Hongera sana mkuu,Kumbe inawezekana kwakweli namshukuru sana Mungu kwa sasa simu yangu nimeweza kukaa bila video au picha za ngono now hata watoto naweza kuwapa nyumbani wakachezea.
Dah! Mungu mwema sijui wenzangu mnaweza hali hii kukaa bila picha au video mimi nilikuwa kila nikifuta napata hii asa magroup nimetoka yoteeeee sitaki simu bila picha za ngono inawezekana kabisa.
Yeye miezi minne ameshajiona mjanja wakati kuna wengine kutokana na maadili yao hawajawahi hata kufikiria kuweka hizo takataka tangu wamezaliwa.Hongera sana mkuu,
Kwa upande wangu sijawah eka picha za ngono kwenye cm.
mbona we umejitoa katika hao wengine mkuuYeye miezi minne ameshajiona mjanja wakati kuna wengine kutokana na maadili yao hawajawahi hata kufikiria kuweka hizo takataka tangu wamezaliwa.
Mbona kitambo sana Mkuu.Mkuu imekuwaje ukaokoka..?
Ilikuwaje..?Mbona kitambo sana Mkuu.
Thread 'Tatizo la kuchukia watu bila sababu' Tatizo la kuchukia watu bila sababu
Ariana usipobadili hili utaishia kuona upepo tu. Tena wa nje kwenu. lol
Ulikuwa hauna MB, naona sasa umezipata mpaka umeweza kuingia JF, kesho nitakuona kule 'Kula tunda kimasihara'Kumbe inawezekana kwakweli namshukuru sana Mungu kwa sasa simu yangu nimeweza kukaa bila video au picha za ngono now hata watoto naweza kuwapa nyumbani wakachezea.
Dah! Mungu mwema sijui wenzangu mnaweza hali hii kukaa bila picha au video mimi nilikuwa kila nikifuta napata hii asa magroup nimetoka yoteeeee sitaki simu bila picha za ngono inawezekana kabisa.
Nilikutana na Yesu Mnazareti.Ilikuwaje..?
How..??Nilikutana na Yesu Mnazareti.
How..??
Haijajibu swali langu la how..?!!!Charmilton: Nimemkiri na kumwamini Mungu kama nilivyobatizwa
Wakuu amani ya Mungu, upendo na rehema zake viwe nanyi.Ni furaha kuu kwangu kupata nafasi ya kuungana nanyi hapa jamvini tena. Nipende kuwajulisha wajumbe wenzangu kuwa Mimi CHARMILTON niliyefahamika hapa jukwaani Kama Atheist sipo hivyo tena kwani kwa neema ya Mungu Mimi niliyekuwa nimepotea...www.jamiiforums.com
Hilo ni fumbo la Imani Mkuu.Haijajibu swali langu la how..?!!!
🤣🤣 Hapa ndo shida inapoanziaHilo ni fumbo la Imani Mkuu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hapa ndo shida inapoanzia
Kwani Mungu wakati anaimba simu zilikuwepo?Safi kabisa, kitu ambacho wengi hatujui ni kwamba siku ya kiama hata simu zitatoa ushahidi kwa yale mabaya tunafanya nazo kwa siri,ndio maana ukiokoka unatakiwa uokoke na vyote ulivyonavyo ikiwemo simu.