Nadhani tuachane na huyu mwehu makamanda, tunampandisha sana kujadili kile kituko chake...na ndio maana sijasikia tamko lolote la chama chetu maana CHADEMA haina kawaida ya ku-deal na wehu.
Haha....kwa wenzetu ni mnyama ambaye katik matukio mengi amepewa "personality", kwa wabongo ana image mbaya.Sasa mwigulu atakuwa katumia hiyo mbaya, ingawa imendhalilisha yeye zaidi.Ila ni tabia ya CCM kuabuse vitu vingi.Hata walivyochagua Speaker walifanya kwa staili ya ku abuse wanawake kuliko kurudisha nafasi yao katika jamii na utamaduni wetu.Nadhani ni more of a cultural issue.Kwa wabongo mbwa anadharaulika kwenye culture yetu.Kwa wenzetu mbwa anapendwa na hilo ni kama promotion kumvisha bendera.Kuna hadi high school ina symbol ya bulldog,na kwenye matukio ya kuiwakilisha shule hata michezo ie football,basi unakuta wanaingia na bulldog aliyevishwa bendera yao,sasa shangaa utofauti.
Mkuu, nikweli tamaduni zinatofautiana. Si unaona hata katika swala la ushoga tunavyotofautiana na hao wenzetu.
View attachment 62424 hivi wewe n - chemba miaka 50 ya uhuru na rais anatoka wilaya yenye ofisi kama hii. Kwanini usingevalisha bendera ya ccm? 2015 sio mbali kijana
Unaweza kuniambia "image mbaya ya mbwa" inatokana na kitu gani kwa mwafrika?Yani kihistoria ni kitu gani kilichofanya mbwa awe mnyama mbaya kwa waafrika specifically wabongo?Haha....kwa wenzetu ni mnyama ambaye katik matukio mengi amepewa "personality", kwa wabongo ana image mbaya.Sasa mwigulu atakuwa katumia hiyo mbaya, ingawa imendhalilisha yeye zaidi.Ila ni tabia ya CCM kuabuse vitu vingi.Hata walivyochagua Speaker walifanya kwa staili ya ku abuse wanawake kuliko kurudisha nafasi yao katika jamii na utamaduni wetu.
naona kama picha ya kuchonga!