Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,061
- 79,418
Hiyo hela uloweka hapa ni nauli ya dar kwenda na kurudi kazini, chakula cha mchana kazini, maji ya kunywa kazini pamoja na pango . Hapo familia hakuna
Watu wanalipwa chini ya hiyo na wanafamilia tena labda nikuambie nusu ya unaowaona huko njiani pato lao halifiki hiyo pesa