Wewe ni nyumba ndogo
hahahaha akili ya lumumba hyooo.....vp kwa nn usifikiri kuwa alichosema lissu kuhusu misaada ya zanz kupigwa pang a....na alichosema mwigulu na hyo waziri n kwa sababu ya utegemez wa kudumu ya budget.....!!!!!
Wewe ni nyumba ndogo
Wana jamvi leo hotuba ya mh lissu imemfanya ndugu mwigulu kusema kuwa lissu ni mchochezo kwakutoa hotuba ya kuleta hofu kwa wa zanzibar kwakusema tanganyika ina itawala znz(tanganyika colonize zanzibar since 1964),swali kwake ndugu mwiguku;alisema atatoa ushahidi dunia na mbinguni chadema ni magaidi je huu si uchochezi wana jamvi?
Tutaulinda muungano huu kwa nguvu zote kama Ukraine wanavyofanya. Na mkituletea za kuleta tutatumia silaha zote kuulinda muungano huu
Tutaulinda muungano huu kwa nguvu zote kama Ukraine wanavyofanya. Na mkituletea za kuleta tutatumia silaha zote kuulinda muungano huu
tangu ulivyopewa mimba ukatelekezwa umekuwa na hasira kweli...tulia dawa iingie uzuri..mwehu ww.Nani Mke mkubwa kati yenu.
Ukweli ni kwamba Mwigulu wako, hakujibu hoja hata moja ya Mheshimiwa Tundu Lisu badala yake ameishia kumshambulia Tundu Lisu binafsi! Kwahiyo hoja za Tundu Lisu zinabakia ngumu kumeza!Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.
Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.
Wazenji wana siasa zao ambazo Lissu hazijui
Mkuu, labda kama wewe unaona kuwa ni pumba. Ila hakika Lissu leo anaumbuliwa kama anavyoumbuliwa mara kwa
Waambie wathibitishe uongo wa Lisu au waombe alete ushahidi hujaona Waziri alivyojikanyaga wakati anachangia?
muungano tutaulinda sisi, sio wewe na mwehu wenu lissuHahaaa.. kwa vile nyie ndo wneye hati miliki ya 'inji' hii!
Mkuu, kwani kuna chama chenye viongozi na watu wanaojitambua zaidi ya CCM? Huko kwingine kuna misukule tu. yaani kila kukicha hayatumii kichwa kufikiri. Akija mmoja tu na kusema neno basi woooote wanaunga mkono. Yaani misukule ya upinzani bana!Mara nyingi akili za maccm huazimana,ukiwa mwanaccm lazima ujitoe UFAHAMU.
Tulia wewe. Lissu akiambiwa ukweli hachelewi kuweka mpira kwapani. Kupna kuwa alichokisema bungeni leo asubuhi ilikuwa ni ulaghai, wakati anachanwa chanwa na Mwigulu na wabunge wengine, muda wote alikuwa anajichekea tu ka taahira vileMkuu, labda kama wewe unaona kuwa ni pumba. Ila hakika Lissu leo anaumbuliwa kama anavyoumbuliwa mara kwa
Waambie wathibitishe uongo wa Lisu au waombe alete ushahidi hujaona Waziri alivyojikanyaga wakati anachangia?
tangu ulivyopewa mimba ukatelekezwa umekuwa na hasira kweli...tulia dawa iingie uzuri..mwehu ww.
mkuu suala la unaibu waziri wa fedha lisikutishe, chini ya jk yeyote anaweza kuwa waziri almradi awe interahamwe! Kitendo cha jk kumpa unaibu waziri wa fedha kimedhalilisha sana nafasi ya uwaziri!Mwigullu ni Naibu Waziri wa Fedha. Utamfananisha na huyu mlalamikaji na mropokaji?
Mkuu, labda kama wewe unaona kuwa ni pumba. Ila hakika Lissu leo anaumbuliwa kama anavyoumbuliwa mara kwa mara