Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

Wabs,

Naomba nitofautiane na wewe mkuu,

Sijasoma vitabu ya Gadhi ila nimeangalia simema, kuna vitu vinaitwa priviledge, kila mmoja ana vyake kutokana na chaguo, wakati, mazingira na morals.... wakati ule penetration ya Gandhi ilikua "kuwa mmoja wao" katika namna ambayo india ilikua na ipo hadi leo, cultural.... tunachoona kwenye dress code ni ndivyo ilivyo hadi leo maeneo core kama Kerala (india)

Nyerere, alivaa kombat, au ngwabi au chon lai, alipanda magari ya kifahari sana kuliko wote wakati ule na hata ukiangalia documentaries za akina Che, Fidel, Lincoln na wengine, bado kuna choices za priviledges ambazo hata akina mfalme daudi, Selemani na hata wanazuoni wa kiislam walikua nazo (hapa namuondoa Osama)

Tukija hata kwenye kalcha yetu......... mswaihi marekani anaeza kununua "rim kabla hata ya gari, bongo pia ananunua gari kabla hata hajajua atalala wapi........ ni tamaduni, na tamaduni hizi zina-associate na power, na power ndio sumaku ya followers, kwahiyo hatuwezi kulinganisha yasiyolinganishika kutokana na themes na context ya mambo na wakati

Leo hii Yesu angekuwepo, si ajabu angeenda saluni kupunguza sharubu, angeenda kwa Maumba kushona Tuxedo na angekua na IPAD

Lets open our eyes na kuangalia what drove our historic leaders to power, respect and infulence

Ukimuangalia dalai Lama unajifunza mengi sana kuhusu priorities na priviledges to influence powers

TIMING.....Power, respect, influence,dictator, money hungry, selfish.......name it

Is this how you are justifying their act? because is 'historical' neh!!

Haiwezekani kabisa nchi maskini kama hii wanaojiita wakombozi watembelee VX!! no justification...watoto wangapi wanakaa chini, hospitali hakuna dawa, watu wanakosa huduma za kijamii...kisa ni 'historical'..kweli?????

Masihi alikuwa mkombozi because he turned down the culture, alibadilisha kila kitu na kuweka misingi upya naam leo ndio jiwe kuu la pembeni, anaitwa mkombozi because new history , new life style, new ideas, new vision..was originated from him!!! he is true revolutionist from our hearts to our lives!!! mwanamapinduzi yeyote ana badili what existing to what was un imaginable and impossible

chadema was supposed to be miles millions far away from CCM!! wangeingia na style ya pengine kutumia gari za bei rais kila mahali...Kenya tu hapo wabunge wao wanatumia gari za bei cheap sana, nenda asia n.k same story

Kubali kuwa mkipenda sana huwa hamuuliziulizi!! mnabaki kusema tuangalie history

Let remind you we are poor!!! kama viongozi hawa wa CCM au chadema wanataka kuishi kama viongozi wa marekani ni dalili ya u-selfish thats why we keep on saying...chadema hata wakishika nchi leo hii...nothing good may comeout from this gangs

sasa issue ndogo tu ya Posho wanashindwa kuacha....twende kulia kushoto, CCM IMECHOKWA, LAKINI kwa kuichoka huko let our sense and common sense lead us!! chadema washike nchi ila dalili hizi na culture hii ni ile iloe ya CCM, TUSISEME??
 
..kiungo kati ya mwanasiasa na wananchi/wapiga kura wake ni IMANI/TRUST, pamoja na ujumbe wa matumaini kwa wale anaowaongoza/anaotaka kuwaongoza.

..ukiona Mbowe anatembelea magari hayo na wanachama wake hawalalamiki ujue ni kwasababu wamemuamini kwamba anafanya na kusimamia yale waliyomtuma.

..CCM wanalalamikiwa na wananchi kuhusu matumizi ya magari ya kifahari kwasababu wananchi hawaridhiki na utendaji kazi wa CCM. hata sasa hivi CCM wakiamua kutumia bajaji bado wananchi wanaweza wasiridhike kutokana na rekodi ya miaka 30+ ya utawala mbovu.

..Mwalimu Nyerere alikuwa anaishi msasani kwenye beach house na wakati mwingine akiendeshwa kwenye benzi ya milango mitatu, Sokoine amefariki akiwa amepakiwa kwenye benzi high class ya wakati huo. wananchi hawakulalamikia matumizi ya Mwalimu na Sokoine kwasababu waliwaamini.

..pia siyo lazima kiongozi awe masikini ili aweze "ku-connect" na wananchi/wapiga kura masikini. JF Kennedy alizaliwa kwenye familia ya kitajiri lakini aliweza kukubaliwa na wapiga kura ambao wengi wao alikuwa amewazidi kiukwasi. Wananchi walimpa kura Kennedy kutokana na ujumbe wake wa matumaini kwa wananchi wote wa Marekani.

..labda unajiuliza kwanini CCM wanaumiwa wanapotanua na ma-VX wakati CDM r given a free pass. Jibu ni kwamba CCM wanachongewa na kuwepo kwao madarakani kwa muda mrefu bila kuwa na chochote cha maana cha kuonyesha, pamoja na masuala ya rushwa na ufisadi vilivyotamalaki ndani ya chama hicho.

Mkuu si fedha za chadema, au wanachama please!!

ni fedha za watanzania wote!!! JK vipi?? cdm hawapati ruzuku??

mbona mna justify hizi issues,CCM wanavyojustify uozo wao kumbe hamna tatizo?

hii double standard ndio nature yetu na ndio matatizo yetu...iko damuni......we are never honest, real!

Fanya financial analysis na evaluation ya taifa hili maskini , calculate the equivalent vehilces that our leader was supposed to use you will not get VX ....never!! unless mnaifanya Tanzania kama USA, na CCM ndio wanaishi hivyo....na wakombozi hivyo hivyo?? this is a joke from you

ni bora kukaa kimya na hii hoja ya willy ipite tu , ife tu natural death, but this is undisputable fact!!
 
NI kweli GC

ila pamoja na hayo, JK alitumia Rolls Royce, BEnzi, Ngege nk za serikali, kirungu, suti nk vyake etc

Ila lazima tukubali pia kwamba William ni total reflection ya Jumanne............ ni wazee wa kukurupuka na kukosa vision

na mimi ni reflection ya nani??

hii hoja mmekamatwa na ndio maana mnaanza personal attack!! duh!!

bora usiwe na fedha lakini kufirisika kwa hoja ni janga
 
Tunapojadili matumizi ya pesa za walipa kodi; ni lazima tuwaangalie viongozi vyama vyote hadithi kama hizi ziliwahi kutokea kwa jirani zetu Zambia wakati wa marehemu Chilluba, wakati ule wengi wao waliona Kaunda hafai na Chilluba alionekana kama ndiye mkombozi wa kweli matokeo yake nadhani wengi mnayajua; tukirudi kwa mh. Mbowe wengi mnashabikia lakini ukweli hizi ni pesa zetu za ruzuku na ndiyo sababu binafsi napinga ruzuku kwa vyama vyote. Wengi mna hamaki kwasababu mtoa mada ni William; hebu jiangalieni kwa undani zaidi je ukombozi huu unaoongelewa ni kwa wote au ni mwenyekiti na kikundi chake? Hebu ulizeni mgawanyo na matumizi ya pesa za ruzuku ni kwa wanachadema wote?

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Tunapojadili matumizi ya pesa za walipa kodi; ni lazima tuwaangalie viongozi vyama vyote hadithi kama hizi ziliwahi kutokea kwa jirani zetu Zambia wakati wa marehemu Chilluba, wakati ule wengi wao waliona Kaunda hafai na Chilluba alionekana kama ndiye mkombozi wa kweli matokeo yake nadhani wengi mnayajua; tukirudi kwa mh. Mbowe wengi mnashabikia lakini ukweli hizi ni pesa zetu za ruzuku na ndiyo sababu binafsi napinga ruzuku kwa vyama vyote. Wengi mna hamaki kwasababu mtoa mada ni William; hebu jiangalieni kwa undani zaidi je ukombozi huu unaoongelewa ni kwa wote au ni mwenyekiti na kikundi chake? Hebu ulizeni mgawanyo na matumizi ya pesa za ruzuku ni kwa wanachadema wote?

Chama
Gongo la Mboto DSM

Mkuu chama, sio zambia tu na kenya ni hivyo hivyo, wanasiasa si watu wa kuwachekea au kuwaamini...you have to monitor them closely, you need to question them, you need to say this is wrong and this is right!

nashangaa na sioni tofauti ya washabiki wa CDM na CCM!! they have same mind, same spirit ,same behaviour na same stupidity!!

You cant love politicians like Jesus or Muhammad! for God sake they are human!! we are human, cant we ask them when something goes wrong??

kwa style hii ufisadi utaisha?? maana acts za viongozi zina reflect even in various institution...zina reflect individuals who are in capacity of mis-using public fund for personal gratification, yet justifiable...kwa majibu ya wana CDM humu, ndio kwanza mmewasha moto wa watu kuendela kuiba!! hold on.!!....read again this... and stay for one minute contemplating what I have just said. You lead we follow!!

Tatizo ni nini kukubali kuwa hili ni makosa na hili ni sahihi?? why we are seducing,raping, suppressing our own dignity???

ushabiki mzigo!! aisee watu bila aibu wanasema 'YES, let them be' CCM tunawapigia kelele mambo hayohayo tunasema 'YES, they have to'

Duh, Willy nadhani umenifanya niifahamu watanzania in another level and dimension..no wonder some says our IQ are low......I may be among them, but better

kwanza nihamie jukwaa la mapenzi tu sasa , wanasiasa na washabiki wao wanaweza kukufanya ujione hujazaliwa tanzania
 
ki.
Margaret__BourkeWhite__Portrait_of_Mahatma_Ghandi.jpg


Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

- NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

- KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


William.
Hayo manyamamuzembe ndo yanakupa mtindio wa akili wewe kubwa jinga, eti kuchelewa kufika uwanjani... Mkt na msafara wake wa viongozi waliingia jangwani saa tisa za jioni na mkutano kabla haijaanza kurushwa live baadhi ya viongozi wa mkoa wa dar, madiwani na makamnda waliojivua gamba kutoka mkoa wa arusha yaani milya, bananga na mawazo walipewa nafas ya kuongea.. Na kama ulikua live itv program ilianza saa kumi kamili , je uchelewaji gani huo unaouzungumzia we kubwa jinga????? Au unataka tu kuonekana umerusha something hapa jamvini??????? Kaka kwa umri ulionao unahitaji kuomba sana bila kuchoka angalau Mwenyezi Mungu akupe 0.1% tu ya HEKIMA ili angalau usije ukaishia uzee wa AIBU kama mdingi wako ( tingatinga yazidiwa na bajaji)

Pili bendera zetu zinakuhusu nini??? Unaelewa maana ya bendera wewe???? Hata ukitaka kusajili chama cha kisiasa, Mzee wa usajili ( Tendwa) hakupi usajili adi uambatanishe bendera ya chama husika... Na mbona hupigii kelele bendera zenu za CCM zilivyotundikwa kwenye kila nyumba ya balozi nchi hii bila kujali balozi huyo ana mlo wa siku au hana?????? Cheki ulivyo mnyonge wa kufikiria we mtoto wa kigogo na usiyejijua wewe ni mtoto wa kiume hupaswi kuwa na majungu.

Akishika nchi tegemea mabadiliko na ukombozi Tanzania, yapi sawa na watawala????? Usifananishe utawala wa magamba na utawala wamagwanda plz!!!
Hivi unakumbuka wakati unaomba kura za eac kwa wajumbe wa chadema ulikua unasema "eti nipeni kura niwaumize hawa ccm" yaani baada ya kushinda ungehamia chadema.. Yaani hilo ndo lilikua kosa lako kubwa maana tulishajua uzuzu wako na unafiki ndo maana ulitoswa... Waliona kheri ukose ubunge kuliko ushinde halafu uhamie chadema kama ulivyoahidi na mwisho utuharibie chama ajili ya uzembe wako wa kufikiri....

Mwisho, bunge liliopita ulisumbua sana kwa kuomba wabunge vijisenti vyao vya posho pale dom hotel, hivi dingi wako si bado analipwa marupurupu ya uwaziri mkuu na mama ndo bado mbunge na unakaa kwao bado hadi sasa, acha kuitia aibu familia ya huyu former prime minister bana!!!!!
 
Mkuu si fedha za chadema, au wanachama please!!

ni fedha za watanzania wote!!! JK vipi?? cdm hawapati ruzuku??

mbona mna justify hizi issues,CCM wanavyojustify uozo wao kumbe hamna tatizo?

hii double standard ndio nature yetu na ndio matatizo yetu...iko damuni......we are never honest, real!

Fanya financial analysis na evaluation ya taifa hili maskini , calculate the equivalent vehilces that our leader was supposed to use you will not get VX ....never!! unless mnaifanya Tanzania kama USA, na CCM ndio wanaishi hivyo....na wakombozi hivyo hivyo?? this is a joke from you

ni bora kukaa kimya na hii hoja ya willy ipite tu , ife tu natural death, but this is undisputable fact!!

Waberoya,

..hakuna mahali ambapo nime-justify.

..mimi nimeeleza tu ni kwanini hali iko kama ilivyo.

..nimeeleza kwanini cdm wanaendelea kuvuna wanachama pamoja na kwamba wapo viongozi wa cdm wanaoishi kifahari.
 
Mkuu unataka mbowe na vijana tuingie msituni?tangu mbowe kawa mkiti cdm ufisadi kiasi gani kapambana nao?list ya mwembeyanga unaikumbuka?huna kazi nissan umenunuaje?
 
Willy umeulizwa swali zuri kwa kweli na umepoint kitu cha muhimu sana, labda tu umekosea kulinganisha CDM na Savimbi, CDM wanatakiwa kulifanyia kazi swala hili. CDM waanze kujitofautisha na CCM kwa kutuonyesha kwa mifano jinsi watakavyoweza kubana matumizi ya serikali pindi tukiwakabidhi hii nchi. Tofauti na hapo mwenyekiti anafanya kazi nzuri. Viva mwenyekiti!

Ni hivi Mwasi, hiyo gari ya mh mbowe haijatokana na kodi za wananchi.. Tunachopigia kelele sisi ni kodi za wananchi kutumika kufanya matumizi ya anasa kama kununua hayomagari ya kifahari na mh mbowe hajaanza kutumia hilo gari wakati kawa mbunge but analo kabalahajaanza hata mchakato wa kugombea huo ubunge 2010, OVER!!!!!!
 
- Savimbi na Chadema lengo ni moja nyakati mbali mbali inaeleweka, lakini lengo ni lile lile kuwakomboa wananchi, sasa iweje mkombozi mmoja anaishi kwenye nyumba ya majani mwingine anaishi kifahario na kuendeshwa kwenye magari ya kifahari?

- Siamini kwamba kuna mahali wanakutuma kuja hapa kujibu, jirekebisheni! picha za Mwenyekiti wenu akiingia kifahari Jangwani na migari mikubwa kubw ana wasaidizi kushoto na kulia mmeweka wenyewe bila kujua mnachokifanya sasa mnalia lia nini?


William.
Ndio maana hata mkeo kakukimbia, kwaukubwa jinga huo huna atakayekuvumilia
 
Hayo manyamamuzembe ndo yanakupa mtindio wa akili wewe kubwa jinga, eti kuchelewa kufika uwanjani... Mkt na msafara wake wa viongozi waliingia jangwani saa tisa za jioni na mkutano kabla haijaanza kurushwa live baadhi ya viongozi wa mkoa wa dar, madiwani na makamnda waliojivua gamba kutoka mkoa wa arusha yaani milya, bananga na mawazo walipewa nafas ya kuongea.. Na kama ulikua live itv program ilianza saa kumi kamili , je uchelewaji gani huo unaouzungumzia we kubwa jinga????? Au unataka tu kuonekana umerusha something hapa jamvini??????? Kaka kwa umri ulionao unahitaji kuomba sana bila kuchoka angalau Mwenyezi Mungu akupe 0.1% tu ya HEKIMA ili angalau usije ukaishia uzee wa AIBU kama mdingi wako ( tingatinga yazidiwa na bajaji)

Pili bendera zetu zinakuhusu nini??? Unaelewa maana ya bendera wewe???? Hata ukitaka kusajili chama cha kisiasa, Mzee wa usajili ( Tendwa) hakupi usajili adi uambatanishe bendera ya chama husika... Na mbona hupigii kelele bendera zenu za CCM zilivyotundikwa kwenye kila nyumba ya balozi nchi hii bila kujali balozi huyo ana mlo wa siku au hana?????? Cheki ulivyo mnyonge wa kufikiria we mtoto wa kigogo na usiyejijua wewe ni mtoto wa kiume hupaswi kuwa na majungu.

Akishika nchi tegemea mabadiliko na ukombozi Tanzania, yapi sawa na watawala????? Usifananishe utawala wa magamba na utawala wamagwanda plz!!!
Hivi unakumbuka wakati unaomba kura za eac kwa wajumbe wa chadema ulikua unasema "eti nipeni kura niwaumize hawa ccm" yaani baada ya kushinda ungehamia chadema.. Yaani hilo ndo lilikua kosa lako kubwa maana tulishajua uzuzu wako na unafiki ndo maana ulitoswa... Waliona kheri ukose ubunge kuliko ushinde halafu uhamie chadema kama ulivyoahidi na mwisho utuharibie chama ajili ya uzembe wako wa kufikiri....

Mwisho, bunge liliopita ulisumbua sana kwa kuomba wabunge vijisenti vyao vya posho pale dom hotel, hivi dingi wako si bado analipwa marupurupu ya uwaziri mkuu na mama ndo bado mbunge na unakaa kwao bado hadi sasa, acha kuitia aibu familia ya huyu former prime minister bana!!!!!

You see here what I have just said in my previous post!! this is another creature anavaa sketi au suruali, anaenda kanisani na anaishi kama binadamu mwingine yeyote, but he/she have nothing good to offer to other people of this planet. kuna tofauti gani ya hii post na kama umfundishe chimpanzee wa michael jackson kuandika kwa kutumia keyboard

let me be honesty, kwa post hii wewe msomaji unaweza kujifunza kitu gani na brain yako ikawa galvanised,moralised au inspired to what extent!! mna bahati sana mm sio MOD
 
...was savimbi mkombozi too? kamanda, toka, toka uende ukafanye rejea ya historia, kisha rudi tena...

Mkuu umsolopagaz Savimbi alikuwa mkombozi. Rudi kwenye historia mkuu siyo propaganda za Kijamaa na Kibepari. UNITA ilikuwa ndio imeshika eneo kubwa la Angola ikawa imebakiza Luanda. Wareno wakaona Savimbi amewabana wakakimbia na kumwachia mji Mkuu Augustino Neto na MPLA yake.
 
Last edited by a moderator:
- Mbowe is my good friend, ila kwenye taifa hatuna urafiki nazungumzia nasa na ufahari kwa wakombozi huwa ni mwiko, wewe unazungumzima nini sijakuelewa?

William
Eti mbowe is my good friend!!!! Na MAlecela is ur daddy... Sijui nani yupo closest to tell the truth kama kweli una huruma na taifa lako.... Acha upashkuna Willy
 
Waberoya,

..hakuna mahali ambapo nime-justify.

..mimi nimeeleza tu ni kwanini hali iko kama ilivyo.

..nimeeleza kwanini cdm wanaendelea kuvuna wanachama pamoja na kwamba wapo viongozi wa cdm wanaoishi kifahari.

CCM can justify all what they are doing simply kwa sababu society iko kimya, ha-riot.........mbona malawi mkate ulipanda bei wananchi waligoma??

jibu lake ni our 'society is sick'

sick of believing everything, trusting anybodu, hating somebody, etc!

ndio maana akina lowassa , chenge, rostam walipendwa na wanapendwa na watu wao

ndio maana pamoja na tuhuma za mwingira, kakobe na lwakatare bado wana waumini wengi tu!
ndio maana kibwetere aliwachoma wenzake moto, yes wale waumini si walikubali wenyewe!

wabunge wangapi na mwaziri ni wezi na bado wananchi wao wanawapenda??

mikutano mingapi ya ccm unaona watu maelfu, na ukiwaona maisha yao wamechoka sana na source ya matatizo yao ni CCM?? jibu lake ni our society is sick!!
 
- Mbowe is my good friend, ila kwenye taifa hatuna urafiki nazungumzia nasa na ufahari kwa wakombozi huwa ni mwiko, wewe unazungumzima nini sijakuelewa?

William

Samahani Willy kama hutajali una umri gani???
Nauliza hilo swali kwani Tanzania imekwama kuendelea kwa sababu wazee wetu wana mawazo na fikra mgando kwa sababu tu wameishi maisha ya tabu wanafikiri tabu, wanaiba na kutesa hata watoto waliozaa kwani hawaamini au hawajui maisha bora.

Siamini kwa kiongozi kuishi kimaskini ili kuzuga wananchi. Siamini kwa kiongozi mnafiki. Unafiki ndio unaimaliza serikali ndio chanzo kikubwa cha uhujumu, ufisadi na uzembe. Unahaki kuwa na fikra falsafa na mtazomo unaoumini ndio maana kuna mrengo wa kati, kushoto kulia juu na chini.

Ningefurahi sana kama ungeniambia umri wako ili tuweze kuelewana vizuri kaka yangu.
 
View attachment 54787


- Mkuu tizama nyumba aliyokuwa anaishi Savimbi!, huyo ni msaidizi amekuja kuchukua ujumbe tu, sio ma-vx8, mabendera, madereva tizama ukombozi hapo ndio maisha yake hayo juu, umemuona savimbi hapo mwenye kombati!


William.
acha ujuha unajua Savimbi alivyokufa aliacha kiasi gani kwenye account zake oveseas? na je unajua alikutwa na bastola iliyotengenezwa kwa dhahabu 100% na isitoshe huyo Savimbi anaonekana vijijini hapo kwas sababu alikuwa anapigana vita vya msituni vya kuhama hama kwa hiyo wakati nwingine nyumba ya nyasi was a safe hidding for him than a brick house! Tatizo lako machungu ya kukosa ubunge EA bado yanakukwaza na cha ajabu hawa CHADEMA unaowaongelea kinafki ndo hao hao ulitegemea wakuunge mkono! Kama walijua wakakutoselea mbali bweha wee.....!
 
You see here what I have just said in my previous post!! this is another creature anavaa sketi au suruali, anaenda kanisani na anaishi kama binadamu mwingine yeyote, but he/she have nothing good to offer to other people of this planet. kuna tofauti gani ya hii post na kama umfundishe chimpanzee wa michael jackson kuandika kwa kutumia keyboard

let me be honesty, kwa post hii wewe msomaji unaweza kujifunza kitu gani na brain yako ikawa galvanised,moralised au inspired to what extent!! mna bahati sana mm sio MOD

Hivi wewe ndo unamfuata willy kwenye uzao wenu?????
 
Nilikuwa sifahamu Kwamba Willy ni kilaza wa uzito huu. Unajua hayo ma Vx ni old model ambayo hata mtu wa kawaida tu anayo na isitoshe huwezi ukamfananisha Mbabe wa vita Savimbi na Mbowe. Hili jamaa kumbe kubwa jinga hivi.

hATA mZEE WAKE ANAMZIDI UJANJA
 
ki.
Margaret__BourkeWhite__Portrait_of_Mahatma_Ghandi.jpg


Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

- NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

- KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


William.
Unashindwa kutofautisha mali ya mtu binafsi na mali ya umma!
Kwa hiyo Mbowe anavyomiliki Night Club akiwa Rais ikulu igeuzwe Night Club.
Haya mambo yanatawaliwa na taratibu na sera za nchi na ndiyo maana tunadai Katiba mpya itakayotoa mwongozo wa kiongozi wetu aweje? sio mtu binafsi kutafuta ufahari baada ya kupata Madaraka kwa kutumia pesa za umma.

Kidogo nisahau hii ni moja thread unazodai kuwa
"- Wacha hizo mimi nipo mitandaoni hata kabla hajaingia popote, wacha hizo sitaki kugusa mjadala wenu kwa sababu kwangu ni irelelvant, last time mlisema haya haya akawashinda, kama kawaida mmeanza tena sio worthy ila kwa wasiojua, nilitaka tu kumjibu huyu mtu aliyetumwa hapo juu, lakini sina shida na huu mjadala huwa ninashikiri mijadala serious sio kama huu!

William."
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Mkuu W J M kauliza swali zuri sana bahati mbaya hapewi majibu ana ambulia kejeli na viroja.Wanajamvi wenzangu tuitendee haki JF kama huna uwezo wa kujibu hoja kaa pembeni magauzi ya kweli yatafanikiwa ikiwa tutakubali kukosolewa na kujisahihisha.

CDM leo ni chama cha upinzani kesho kinaweza kuwa chama tawala mambo yanayotendwa na viongozi wake leo yanatoa mwanga wakipewa dola watatutendea nini !.

Tunapinga kwa nguvu zetu zetu serekali ya CCM iachane na matumizi ya magari ya kifahari bahati mbaya mbadala wa CCM naye anatumia magari ya kifahari ?.



.....kweli mkuu hakuna aliyejibu hoja hata mmoja wanabakia na porojo tu
 
Back
Top Bottom