Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,806
Jibu hoja lingekuwa suala la serikali 3 usingesema wazanzibar wana lao jambo.
Wazenji wana siasa zao ambazo Lissu hazijui
Wazenji wana siasa zao ambazo Lissu hazijui
suluhu hana uwezo wa kumjibu lissu kamwe!jembe lisu yupo hewani anambana,waziri samia suluhu hassan kuhusu gawio la zanzibar .
una utani na mainterahamwe wenzio wewe...UKAWA kuna mazero kibao tena mengine ni zaidi ya sinia
Mkuu, labda kama wewe unaona kuwa ni pumba. Ila hakika Lissu leo anaumbuliwa kama anavyoumbuliwa mara kwa mara
Nilichoona mm hapo lisu kaongea kama walivyozoea wapinzani wa Tanzania ni kulalamika tuu na kupanda chuki na si kuonyesha njia mbadala. Upinzani Tanzania bado dhaifu sana.
Huyo naibu waziri ni mpayukaji hana hoja badala yake anakimbilia kuwaomba CUF waende kwenye mazungumzo na CCM Zanzibar hapa naona CCM wamekabwa koo
Kwani uongo mwigulu mnona alizungumza ukweli mtupu chadema ndivyo walivyo.Wana jamvi leo hotuba ya mh lissu imemfanya ndugu mwigulu kusema kuwa lissu ni mchochezo kwakutoa hotuba ya kuleta hofu kwa wa zanzibar kwakusema tanganyika ina itawala znz(tanganyika colonize zanzibar since 1964),swali kwake ndugu mwiguku;alisema atatoa ushahidi dunia na mbinguni chadema ni magaidi je huu si uchochezi wana jamvi?
Kwahiyo nyie mliomtukana nyerer na karume ndiyo mnaona mko sahihi sana au unasumbuliwa na ii kwenye kichwa chako.Matokeo ya kutukana wazee wenye busara na wanaoijua historia ya nchi (kama Dr Salim, Jaji Warioba, Butiku, Moyo), ndio hayo sasa - CCM inajikuta inawategemea 'loose cannon' .
Mwigulu wala haelewi ni kitu gani Lissu anaongea na ndio maana anajikita kuongea alikotoka - Singida!
Kwani uongo mwigulu mnona alizungumza ukweli mtupu chadema ndivyo walivyo.
Kwahiyo nyie mliomtukana nyerer na karume ndiyo mnaona mko sahihi sana au unasumbuliwa na ii kwenye kichwa chako.