hoja za lissu hazijawahi kujibiwa kamwe bungeni!Tulia wewe. Lissu akiambiwa ukweli hachelewi kuweka mpira kwapani. Kupna kuwa alichokisema bungeni leo asubuhi ilikuwa ni ulaghai, wakati anachanwa chanwa na Mwigulu na wabunge wengine, muda wote alikuwa anajichekea tu ka taahira vile
Hakika Mkuu. Jemedali kajibu vema sana mpaka amebaki anainamia kichwa chini tu
Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.
Nitolee mfano wa Muungano Duniani ambao ni wa wananchi. Muungano wetu ulikuwa ni matakwa ya Nyerere na Karume. CCM ikapokea kupitia vyama asisi yaani TANU na ASP. Mpaka sasa muungano wetu upo vema. Kuna watu walijaribu mpaka kuwaua waasisi wetu. Walifanikiwa kumuua mzee Karume lakini hawajafanikiwa kuua muungano. Wamebaki vibaraka wao akina Lissu na Warioba. Bahati nzuri tunawaona na tunajua njia zao. Hawatusumbui hata kidogo. Ni wepesi sana hawakumbe huu muungano ni wa vyama na si wa wananchi?
ndani ya ccm uwaziri, ukuu wa mkoa, wilaya na vyeo vingine ni vya kupeana tu, mawaziri walikuwa zamani enzi za nyerere, jk amedhalilisha sana nafasi za uwaziri, yaani mpaka magaidi na wauaji, na pia wala rushwa wamepewa uwaziri! Viti maalumu ndani ya ccm ni vya kujuana na kuvuliana vyupi na wakubwa!Kwani wewe ulitaka nani awe Waziri. Au unadhani ndani ya CCM kuna kupeana peana tu kama mfanyavyo nyie misukule? Hivi Joyce Mukya alistahili kuwa Mbunge?
Ni ndumila kuwili huyu. Wana UKAWA wa kutoka Zenji wameelezwa kuwa waache mchepukoNmemsikia amesoma hadi hansard ya bunge alivokuwa anawapondea wazanzibar hafu leo amejifanya ni mzanzibar! Yule bwana mnafiki sana,shame on him,kila kukicha watu wanamuona ni wa ajabu sana
Kuna tofauti kati ya 'kusikia' na 'kusikia halafu ukaelewa'.Umesikia jinsi alivyokuwa anamchana chana Lissu kweli? Au ndo nyie mnaokurupuka kuchangia
ni kweli mkuu jk amewakatisha sana tamaa watanzania, yaani mpaka magaidi na wala rushwa wanalamba uwaziri!Watanzania tumekula hasara miaka 10 ya uongozi wake eti Mwigulu anapewa Waziri
exactly mkuu, lissu ni kiboko yao!Hakuna mwana interahamwe anayeweza kujilinganisha na Lissu kwa hoja
nilitaka viti kamata awe waziri mkuu!Wewe ulitaka Joyce Mukya ndo awe Waziri?
huyu mama hana hadhi ya uwaziri, amebebwa tu na hana uwezo wa kujibu hoja zaidi ya mipasho tupu!Waziri Samiha Suluhu anasema kuwa waliyoandika kwenye Taarifa ya Kambi ya Upinzani na Lissu ni Fulana ya Halikuniki kwa maana wamewasilisha hoja ambazo bunge hili si mahala pake
Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.
sishangai kwa hayo uliyoandika, maana najua wewe uko kazini kuhakikisha unaenda chooni, mwigulu huwezi kumfananisha na lissu hata robo! Hakuna mwanainterahamwe anayeweza kujibu hoja za lissu zaidi ya porojo na mipasho, huo ndo ukweli!kwa hakika wewe akili yako haikupona pale Milembe, Lisu ni kichaa, mwendawazimu, juha, jambazi, msaliti, mfitini, mwehu, mjinga, mbumbumbu, mpenda madaraka. Hafai kuwa ktk Taifa takatifu kama Tz. Ni bora AFE.