Lissu kaonesha unafiki wa hali ya juu. Nashukuru mheshimiwa CHOMBO. Amesema kuwa mwasisi wa Mapinduzi Sheikh Karume aliuawa na wapinga mapinduzi na muungano kama alivyo Lissuaumbuliwe kwa huo uharo wa huyo gaidi muuaji? Watz wa leo si wale wa miaka ya 90 mliowanyima elimu hivyo kuwafanya wasijitambue!Big up sana kamanda Lissu kwa kuwaeleza waTz ukweli.
Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.
Anatoa ufafanuzi kuhusu misaada na mikopo ya nje. Anasema kuwa kuhusu misaada, Zanzibar inaweza kusimama peke yake. Kuhusu mikopo anasema kuwa Zanzibar inaweza kukopa kwa kushirikiana na serikali ya Muungano
lissu ni mgonjwa wa kudumu mirembe...sema huwa anatoroka anakatisha dozi hadi akamatwe afungwe na kamba arushwe wodiniMwigulu hawezi kumfikia lisu hata robo! Alichoongea ni blah blah tu! Hakuna jipya! Hivi kweli mwigulu ni mtanzania? SIAMINI KAMWE!
Maswali yote aliyouliza na hoja zake zimejibiwa. Kuna hoja gani ambayo unadhani kuwa haijapata majibu mujarabu?Acheni kukwepa swali jibuni maswali yake halafu kama muongo mwambieni athibitishe kama hamuogopi mm naanza kuamini mnatudanganya sana
Waziri wa fedha naye anashindilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Lissu na UKAWA
mbona akisimama mnatokwa povuMwigulu hajawahi kuongea kwa hoja zaidi ya kutoa mvua ya mate.
Mbele yake angetakiwa aketi KOMBA afaidi mate maana huwa AC za bunge hazimtoshi.
Shida ya Mwigulu huwa anajiona yupo juu zaidi ya waliomtanguli.
Huyu bwana anatudhalilisha watu wa Iramba.
Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.
Mkuu, hakika Mwigulu akisimama tu kuna watu wanaomba poooo.Mwigulu hajawahi kuongea kwa hoja zaidi ya kutoa mvua ya mate.
Mbele yake angetakiwa aketi KOMBA afaidi mate maana huwa AC za bunge hazimtoshi.
Shida ya Mwigulu huwa anajiona yupo juu zaidi ya waliomtanguli.
Huyu bwana anatudhalilisha watu wa Iramba.
mwiguru mgonjwa hana hadhi ya lissu. bilion 200 atafute.
Tutaulinda muungano huu kwa nguvu zote kama Ukraine wanavyofanya. Na mkituletea za kuleta tutatumia silaha zote kuulinda muungano huuhuo upuuzi wa kuficha historia ndio tusioutaka,huu muungano umekaa kihuni kwa maslahi ya wachache,nashangaa vibwengo kama nyie kushabikia huu ujinga wa huyu muuaji.
Ukisema mwingulu kamchana lisu tunakuwa na wasiwasi na akili yako yani mambo Ya wazi anayoelezea lisu huyaelewi utumbo anaoongelea mwingulu ndio unaouelewa?
Anatoa ufafanuzi kuhusu misaada na mikopo ya nje. Anasema kuwa kuhusu misaada, Zanzibar inaweza kusimama peke yake. Kuhusu mikopo anasema kuwa Zanzibar inaweza kukopa kwa kushirikiana na serikali ya Muungano
Mh. Mwigulu angejibu hoja za mh. Lissu kwa hizo data halisi tungemuelewa. Hapo bado hapajajibu maswali ya msingi yaliyoulizwa na Lissu. Bado tunajibu maswali ambayo ni sensitive kwa majibu ya mzahamzaha. Serikali tangia BMK hadi BUNGE hili la Jamuhuri, bado maswali ya Lissu hayajajibiwa.