Mwigulu amchana chana Lissu Hadharani

Mwigulu amchana chana Lissu Hadharani

Lizaboni

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
33,901
Reaction score
20,416
Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.
 
Waziri wa fedha naye anashindilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Lissu na UKAWA
 
ni aibu kujitambulisha natokea mkoa mmoja wa singida na mropoksji tundu lissu - mwigulu nchemba
 
Anatoa ufafanuzi kuhusu misaada na mikopo ya nje. Anasema kuwa kuhusu misaada, Zanzibar inaweza kusimama peke yake. Kuhusu mikopo anasema kuwa Zanzibar inaweza kukopa kwa kushirikiana na serikali ya Muungano
 
Wana jamvi leo hotuba ya mh lissu imemfanya ndugu mwigulu kusema kuwa lissu ni mchochezo kwakutoa hotuba ya kuleta hofu kwa wa zanzibar kwakusema tanganyika ina itawala znz(tanganyika colonize zanzibar since 1964),swali kwake ndugu mwiguku;alisema atatoa ushahidi dunia na mbinguni chadema ni magaidi je huu si uchochezi wana jamvi?
 
Mkuu, labda kama wewe unaona kuwa ni pumba. Ila hakika Lissu leo anaumbuliwa kama anavyoumbuliwa mara kwa mara
 
huyo gaidi hana hoja,nashangaa sana misukule kushabikia huo utumbo wa huyo interahamwe. Ni aibu mtu mwenye akili timamu kumshabikia muuaji,pia ni aibu kwa yeyote aliye mzalendo wa kweli kusapoti mambo ya huyo muuaji.hata hivyo sio kosa lenu,njaa tu zinawasumbua!
 
Mwigulu hawezi kumfikia lisu hata robo! Alichoongea ni blah blah tu! Hakuna jipya! Hivi kweli mwigulu ni mtanzania? SIAMINI KAMWE!
 
Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.

Kama kweli hizo ndiyo hoja za KUMCHANA CHANA LISSU, sasa nina amini CCM kuna matatizo makubwa sana ya MSINGI kuliko hata AKILI NDOGO tunazoziona na kusubiri labda siku moja zitakuwa na kuwa AKILI KUBWA.
 
Mh. Mwigulu angejibu hoja za mh. Lissu kwa hizo data halisi tungemuelewa. Hapo bado hapajajibu maswali ya msingi yaliyoulizwa na Lissu. Bado tunajibu maswali ambayo ni sensitive kwa majibu ya mzahamzaha. Serikali tangia BMK hadi BUNGE hili la Jamuhuri, bado maswali ya Lissu hayajajibiwa.
 
Ni kwa vile huna uwezo wa kuelewa hoja

Hapo hakuna hoja ila ni ushabiki tena wa kike, samahani kwa kutumia neno hilo.Kuna hekima na misingi ya uongozi ambayo viongozi wetu wengi hawana. Kuna neno akisema kibajaji linakuwa ni sawa lakini akisema mtu wa level na calibre ya mwigulu inakuwa si sawa.
 
Mkuu, labda kama wewe unaona kuwa ni pumba. Ila hakika Lissu leo anaumbuliwa kama anavyoumbuliwa mara kwa mara

aumbuliwe kwa huo uharo wa huyo gaidi muuaji? Watz wa leo si wale wa miaka ya 90 mliowanyima elimu hivyo kuwafanya wasijitambue!Big up sana kamanda Lissu kwa kuwaeleza waTz ukweli.
 
Title haiendani na content ya thread. Sioni kama kuna kitu kama hicho cha kumchana chana Lissu. Kwani anayoyasema Mwigulu yana ukweli wowote? Nafikiri Lissu ndiye anayetakiwa kuficha kama kweli anatoka eneo moja na Mwigulu mwenye mambo na maneno ya kiushogaushoga. Lissu ni mwanasiasa gwiji na mwenye upeo huwezi kumlinganisha na huyo play boy. Binafsi namuona anafaa kuwa Rais wa kuivusha Tanzania kwenye wizi na uffisadi tulionao
 
nilijua uwezo wa Lumumba kujibu hoja hawana.....may be ndo ule mwendelezo wa kukwepa midaharo.....vp hyo waziri kaoanisha misaada ya jumla na miradi maalum ambayo haihuski kwa 4%ya total budget support au naye n ka mwigulu nguvu nying akili punje?
 
Hapo hakuna hoja ila ni ushabiki tena wa kike, samahani kwa kutumia neno hilo.Kuna hekima na misingi ya uongozi ambayo viongozi wetu wengi hawana. Kuna neno akisema kibajaji linakuwa ni sawa lakini akisema mtu wa level na calibre ya mwigulu inakuwa si sawa.
naamini lissu ni nusu huku juu, sijui wanaomshangilia nao ni nusu??
 
Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.

Huyo naibu waziri ni mpayukaji hana hoja badala yake anakimbilia kuwaomba CUF waende kwenye mazungumzo na CCM Zanzibar hapa naona CCM wamekabwa koo
 
Back
Top Bottom