KML
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 861
- 133
wabongo sijui lini tutakua kimawazo,kwani mbowe ana pesa kiasi gani ashindwe kununua ata ndege ya kutembelea mwenyewe??kwani akikaa tu akala maisha nyie mkaendelea kusota kimaisha na magamba yeye anashindwa nini??mnajaribu kutetewa nyie wenye maisha duni baada ya kuunga mkono nyie mnadidimiza,alafu watoa hoja kama hawa ndo unakuta wanamaisha duni kweli yaan,unakaa kudiscus kigali cha mil cjui ngap baada ya kudiscus sera anazotoa!!
ondoa upumbavu wa kimawazo kichwani kwako bana
ondoa upumbavu wa kimawazo kichwani kwako bana