Mwezi umeonekana Saudia

Mwezi umeonekana Saudia

Naona umekumbuka kukata kiuno vumilia mwezi uandame tz saudia we mwarabu (msingikiuno) ha haaaa
 
BAKWATA C CHOMBO HURU SAUDIA NDO KILA KITU SAWA NA VATICAN KWA WAKATOLIK TENDE MKILETEWA MNAKULA,HIJA MNAKWENDA HUKO,MASOMO YA DINI HUKO,MISAADA YAO MNAPOKEA kwenye mwezi ndo mnakuja misimamo ya ajabu chombo huru redio na TV iman ishatangaza fungulia uckilize takbira naomba unialike kwako hapo kesho kutwa INSHAALLAH NIDABO

Si chombo huru?? Mbona kinaongozwa na Waislam?? Na majuzi tu hapa wamechagua Shekh mkuu au walichagua kwa shinikizo??

Then, kwa nini kabla ya kukua kwa technology mgongano huu haukuwepo! Je, technology inabadilisha baadhi ya vipengele kwenye dini??
 
Hilo ni baraza la Saudi Arabia ndiyo limetangaza na linaheshimika kwao!! Kwa nini waislamu wa Tanzania hawafuati wala kitii baraza lao la BAKWATA??
Mkuu sio wote,Idadi kubwa ya Waislam wa Tanzania wanatii BAKWATA na ndio maana Kesho kutwa utaona jinsi EID inavyokuwa na Umati wa watu.
Hao wengine ni waleee,UAMSHO na Ndugu zao wanaotaka kwa nguvu mahakama ya Kadhi wasiokubali kitabu chao na maamuzi yake,na walee Misimamo Mikali wasiojitambua.

We kwa akili ya kawaida tu hata Jiografia ya Darasa la nne hujui?maana unaweza kusoma kwamba unafuata mkubwa na maandiko mtu anajifanya hajui.
Wakati huo kuna Nchi mwenzi zinauona kabla ya Saudia kwanini Saudi haikubali kuutangaza hadi uonekane nchi mwao?hii ni kwakuwa wanajua kwamba Kila Nchi ina mamlaka yake na ndio itahusika na kuutangaza mwezi kulingana na masafa yake yanayoruhusiwa Kidini
 
Si chombo huru?? Mbona kinaongozwa na Waislam?? Na majuzi tu hapa wamechagua Shekh mkuu au walichagua kwa shinikizo??

Then, kwa nini kabla ya kukua kwa technology mgongano huu haukuwepo! Je, technology inabadilisha baadhi ya vipengele kwenye dini??

Uelewa wako kabla ya teknolojia na LEO hii ni muda gani umekuwa zaid?sasa hivi kusoma Dini ni rahisi kuliko zaman lakin pia mashekhe wazaman walikuwa waadilifu sana LEO hii utaambiwa rais ameshapewa mwaliko wa baraza LA idi bila kuzingatia mwezi utaandama lini.sasa rais hawez kubadili ratiba kirahisi itabidi tu mzibe masikio hata kama mwez umeonekana ili rais ahudhurie.nmemsikia SHEKHE Mohammed IDD kwamba mwez pia umeonekana kondoa eneo LA pai source redio imaan.Mimi sina imani na bakwata baadhi ya mashekhe wameingiwa sana userikali zaid wakaweka Dini pemben bakwata ndo wametudidimiza hawana maendeleo labda maulidi ya kata wilaya na taifa ila tuko pamoja ndugu yangu yote khet
 
Very simple logic, saudia na Tanzania we're on the same longitude 45E, inawezekana kweli wao kuwa one day ahead of Tanzania? Logically is impossible! !! Kwanza dunia nzima hamna sehemu zinazotofautiana siku nzima haipo! !! Sie tuendelee tu kujifariji ila ukweli ndo huo tarehe no moja dunia nzima ila tunatofautiana kuianza na kuimaliza! !
 
Mkuu sio wote,Idadi kubwa ya Waislam wa Tanzania wanatii BAKWATA na ndio maana Kesho kutwa utaona jinsi EID inavyokuwa na Umati wa watu.
Hao wengine ni waleee,UAMSHO na Ndugu zao wanaotaka kwa nguvu mahakama ya Kadhi wasiokubali kitabu chao na maamuzi yake,na walee Misimamo Mikali wasiojitambua.

We kwa akili ya kawaida tu hata Jiografia ya Darasa la nne hujui?maana unaweza kusoma kwamba unafuata mkubwa na maandiko mtu anajifanya hajui.
Wakati huo kuna Nchi mwenzi zinauona kabla ya Saudia kwanini Saudi haikubali kuutangaza hadi uonekane nchi mwao?hii ni kwakuwa wanajua kwamba Kila Nchi ina mamlaka yake na ndio itahusika na kuutangaza mwezi kulingana na masafa yake yanayoruhusiwa Kidini

Unaweza kuja na mifano nchi ambazo zinaweza kuona mwezi kabla ya Saudia? Maana jiografia ya Saudia no way Tanzania mkauona mwezi kisha wao wasiuone. Hebu fikiria mwaka huu huko Tanzania maghrb huingia around 18:24 wakati Maka ni around 19:10 na Madina zaidi ya hapo ingawa maka na Madina ziko relatively east than Tanzania lakini time zone moja.

Implication yake nini? Wakati nyie huko saa 2 usiku na mwezi kuwa almost down/umezama, saudia ndio kama kiza kinachanganya hivyo ji rahisi kuuona mwezi. Nchi nyingine za Europe au far Asia ndio usiseme, hawawezi kuuona kwa urshisi. Haikuwa bahati mbaya kwa Mwenyezimungu kuiweka saudia kama kitovu cha uislam na kibla cha waislam-kuna hekma nyingi mojawapo ni hiyo geographical location.
 
Na huku Chunya nauona uleeee,kesho kitimoto itanikoma!!!
 
Safi mkuu
Mwezi wa Saudia unahusu nini huku,wakati hata muda hatuko sawa.
Na wakati huohuo Saudia na Mamlaka yao wao hawakubali mwezi kuonekana kokote Zaidi ya kwao ndio waukubali.Sasa sujui hawa wengine kiherehere cha nini.

Umevimbiwa urojo wewe mzenji, acha kumdhalilisha mwalimu wako wa jiografia kama ulisoma. Aliyekudanganya Saudia na Tz tumepishana muda(masaa) ni nani?
 
Sisi tunasubiri tutangaziwe na BAKWATA au tuuone kwa macho yetu ndio tu deklee sikukuu.
Hata hivyo usipoonekana leo kuna uwezekano mkubwa sana ukaonekana kesho.

Mkuu vipofu wakiingia kwenye mgomo wa kufunga ama kufungua utasemaje? Ifike mahali tuamini waislamu wenzetu
 
Unaweza kuja mifano nchi ambazo zinaweza kuona mwezi kabla ya Saudia? Maana jiografia ya Saudia no way Tanzania mkauona mwezi kisha wao wasiuone. Hebu fikiria mwaka huu huko Tanzania maghrb huingia around 18:24 wakati Maka ni around 19:10 na Madina zaidi ya hapo.

Implication yake nini? Wakati nyie huko saa 2 usiku na mwezi kuwa almost down/umezama, saudia ndio kama kiza kinachanganya hivyo ji rahisi kuuona mwezi. Nchi nyingine za Europe au far Asia ndio usiseme, hawawezi kuuona kwa urshisi. Haikuwa bahati mbaya kwa Mwenyezimungu kuiweka saudia kama kitovu cha uislam na kibla cha waislam-kuna hekma nyingi mojawapo ni hiyo geographical location. ilivyo.

Kesho sikiliza BBC utajua kwamba nchi nyingi dunian zinasheherekea kesho in wabinafsi wachache watasheherekea jumamos
 
1437074062080.jpg kula kesho lazima upande wangu
 
Back
Top Bottom