Mwenzangu amepata kazi Tanzania

Mwenzangu amepata kazi Tanzania



1. Kweli maisha magumu.
Yaani uje Tanzania kutokea wapi ili ulipwe 400k?

2. Tufanye kwake inamaslahi kwake.
Hiyo kazi ipo wapi(eneo gani) ili apewe location kwa Dar itakayoendana na 400k apate na Saving.

3. Amesema wahindi(kwa mhindi) Hawa bases zao ni Upanga, Kariakoo, Osterbay na Masaki.

4. Tuchukulie kwa bases hizo ndio eneo la Kazi.

5. Akae Magomeni chumba sebule kisichozidi elfu 80. Chumba cha giza. Au kama kina umeme kisizidi 80k

6. Hesabu ya Kodi 80k
Nauli. 50k
Chakula aende Tandale au mabibo. Achukue mzigo wa 120k kwa mwezi inatosha.

Bills za home kama taka, maji, umeme 30k

Akiba 50k
Others 50k
Watoto nauli 30k
 
1. Kweli maisha magumu.
Yaani uje Tanzania kutokea wapi ili ulipwe 400k?

2. Tufanye kwake inamaslahi kwake.
Hiyo kazi ipo wapi(eneo gani) ili apewe location kwa Dar itakayoendana na 400k apate na Saving.

3. Amesema wahindi(kwa mhindi) Hawa bases zao ni Upanga, Kariakoo, Osterbay na Masaki.

4. Tuchukulie kwa bases hizo ndio eneo la Kazi.

5. Akae Magomeni chumba sebule kisichozidi elfu 80. Chumba cha giza. Au kama kina umeme kisizidi 80k

6. Hesabu ya Kodi 80k
Nauli. 50k
Chakula aende Tandale au mabibo. Achukue mzigo wa 120k kwa mwezi inatosha.

Bills za home kama taka, maji, umeme 30k

Akiba 50k
Others 50k
Watoto nauli 30k
Dah noma sana
 
1. Kweli maisha magumu.
Yaani uje Tanzania kutokea wapi ili ulipwe 400k?

2. Tufanye kwake inamaslahi kwake.
Hiyo kazi ipo wapi(eneo gani) ili apewe location kwa Dar itakayoendana na 400k apate na Saving.

3. Amesema wahindi(kwa mhindi) Hawa bases zao ni Upanga, Kariakoo, Osterbay na Masaki.

4. Tuchukulie kwa bases hizo ndio eneo la Kazi.

5. Akae Magomeni chumba sebule kisichozidi elfu 80. Chumba cha giza. Au kama kina umeme kisizidi 80k

6. Hesabu ya Kodi 80k
Nauli. 50k
Chakula aende Tandale au mabibo. Achukue mzigo wa 120k kwa mwezi inatosha.

Bills za home kama taka, maji, umeme 30k

Akiba 50k
Others 50k
Watoto nauli 30k
Huo mshahara wa beki 3
 
Back
Top Bottom