Murano
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,056
- 1,128
Siku hizi hakuna hata kujipa tabu ya kusubiri jibu watu wanachukua mchanga aliokanyaga demu then wanaukaanga/kuuchoma huku ukinuia kwa kulitaja jina lake...
Onyo:uchawi huu ni hatari unaweza ukasababisha akabeba nguo zake zote akamia kwenu in 2 dayz
Onyo:uchawi huu ni hatari unaweza ukasababisha akabeba nguo zake zote akamia kwenu in 2 dayz