hilo ni baraza la saudi arabia ndiyo limetangaza na linaheshimika kwao!! Kwa nini waislamu wa tanzania hawafuati wala kitii baraza lao la bakwata??
Lakini hiyo mahakama ya Saudia mbona imesema mwezi haujaandama jioni hii, ila wao leo ndo wanakamilisha siku 30 za mwezi Shaa'ban (1436 A.H) kwa mujibu wa Hadithi za Mtume Mohamed S.A.W? Hii nilikuwa siijui, kumbe wanatumia hadithi kufungua Ramadhan?
ban inakusubiri kwa kuweka link za uchafubaraza la mahakama kuu yasaudia imetanganga kuonekana mwezi na kesho ni sikukuu.
Takabbala allaahu minna waminkum
Ramadhaan 1436 â High Judiciary Council of Saudi Arabia | Fatwa-Online | eFatwa
Nimesoma kwenye link yao ya Mahakama kuu ya Saudia?uliangalia tv gani ??
nitafute mwanamke wa kujipongeza.
acheni kuchezea imani za watu
Nimesoma kwenye link yao ya Mahakama kuu ya Saudia?
Hilo ni baraza la Saudi Arabia ndiyo limetangaza na linaheshimika kwao!! Kwa nini waislamu wa Tanzania hawafuati wala kitii baraza lao la BAKWATA??
Baraza la Mahakama kuu yasaudia imetanganga kuonekana mwezi na kesho ni sikukuu.
Takabbala Allaahu Minna Waminkum
Ramadhaan 1436 â High Judiciary Council of Saudi Arabia | Fatwa-Online | eFatwa
Siyo bakwata waliotuamuru tufunge kwa kuona mwezi na tufungue kwa kuona mwezi ni Qur'ani na suna tuache ushabiki ktk ibada
Safi mkuuSisi tunasubiri tutangaziwe na BAKWATA au tuuone kwa macho yetu ndio tu deklee sikukuu.
Hata hivyo usipoonekana leo kuna uwezekano mkubwa sana ukaonekana kesho.