Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

Status
Not open for further replies.
cdm kitaendelea kuwatia presha!! mbona hatuon wakichukuwa ya cuf!
 
mwinyimgulu hamna kitu<anakopi nakupest>hivi kakusanya familia yake iliawadanganye watu! nenda mbeya kafanye hivyo uone moto!
 
Kumbe nchemba anayo bendela ya chadema naona anaikubali kiaina hataki tu kusema
 
...siwezi kushangaa, anaudhalilisha usomi wake. siasa sio chuki za nmna hii....real he is insane and stupid!
 
foolish people doin foolish things...mjinga ni mjinga tu...Inaonekana kilikuwa ni kikao cha ukoo, mbona watu wachache hivyo?
 
ni kama unashangaa Lusinde kutukana au nape kuropoka... huyo mwigulu si mwendawazimu.
 
Lingefanywa hilo na mtu ninayemregard ni mwenye akili I wud have my eye brows lifted...
ni ajabu akibweka farasi ila akibweka mbwa mkishangaa mlitaka afanyeje?
 
Kwa sisi wanafalsafa, mbwa ni mnyama muhimu sana kwa maisha ya mwanadamu...! Mbwa ni alifundishwa akafundika, hadanganyiki kwa nyama, chakula au chochote kisicho halali asichopewa na bosi wake, mbwa aina hiyo hapokei rushwa.
 
Mbona siyo Mwigulu huyo!
Hizo yeboyebo hadi zimetoboka visigino bana!

Mkuu angalia hiyo link ya Youtube! Iko clear bila chenga. Tukio limetokea kwenye mkutano wa huyo jamaa; mbele ya macho yake. Au ilikuwa lazima yeye mwenyewe kwa mkono wake amvalishe huyo mbwa ndio iwe yeye? In short it a true event.
 
siku za mwisho vichaa wataongezeka sioni ajabu hata vitabu vya dini vinasema .....mwisho wa ccm ndio hivyo hata majibu ya waziri mkuu bungeni huwezi amini hata raisi huwezi amini majibu yake na mambo anayo fanyai wananchi wake hata kwa gadafi ilikuwa hivi ...kwa mobutu pia ni muda tu unangojewa
 
Mbona mi naona fresh tu! Kama wanataka na mbwa ziwe na itikadi kwani kuna ubaya gani? Mimi mbona mbwa huwa namchukulia poa tu, kwanza ni mlinzi shupavu labda ingekuwa paka ninge urgue maana yeye anakismati cha kupendwa na wachawi
 
Hii haitishi. Saa ikifika kila kiumbe kitatangaza ujumbe wa ukombozi na mabadiliko. Hata mbwa wanateswa na madhila yanayotokana na udhaifu wa hawa jamaa. By the way hii inazidi kututhibitishia jinsi magamba walivyo na akili ndogo.
 
Hapa chadema inabidi waoneshe uvumilivu wa kisiasa. Huyu jamaa kama kweli kafanya hivyo anachochea vurugu na mauaji. Mungu amsaidie na amjalie hekima. Bila shaka huyo mbwa atakuwa hayupo mtaani saa hizi. Mia
 
Hii haitishi. Saa ikifika kila kiumbe kitatangaza ujumbe wa ukombozi na mabadiliko. Hata mbwa wanateswa na madhila yanayotokana na udhaifu wa hawa jamaa. By the way hii inazidi kututhibitishia jinsi magamba walivyo na akili ndogo.

Mkuu hapo kwenye
red - good point! Nawashauri CHADEMA walichukulie hili tukio in a very positive way. Turufu nzuri sana ya kisiasa hii - hata viumbe sasa wanatangaza mabadiliko.
 
wadau hii imekaaje? je ni sawa ?
attachment.php

attachment.php


[video=youtube_share;Pm900e4TFcc]http://youtu.be/Pm900e4TFcc[/video]

View attachment 62326View attachment 62327View attachment 62328View attachment 62329View attachment 62330

Wanabodi,

Kitendo hiki sio cha kiungwana hata kidogo ni udhalilishaji wa viumbe huyo mtu anayemvisha Mbwa bendera hapo kavaa yepo yepo ndio Mwigulu Nchemba.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom