Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Burkina Faso ikiwa chini ya Ibrahim Traoré kwa mpito umepitisha muswada wa marekebisho ya Katiba na hivyo kutangaza lugha zao za ndani kuwa lugha rasmi badala ya Kifaransa ambayo sasa imeshushwa hadhi kuwa "Lugha ya kazi".
"Katika rasimu hii, lazima tukumbuke kuwa lugha za kitaifa zimeainishwa kama lugha rasmi huku Kifaransa kikiendelea kuwa 'lugha ya kazi'," Bayala alieleza.
Rasimu inajumuisha marekebisho yanayojumuisha kupanua nguvu za Baraza la Katiba na kusajili wale ambao sio majaji katika Baraza Kuu la Mahakama, alisema waziri. Hii itaruhusu serikali kujitenga na urithi wake wa ukoloni, wakati inaimarisha uhuru wake na utambulisho wa kitamaduni, kulingana na La Nouvelle Tribune.
Kulingana na Bayala, uamuzi huo ni sehemu ya mradi wa kuboresha katiba ya mamlaka ya kijeshi, ambayo ilichukua udhibiti baada ya mapinduzi ya kijeshi mwishoni mwa Septemba 2022. Mwezi wa Agosti mwaka huu, walikataa makubaliano ya kodi mara mbili kutoka Ufaransa.
Mabadiliko kwenye katiba ya Burkina Faso yamezipa hadhi rasmi lugha za kienyeji, huku wakiondoa Kifaransa na kuiweka kama 'lugha ya kazi', yalipitishwa na Baraza la Mawaziri la nchi hiyo siku ya Jumatano tar 6 Disemba, 2023
Waziri wa Sheria na Haki za Binadamu, Edasso Rodrigue Bayala, alitangaza mabadiliko kuhusu hadhi ya lugha katika koloni la zamani la Kifaransa
Ikumbukwe kuwa Julai 22, 2023 Mali, ambayo pia ina uhusiano mbaya na Ufaransa, ilibadilisha Katiba yake kupitia kura ya maoni na kutoa hatima sawa kwenye lugha ya Kifaransa.
====
An amendment to Burkina Faso’s constitution granting local languages official status, while dropping French and making it a so-called 'working language', was approved by the state's Council of Ministers on Wednesday.
Minister of justice and human rights, Edasso Rodrigue Bayala, announced the changes regarding the status of languages in the former French colony.
“In this draft text, we must note the institutionalization of national languages as official languages while French remains a working language,” Bayala explained.
The draft contains reforms that include expanding the Constitutional Council’s powers, and the admission of non-magistrates to the Supreme Council of the Judiciary, the minister said. This will allow the state to distance itself from its colonial legacy, while strengthening its sovereignty and cultural identity, according to La Nouvelle Tribune.
According to Bayala, the decision is part of a project to update the constitution of the military authorities, which took control following a coup d’état in late September 2022. In August this year, they renounced the country’s double taxation agreement with France.
On July 22, Mali also passed a new constitution giving the country’s local languages official status, while dropping French as an official language. Morocco is currently undergoing education reforms that favor the use of English, and Algeria has made Arabic its official language, with French gradually being replaced.
Africa