Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,337
Mbona muda mfupi mkuu.We vumilia,siku "akikujaalia" muombe na certificate ya ufaulu!
Duh... Bado sana mkuu, kuna mtu kafukuzia huu mwaka wa 3 sasa ila hajakata tamaa mpaka namuonea huruma. Ngoja siku moja nije nivae miwani ya mbao nimpe....
Duh... Bado sana mkuu, kuna mtu kafukuzia huu mwaka wa 3 sasa ila hajakata tamaa mpaka namuonea huruma. Ngoja siku moja nije nivae miwani ya mbao nimpe....
wacha niende kibondo nikakulogee,naskia kuna bibi mmoja kule anakupeleka mtoni unaongea mambo yako yote unayotaka kisha yanakuwa safi...
Wew una mambo ya kizamani...daah hata papuchi utaiomba kama andazi...atakunyima tena
Wewe mtoto una visa weye, kha!.:teeth:Duh... Bado sana mkuu, kuna mtu kafukuzia huu mwaka wa 3 sasa ila hajakata tamaa mpaka namuonea huruma. Ngoja siku moja nije nivae miwani ya mbao nimpe....
Hio ndo definition ya kupenda..out of millions umemuona mmoja....,mim naona unachanganya kupenda na kuwa na mtu wakati huo...naona kama watu humu mmebase kwenye just being with someone na sio love but ukweli ni love is timeless hata wakikaa miaka sita wanafukuzana if it's love then it is love....lakin kama sio love ndo hicho unachosema wewe hakuna haja ya kumbembeleza for that long you simply switch to another girl
Mwezi wa saba?? Huna kazi nyingine za kufanya??
Hakuna wanawake wengine?? Kwanini huyo tu??
Habari wana MMU.
Kuna binti nimetokea kumpenda sana ila tatizo ni kwamba hataki kukubali ombi langu la kuwa na mpenzi wangu.
Mwezi wa saba sasa umetimia tangu nianze kumfuatilia, na kuna wavulana wa kila aina wanamfuatilia ila wanagonga mwamba, tena yeye mvulana akiingiia kwa gia ya mkwanja hata namba yke inablokiwa.
Mimi kila sku huniambia kuwa ananifikiria, nifanyeje wadau maana binti nampenda kutoka moyoni.
Naomb ushauri wako tafadhali.
ingekuwa tupo busy katika kufanya maendeleo ya hii nchi kila mtu angekuwa busy kwa miezi7 tungemkaribia mmarekani.[/QUOTmapenzi n zaidi ya uyajuavyo; power of love
unaangaika miezi yote hiyo eti kuna mwingine ana miaka3 anamfukuzia demu?. Mwisho wa siku unaambulia ukimwi. Kwishneyyyy
Habari wana MMU.
Kuna binti nimetokea kumpenda sana ila tatizo ni kwamba hataki kukubali ombi langu la kuwa na mpenzi wangu.
Mwezi wa saba sasa umetimia tangu nianze kumfuatilia, na kuna wavulana wa kila aina wanamfuatilia ila wanagonga mwamba, tena yeye mvulana akiingiia kwa gia ya mkwanja hata namba yke inablokiwa.
Mimi kila sku huniambia kuwa ananifikiria, nifanyeje wadau maana binti nampenda kutoka moyoni.
Naomb ushauri wako tafadhali.