Mwigulu amchana chana Lissu Hadharani

Mwigulu amchana chana Lissu Hadharani

Samiha Suluhu amebwaga takataka za Lissu kama Warioba alivyobwaga takwimu za Chopa za CHADEMA
hakuna uwaziri hapo ni zaidi ya kubebwa tu, huyu mama amepewa uwaziri kwa sababu ya uzanzibar na uanamke! Yeye anachojua ni porojo na kejeli basi!
 
Wananchi wajifunze kutokana na makosa ya kuchagua wehu kuwawakilisha..

Anaacha kusolve matatizo ya jimbo lake yupo busy na mambo yasiyo na tija kwa wanasingida..


Pathetic
 
Nmemsikia jemedali akimjibu yule mgonjwa wa dr kigwangala,Nchemba ni kiboko yao
mwigulu ni kiboko ya wapenda demokrasia, hana nia njema yeyote na watanzania, ndo maana amerahisisha wizi pale BOT wa bilioni 200!
 
Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.

mambo yakiaribika Mwingulu lazima awe mshukiwa namba moja kwa maana si mara ya kwanza kusema neno kama hilo, this means anawajua watu watakao vuruga amani if am wrong come and correct me
 
Nitolee mfano wa Muungano Duniani ambao ni wa wananchi. Muungano wetu ulikuwa ni matakwa ya Nyerere na Karume. CCM ikapokea kupitia vyama asisi yaani TANU na ASP. Mpaka sasa muungano wetu upo vema. Kuna watu walijaribu mpaka kuwaua waasisi wetu. Walifanikiwa kumuua mzee Karume lakini hawajafanikiwa kuua muungano. Wamebaki vibaraka wao akina Lissu na Warioba. Bahati nzuri tunawaona na tunajua njia zao. Hawatusumbui hata kidogo. Ni wepesi sana hawa
kwa maelezo yako hapo juu muungano huu si halali, kumbe yalikuwa makubaliano ya watu wawili, basi ni wakati mwafaka wa kura ya maoni kwa wananchi juu ya muungano!
 
Nmemsikia amesoma hadi hansard ya bunge alivokuwa anawapondea wazanzibar hafu leo amejifanya ni mzanzibar! Yule bwana mnafiki sana,shame on him,kila kukicha watu wanamuona ni wa ajabu sana
kwa hiyo ulitaka wabunge wachadema washangilie unguja kuwa na majibo more than 10 wakati ni eneo do acheni ujinga huo
 
huyo gaidi hana hoja,nashangaa sana misukule kushabikia huo utumbo wa huyo interahamwe. Ni aibu mtu mwenye akili timamu kumshabikia muuaji,pia ni aibu kwa yeyote aliye mzalendo wa kweli kusapoti mambo ya huyo muuaji.hata hivyo sio kosa lenu,njaa tu zinawasumbua!

sio wewe ndo huna akili unaepingana na ukweli wa mwigulu
 
mwigulu si saizi ya lisu anajilazimisha tu yeye saiz yake ni mrema na cheyo
 
Maskini gaidi mwigulu. hivi huyo ni waziri kweli?

shenzi kabisa
 
Tundu a.mughwai lissu the special gift from god to tanzania....
Thank you god,allah ,mulungu ,jehova, nzua,shekulu kwa zawadi hii nzuri na ya pekee wafanye watanzania wote waitambue MPE NAFASI NA HUYU KIJANA WAKO MWENYE AKILI KIDUCHU NA KUWADI WA KIKWETE BW CHEMBA (JINA LA KUFOJI KWENYE CHETI CHA MWINGINE) AJISIKIE FAHARI KUTOKELA Singida ku lyamba nu Tundu liSSu songela shekulu songela Zigizigi .amen
 
Nilichoona mm hapo lisu kaongea kama walivyozoea wapinzani wa Tanzania ni kulalamika tuu na kupanda chuki na si kuonyesha njia mbadala. Upinzani Tanzania bado dhaifu sana.
 
Mnistue
 

Attachments

  • 1399908768147.jpg
    1399908768147.jpg
    55.5 KB · Views: 124
Hivi Samiha Suluhu utamfananisha na mwanamke gani ndani ya UKAWA?
sio ndani ya Ukawa tu, huyu mama hafanani na mwanamke yoyote ndani ya ccm ama nje ya ccm! Huwezi kumfananisha hata na waziri wa fedha madam mkuya! Samia kabebwa..
 
Back
Top Bottom