Mwenyekiti wa UWT Arusha ajiunga CHADEMA leo

Mwenyekiti wa UWT Arusha ajiunga CHADEMA leo

Kwa iyo bado kuna haja ya kampeni za ubunge? Au tuiombe tume imtangaze Lema mbunge maana hamna namna!!

Ni kwasabu tu kuwa ni sheria vinginevyo angefanya hivyo...
 
Ccm kama yatima arusha kweli opereshen deleted futa Kabisa maccm arusha umefanikisha kwa 99.5%
 
CCM ya kuelekea 2020!
Ataondoka mmoja na wata rudi mamia na maelfu!!!
Fisadi mkuu yuko huko lazima fisadi watoto wamfuate!!
 
Anayedharau ni sawa na mgonjwa ambaye hajui ugonjwa naougua na mda mfupi tu utamuua, ccm bado iko ICU ila wanufaika na mashabiki wamefunga vitambaa usoni na kuziba masikio, ili kuikomboa ni lazima ijitenge na serekali, na Magufuli apeleke mikataba ya madini,mafuta na gesi, ajira na kazi, pamoja na kodi kwenye kamati za bunge ili kujenga taasisi imara ambazo hazifungamani na ccm, hii itaikoa ccm na magufuli. na hii si rahisi kwao kufanya kwani wenye chama wanapigia pesa hapo.kiongozi mwenye maono ya kujenga Taifa imara kiuchumi,kisiasa na kijamii avunje maslahi ya viongozi wa chama na familia zao ili nchi iokoke bila hivyo ni ngojera na maigizo tu tutashuhudia.

Maoni huru na murua na nayaunga mkono 100%
 
sinema za lema! akiamini itamsaidia kushinda! hiitabia ya kuwa nunua watu waachieni Ccm! vinginevyo hamtapata jumbo hilo
 
Mimi mwenyewe nina mpango wa kuhama chadema nakuhamia ccm rais nilie kuwa namtaka nikama magufuli bado mwezi mmoja mwingine nihakikishe kasi yake hapa kazi tu

Haraka umechelewa kwani wa kikombero cha babu mko wengi ss kazi yetu moja tu kwa sasa kuisimamia serikali tuna subiri milion 50 kila kijiji nchi ya viwanda na emengine mengi
 
Wakati maigizo ya bandari na makontena imekuwa kazi ya Rais,
Mbona hatuambii mikataba ya kifisadi ya. Madini, walioramba ATc na kufilisi viwanda?
 

Attachments

  • 1449395354765.jpg
    1449395354765.jpg
    16.4 KB · Views: 411
Nakuambia wanaanza kukimbia kabla magufuli hajafika kwenye chama maana wasaliti wote out,
 
Hongera Vicky Mollel kwa kujitambua, hakika ubarikiwe sana kwa kutambua kuwa ulipotea, karibu sana huku tuendeleeze mapambano,
 
CCM ya kuelekea 2020!
Ataondoka mmoja na wata rudi mamia na maelfu!!!
Fisadi mkuu yuko huko lazima fisadi watoto wamfuate!!

Kweli nimeamini unapiga geme waache waje maana chadema nikama kanisa au msikiti uwaondolea zambi zao zote wizi uwachwa ccm ndio maana ujaskia alie shitakiwa akiwa chadema
 
Back
Top Bottom