Nipe namba yakendo nimeamua kufanya hivy
Habari wana MMU.
Kuna binti nimetokea kumpenda sana ila tatizo ni kwamba hataki kukubali ombi langu la kuwa na mpenzi wangu.
Mwezi wa saba sasa umetimia tangu nianze kumfuatilia, na kuna wavulana wa kila aina wanamfuatilia ila wanagonga mwamba, tena yeye mvulana akiingiia kwa gia ya mkwanja hata namba yke inablokiwa.
Mimi kila sku huniambia kuwa ananifikiria, nifanyeje wadau maana binti nampenda kutoka moyoni.
Naomb ushauri wako tafadhali.
nimeshahitimu masomo mkuu
Kijana unaangamia kwa kukosa maarifa! Unapita pita tu mitaani hata vibao husomi? Waganga mbona wengi tu wanaotoa dawa ya penzi, nenda huko uharakishe mchakato!!Habari wana MMU.
Kuna binti nimetokea kumpenda sana ila tatizo ni kwamba hataki kukubali ombi langu la kuwa na mpenzi wangu.
Mwezi wa saba sasa umetimia tangu nianze kumfuatilia, na kuna wavulana wa kila aina wanamfuatilia ila wanagonga mwamba, tena yeye mvulana akiingiia kwa gia ya mkwanja hata namba yke inablokiwa.
Mimi kila sku huniambia kuwa ananifikiria, nifanyeje wadau maana binti nampenda kutoka moyoni.
Naomb ushauri wako tafadhali.
siwezi hivyo
Una cha kumpa basi au unajishaua tu.
Umpe nini #chaminglady
Habari wana MMU.
Kuna binti nimetokea kumpenda sana ila tatizo ni kwamba hataki kukubali ombi langu la kuwa na mpenzi wangu.
Mwezi wa saba sasa umetimia tangu nianze kumfuatilia, na kuna wavulana wa kila aina wanamfuatilia ila wanagonga mwamba, tena yeye mvulana akiingiia kwa gia ya mkwanja hata namba yke inablokiwa.
Mimi kila sku huniambia kuwa ananifikiria, nifanyeje wadau maana binti nampenda kutoka moyoni.
Naomb ushauri wako tafadhali.
Duuuh!! Mwaka wa tatu.
Wewe mtoto una visa weye, kha!.:teeth:
Habari wana MMU.
Kuna binti nimetokea kumpenda sana ila tatizo ni kwamba hataki kukubali ombi langu la kuwa na mpenzi wangu.
Mwezi wa saba sasa umetimia tangu nianze kumfuatilia, na kuna wavulana wa kila aina wanamfuatilia ila wanagonga mwamba, tena yeye mvulana akiingiia kwa gia ya mkwanja hata namba yke inablokiwa.
Mimi kila sku huniambia kuwa ananifikiria, nifanyeje wadau maana binti nampenda kutoka moyoni.
Naomb ushauri wako tafadhali.
Heheee....Niliyo mwanawasu!. Naona wataka kumvalia mtu miwani ya mbao bana!.Hahahaaaa.... Uliho?