Mwezi wa saba sasa hajanikubalia

Mwezi wa saba sasa hajanikubalia

Nilikuwa naangalia tu jamaa wanavyokushauri naona kama wanakupotezea ,sasa chukua ushauri nasaha ,nenda rudi kwake kwa mbio zaidi ya hizo za mwanzo ukimkaribia jifanye kama unajikwaa na kukaribia kuanguka ,halafu mueleze shida yako, kama vile ulivyosema mwanzo...Dada nazidi kukupenda kila miezi inavyozidi kupungua kulikaribia pendo letu....Unaona eei ,si kawaida yake kukwambia bado nakufiria akimaliza tu ,kusema hivyo anza kulia ,tena ulie kwa sauti ,au hujui kulia wewe ? Unalia kwelikweli basi jioni haifiki utamuona huyu kakuzukia ,hapo usiingie kichwa kichwa anaza na wewe kwenda mbio utaona ni jinsi gani na yeye anakufukuzia sijui inaweza kupita mida gani ila ujue mambo yeshaiva. Kwa nini nikakwambia ukimbie inawezekana kabisa keshakuchuna sana na hela huna !
 
Nitumie namba zake nikubembelezee mkuu....haiewezekani akutese mwanaume mwenzangu kwa miezi saba......
dah yaani roho imeniuma sana...
NITUMIE NAMBA ZAKE FASTA NIMKOMESHE....

kweli ww ni Kikulachochako
 
Nilikuwa naangalia tu jamaa wanavyokushauri naona kama wanakupotezea ,sasa chukua ushauri nasaha ,nenda rudi kwake kwa mbio zaidi ya hizo za mwanzo ukimkaribia jifanye kama unajikwaa na kukaribia kuanguka ,halafu mueleze shida yako, kama vile ulivyosema mwanzo...Dada nazidi kukupenda kila miezi inavyozidi kupungua kulikaribia pendo letu....Unaona eei ,si kawaida yake kukwambia bado nakufiria akimaliza tu ,kusema hivyo anza kulia ,tena ulie kwa sauti ,au hujui kulia wewe ? Unalia kwelikweli basi jioni haifiki utamuona huyu kakuzukia ,hapo usiingie kichwa kichwa anaza na wewe kwenda mbio utaona ni jinsi gani na yeye anakufukuzia sijui inaweza kupita mida gani ila ujue mambo yeshaiva. Kwa nini nikakwambia ukimbie inawezekana kabisa keshakuchuna sana na hela huna !

hajanichuna mkuu zaidi ya miatano niliyomnunulia maji
 
inavyoonekana mtoa thread si bingwa wa kut*ngoza...unajua kuna watu wamejaaliwa lugha ya ushawish yani anatongoza leo leo na mchezo unaanza leo leo...
cha mcngi jiulize ajakukubalia je anakujari? anapokea simu zako kwa wakati? au ndo ukimpigia anakata? sms je anajibu? au ndo anakupotezea muda? jaribu kutongoza mademu weng zaidi ili uweze kuzisoma tabia zao...
 
habar wana MUM. kuna binti nimetokea kumpenda sana"Ila tatizo ni kwamba hataki kukubali ombi langu la kuwa na mm'mwezi wa saba sasa umetimia tang nianze kumfuatilia, na kuna wavulana wa kila aina wanamfuatilia ila wanagonga mwamba"tena yy mvulana akiingiia kwa gia y mkwanja hata Namba yke inablokiwa"Mimi kila sku huniambia kuw anifikilia; nifanyeje wadau maana binti nampenda kutoka moyoni; Naomb ushaur wako tafadhali.

Ni hilo tu kutoka kwangu......
 

Attachments

  • 1413313030455.jpg
    1413313030455.jpg
    37.9 KB · Views: 195
Wengine... nyeupe nyekundu njano blue pink kijani ilimradi kila rangi utaiona..ndio anasema yes!

kifupi huwa kunakatatizo, unaweza kuwa na vigezo fulani lakini sio option yake ya kwanza, utasubilia mpaka akikata tamaa ya kule anapoteswa kama wewe unavyoteswa nae ndio unarudiwa kama mshindi na kupakwa mafuta ya kila aina.
 
Impossible, kupenda sio hivi, out of millions umemuona mmoja tu?? Don't be myopic.

Hio ndo definition ya kupenda..out of millions umemuona mmoja....,mim naona unachanganya kupenda na kuwa na mtu wakati huo...naona kama watu humu mmebase kwenye just being with someone na sio love but ukweli ni love is timeless hata wakikaa miaka sita wanafukuzana if it's love then it is love....lakin kama sio love ndo hicho unachosema wewe hakuna haja ya kumbembeleza for that long you simply switch to another girl
 
Hio ndo definition ya kupenda..out of millions umemuona mmoja....,mim naona unachanganya kupenda na kuwa na mtu wakati huo...naona kama watu humu mmebase kwenye just being with someone na sio love but ukweli ni love is timeless hata wakikaa miaka sita wanafukuzana if it's love then it is love....lakin kama sio love ndo hicho unachosema wewe hakuna haja ya kumbembeleza for that long you simply switch to another girl

Power of love by Celline Dion
 
Mwanamke anaekupenda miezi saba mingi Sana angeshaonesha hata dalili denda Na kiss za hapa napale ungekuwa Una piga mkuu. Ila powa endelea uone mwisho wake.
 
habar wana MUM. kuna binti nimetokea kumpenda sana"Ila tatizo ni kwamba hataki kukubali ombi langu la kuwa na mm'mwezi wa saba sasa umetimia tang nianze kumfuatilia, na kuna wavulana wa kila aina wanamfuatilia ila wanagonga mwamba"tena yy mvulana akiingiia kwa gia y mkwanja hata Namba yke inablokiwa"Mimi kila sku huniambia kuw anifikilia; nifanyeje wadau maana binti nampenda kutoka moyoni; Naomb ushaur wako tafadhali.

Unakaribia kukubaliwa usikate tamaa! Kwanza si muda mrefu sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom