pole sana ndugu cha kukushauri sina manake mi mwenyewe nipo kama wewe ila mi nomekuzidi manake ni mwaka na nusu mpaka sasa
unaomba jibu la nini kwani wewe mwalimu??kumbe shida iko hapo na ndio maana hakukubali....
fanya hivi mtumie tumie vimeseji tu vya kawaida "mambo, unafanya nn, vipi uko free tukatembee tembee" huu mfano tu sio upaste, unasikilizia anajibu vipi mtoe hata ukamnunulie nunulie chips(ugonjwa wa madenti), tembea tembea nae ile mida ya jioni wazungu wanasema evening walk kujenga ukaribu zaidi, piga story za tofauti sio mapenzi (kama mdomo mzito shauri ako) fanya hivo mara mbili tatu akikubali kuja ujue samaki kishakula chambo kazi kwako "kumvua samaki"
Mwezi wa saba?? Huna kazi nyingine za kufanya??
Hakuna wanawake wengine?? Kwanini huyo tu??
Itakuwa na yeye anakuzimia ila kuna mambo unabugi meen, either maneno yako usikute unamwambia "naomba jibu langu" hakuna mwanamke anasema nimekubali ila vitendo tu utajua, au unavovaa usikute unavaa masuruali ya kipepe kale, au swaga zako hebu jiangalie angalie tena!!!
na katka kuomba jibu huwa natumia neno hili( naomba jibu langu )nitumie mbinu gani mbadala?
kupenda KAKA ni tabu sana; hasa sehem usipopendwa kwa kiwango unachokiwaza
miezi saba??? mi siku saba tu akinizingua namuacha...
Teh watu wanavaa sana tu....Hahaha..hivi kweli nani bado anavaa hizo suruali..nimecheka hapa
Aisee mkeo ulimpataje sasa?
Unacheza dogo,,,,,mi shakaa miaka 2 nafukuzia sembuse siku 210?
Hebu punguza speed ya kumfuatilia kijana. Mkionana muongee mambo mengine tu sio ishu ya kutakana. Punguza ukaribu , kama ulikuwa una tabia ya kumsms au kumcall achana na hayo.
Believe me hata ipite miezi 7 tena ipo siku utamkwangua tu. Ukiendelea kuwa serious naye atakusumbua sana aisee.