...was savimbi mkombozi too? kamanda, toka, toka uende ukafanye rejea ya historia, kisha rudi tena...ki.
![]()
Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?
- NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?
- KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.
.....marehemu, captain thomas sankara wa bukina faso anaweza kutoa somo zuri, namna kiongozi wa umma,anaeongoza umma, anavyoishi....Willy umeulizwa swali zuri kwa kweli na umepoint kitu cha muhimu sana, labda tu umekosea kulinganisha CDM na Savimbi, CDM wanatakiwa kulifanyia kazi swala hili. CDM waanze kujitofautisha na CCM kwa kutuonyesha kwa mifano jinsi watakavyoweza kubana matumizi ya serikali pindi tukiwakabidhi hii nchi. Tofauti na hapo mwenyekiti anafanya kazi nzuri. Viva mwenyekiti!
Analogy zako zimekosa kabisa maana kama "GDNP per capiter". Hii ni cheap shot against Mbowe tu.ki.
![]()
Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?
- NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?
- KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.
ki.
Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?
- NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?
- KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.
Mkuu,nilishakushauri huko nyuma lakini nadhani umeamua kupuuza ushauri wangu.Ulipata wazo la kuwania kuwawakilisha Watanzaniakupitia ubunge wa EAC.Aidha kwa bahati mbaya au kwa maandalizi duni,ukashindwa.Lakini pamoja na kushindwa,umefanikiwa kutangaza jina lako,na laiti kama una malengo ya siasa huko mbeleni,hapo ulipoishia pangewezakukusaidia sana.
So far,nakuona kama mtu uliyechangayikiwa.Baadhi ya mambo unayoandika hayakusaidii hata chembe.Huun ulikuwa wakati mzuri wa kuongea na kufanya mambo ya busara ili Watanzania watambue kuwa angalau nawe ni miongoni mwa hazina za taifa (kikubwa ni matendo si maneno matupu-especially maneno yenyewe yakiwa hayana mantiki na yametawaliwa na chuki ya KWANINI HUYU NA SI MIE).
Umefanya wazo la maana kuanzisha blogu.Awali nilitarajia mambo kadhaa ya msingi bloguni hapo lakini so far imegeuka uwanja wa kuwatangaza mabinti na udaku.Sir,that's way too low kwa mtu wa calibre yako.Kama signature ya Invisible inavyosema ficha ujinga wako onyesha busara zako.Publicity ni kitu kizuri lakini ikiwa misused inaweza kukuodnoa kabisa hata pale kidogo ulipofikia.
Watanzania wanachohitaji ni ukombozi.Ukiletwa na mtembea kwa miguu,sawa.Ukiletwa kwa mtumia bajaji,sawa.Ukiletwa kwa mtumia kibito,sawa.Na kama mwendesha Vogue atatuletea ukombozi,tatizo lipo wapi?Mbona hukulalamika Nape alipoenda Bukoba kwa ndege?
Japo natambua utapuuza tena-na pengine kukasirika-bado narejea kukushauri ujitahidi kupata muda wa kutosha kupumzisha akili.Siasa za Bongo ni tofauti sana ukiziangalia kutoka nje na kuzilinganisha na hali halisi 'mtaani.' Taratibu zama za kujali "huyu mtoto wafulani"zinaanza kuyoyoma (na mfano wa karibuni sio wewe tu bali hata yalomkuta Sioi huko Arumeru Mashariki).
I hope you'll put common sense in front of emotions
Hivi kweli Savimbi aliyewakata watu mikono na kuwaua, leo hii watu wanamwona role model? Kweli, tembea ujionee.
willy
nashindwa kukuelewa Kabisa, nahisi una issue binafsi na mwenyekiti wa CDM . Hivi ukiwa kiongozi unatakiwa uishi maisha gani? Jasho la Kweli linalipa na kazi hulipa sasa Kama Mbowe Kafanya sherehe Kubwa nyumbani kwake Hilo ni swala binafsi, Kama kachinja mbuzi Mia hilo ni maisha yake binafsi, Kama kaalika marafiki Zake wote Sioni kwa nini uwe na hasira kiasi hicho. Nahisi kuna jambo linakusumbua au una hasira na mafanikio binafsi ya Mbowe. JF ibaki JF bifu zitafutiwe sehemu nyingine.
Siamini kama Willy umefikia kiwango hicho cha kushindwa kuonanisha matumizi mabovu ya fedha za umma na maisha ya mtu binafsi. Hakuna mzazi anataka watoto wake waishi kimasikini awe wawe na mafanikio ya kimasikini. Kama una hoja ilete na uache majungu. Kama unaamini Mwenyekiti wa CDM hawezi kufanya sherehe nyumbani kwake kwa fedha zake tuambie.
Kama unaamini mwenyekiti wa CDM hana uwezo binafsi wa fedha tuambie, zaidi ya hapo ni majungu, wivu, fitina, na ukosefu wa kuanisha matatizo ya mtanzania na ufisadi unaofanywa na watawala wetu wanaokusanya kodi zetu. Vyuo vikuu tunavyojenga na shule tunazopeleka watoto wetu na uchumi tunaotaka kujenga sio wa kumfanya mtanzania mnyonge na omba omba au wa kushangaa watu wakila vizuri au wakiishi maisha bora , tunataka wawe washiriki wa maisha bora na miundu mbinu ya kisasa.
willy
nashindwa kukuelewa Kabila, nahisi una una issue binafsi na mwenyekiti wa CDM . Hivi ukiwa kiongozi unatakiwa uishi maisha gaini? Jasho la Kelli linalipa na kazi helipa sasanqua Kama Mbowe Katanga sherehe Kubwa nyumbani kwake Hilo in swala binafsi, Kama kachina mbuzi Mia halo in maisha yaks binafsi, Kama kaalika marafiki Zane wrote Sioni kwa nini use na hasira kiasi hicho. Nahisi kuna jambo linakusumbua au una hasira na mafanikio binafsi ya Mbowe. JF ibaki JF bifu zits futiwe sehemu nyingine.
ki.
![]()
Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?
- NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?
- KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.
Mkuu haiondoi hoja yake, wala haijajibu hoja yake
kwa swalli hili utakuta wananchi wote wanyonge wanaodanganywa na kupumbazwa watamuunga mkono Willy! na wote utawapima akili!!
Matola changanya akili zako....Hoja ya willy ni ngumu na mbaya sana kwa washabiki wa mageuzi
dalili za mvua ni mawingu, unafikiri Mbowe akiwa rais au waziri mkuu ndio atapiga marufuku matumizi ya magari ya kifahari
Matola mchana wa saa sita tunaona jua! na kamwe hatusemi ule mwezi.....hoja ya willy in other words in ku-alert hata wewe kuwa CDM ina dalili zote za kirusi CCM!!! ikishika madaraka itafanya yale yale ya CCM sasa , na haitakuwa ukombozi bali substitution!!!!
Hata Hayati Nyerere aliyaona hayo mapema sana na ndio maana alipigana mpaka mwisho na akahakikisha bwana Jumanne S. Malecela haingii ikulu.
Endapo J4 angeruhusiwa kuingia ikulu basi ni wazi kuwa Taifa na rasilimali zake zoote kwa sasa zingekuwa chini ya mwarabu.
...was
savimbi mkombozi
too? kamanda, toka, toka uende ukafanye rejea ya historia, kisha rudi
tena...
Heshima kwenu wanajamvi,
Mkuu W J M kauliza swali zuri sana bahati mbaya hapewi majibu ana ambulia kejeli na viroja.Wanajamvi wenzangu tuitendee haki JF kama huna uwezo wa kujibu hoja kaa pembeni magauzi ya kweli yatafanikiwa ikiwa tutakubali kukosolewa na kujisahihisha.
CDM leo ni chama cha upinzani kesho kinaweza kuwa chama tawala mambo yanayotendwa na viongozi wake leo yanatoa mwanga wakipewa dola watatutendea nini !.
Tunapinga kwa nguvu zetu zetu serekali ya CCM iachane na matumizi ya magari ya kifahari bahati mbaya mbadala wa CCM naye anatumia magari ya kifahari ?.