STREET SMART
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 845
- 690
Leo ni mwezi shawal tarehe moja, mwezi wa ramadhani uliisha jana. Mnaoeendelea kufunga Leo mjue mnaafunga nje ya mwezi wa ramadhani.
Sijui kama unajua unachokiandika, umetawaliwa na jazba tu masikini. Hivi ulisoma somo la geography kweli? Hebu rudi ukaangalie tena suala la MUDA.
Inaonekana hata television za Saudia huwa haangalii. Maana hatujapishana hata dakika 1.
Eid Mubarak
Kumbe bibie mtundu!!!!!!!!!!!!!!!!
Umekosea hawasemagi hivyo wenzio.....
Mbona umefurahi sana
Uelewa wako kabla ya teknolojia na LEO hii ni muda gani umekuwa zaid?sasa hivi kusoma Dini ni rahisi kuliko zaman lakin pia mashekhe wazaman walikuwa waadilifu sana LEO hii utaambiwa rais ameshapewa mwaliko wa baraza LA idi bila kuzingatia mwezi utaandama lini.sasa rais hawez kubadili ratiba kirahisi itabidi tu mzibe masikio hata kama mwez umeonekana ili rais ahudhurie.nmemsikia SHEKHE Mohammed IDD kwamba mwez pia umeonekana kondoa eneo LA pai source redio imaan.Mimi sina imani na bakwata baadhi ya mashekhe wameingiwa sana userikali zaid wakaweka Dini pemben bakwata ndo wametudidimiza hawana maendeleo labda maulidi ya kata wilaya na taifa ila tuko pamoja ndugu yangu yote khet
BAKWATA haijaasisiwa na Waislamu, sasa kwanini waisikilize?
Very simple logic, saudia na Tanzania we're on the same longitude 45E, inawezekana kweli wao kuwa one day ahead of Tanzania? Logically is impossible! !! Kwanza dunia nzima hamna sehemu zinazotofautiana siku nzima haipo! !! Sie tuendelee tu kujifariji ila ukweli ndo huo tarehe no moja dunia nzima ila tunatofautiana kuianza na kuimaliza! !
Inaonekana hata television za Saudia huwa haangalii. Maana hatujapishana hata dakika 1.
Eid Mubarak
Taratibu Mkuu Kipilipili, ni kweli sie na Saudi tuko time zone moja lakini muda wa sunrise na sunset hutofautina kufuata latitude kutegemea majira ya mwaka na position ya jua wakati huo; northern or southern hemisphere.
Unaekula leo unakula ndani ya ramadhani
Kukusaidia wewe na Wenzio tafuta mzoefu atakuambia kwamba hata Arusha tu hapo,kuna minutes wamepishana na Dar.Inahitajika shule ya Zaida hapo kujua hili.Sijui kama unajua unachokiandika, umetawaliwa na jazba tu masikini. Hivi ulisoma somo la geography kweli? Hebu rudi ukaangalie tena suala la MUDA.