirt yenye ujumbe "RUDI TANGANYIKA" TUME YA KATIBA IHESHIMIWE" "WAZANZIBAR NA WATANGANYIKA HATUBURUZWI TENA". Mh. Mwigulu aliikataa hiyo t-shirt akisitizia kuwa hakuna kitu kama Tanganyika na haiwezi kurudi; na kwa nini kupigania kitu ambacho hakiwezi kurudi tena. Hapa ilikuwa mchana nani ya Ubalozi wa Tanzania Washington DC. katikati ni balozi wa Tanzania nchini Marecan mama Mulamula

Rudi Tanganyika.jpg

Rudi Tanganyika2.jpg

Rudi Tanganyika3.jpg

Rudi Tanganyika4.jpg
 
Note: zomea zomea iliendelea kwa muda wa dk 5; ni zomea zomea ya kupiga makofi bila kusimama kwa kuwa bored na speech yake. Wana CCM nao walikuwa waki piga makofi, lakini walipo ona makofi haya simami, waka notice na kunyiong'onyea.

Hiyo ndio Washington, D.C. USA
 
Mwigulu ni janga kubwa kwa taifa letu, wala sion kwanini mpaka leo hajakamatwa kwa mabomu ya Arusha

Mwigulu nimuuwaji, mpika majungu, video feki, nakubambikia kesi wasio waupande wake. Hana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya matusi na propaganda za kuipamba ccm. Hivyo kuzomewa huko washington si ajabu.

Kifupi watu wa kaliba ya Mwigulu Nchemba ni chanzo cha machafuko katika taifa hili bila kumsahau anayemteuwa yaani Kikwete.
 
Kwani hakikuwepo kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa pap0? Yaani ahutubia wasomi wa Washington DC, kama anavyohutubia wana kijiji wa Ikungi?! Poor Mwigulu
 
Kwani hakikuwepo kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa pap0? Yaani ahutubia wasomi wa Washington DC, kama anavyohutubia wana kijiji wa Ikungi?! Poor Mwigulu

Hawakutaka aulizwe maswali. Ilikuwa one way communication. The guy lies na hana caliber ya kuongea na sisi. Hajachukua maswali kabisa.
 
Hawakutaka aulizwe maswali. Ilikuwa one way communication. The guy lies na hana caliber ya kuongea na sisi. Hajachukua maswali kabisa.

How comes? CCM hawawezi hata kujua audience watakayo kwenda kuongea nayo ni ya aina gani? Kweli uhutubie diaspora usiulizwe hata swali moja? haka kama swali ni la JE, MVUA ZINANYESHA TANZANIA? Kweli now I believe you can take CCM out of the bush, but you can not take the bush out of CCM
 
Anatetea unga wake. Hajui hatma yake ninini kama Tanganyika ikirudi
 
Ndio, tulikuwa tunampa haki ya kusikilwa; lakini ikabidi tumkimbize kwa zomea zomea ya makofi
 
Wait, nimeona jana waziri mkuu wa korea kusini kajiuzuku for poor handling ya kivuko kilicho zama...kwanini hapa kwetu huwa anatuambia...nawasiliana na Rais ili achukue hatua?????
 
Akili za ki~Bavicha hizo, hakuna kingine!
 
Back
Top Bottom