Milale
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 494
- 189
- Thread starter
- #21
Itakuwa na yeye anakuzimia ila kuna mambo unabugi meen, either maneno yako usikute unamwambia "naomba jibu langu" hakuna mwanamke anasema nimekubali ila vitendo tu utajua, au unavovaa usikute unavaa masuruali ya kipepe kale, au swaga zako hebu jiangalie angalie tena!!!
nina stress Ila umenifanya niangue kicheko balaa' kwahiyo hawezi kusema kuwa amekubali? mchango wako nitauzingatia sana Dada shukran sana