Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Haya matawi sasa ni too much!
Chadema kwa nini mnajikita nje ya nchi kuliko Tanzania sasa mnakwenda kufungua tawi Marekani siku ya sensa Tanzania huu kweli ni uzalendo.
Chadema kwa nini mnajikita nje ya nchi kuliko Tanzania sasa mnakwenda kufungua tawi Marekani siku ya sensa Tanzania huu kweli ni uzalendo.
Chadema kwa nini mnajikita nje ya nchi kuliko Tanzania sasa mnakwenda kufungua tawi Marekani siku ya sensa Tanzania huu kweli ni uzalendo.
Chadema kwa nini mnajikita nje ya nchi kuliko Tanzania sasa mnakwenda kufungua tawi Marekani siku ya sensa Tanzania huu kweli ni uzalendo.
Kama ni kweli hili umelisema kutoka moyoni mwako basi CCM ndio vinara wa mtumizi mabaya ya hizo ruzuku, ngoja nikifika nyumbani nikiwa na laptop yangu nitakumwagia hapa orodha ya matawi ya CCM Ughaibuni. Nitafurahi kama utamwambia Kinana asiende Marekani kuzinduwa tawi la CCM Matapeli DMVMh Mbowe asome alama za nyakati washauri wake Lema na Sugu watamfikisha pabaya, kuwafikia watz wengi hususan maeneo ya vijijini bado ni changamoto kwa CDM na uchaguzi ukifika zinaanza kelele za kuchakachuliwa.Sioni faida ya matawi ya Europe na America ni matumizi mabaya ya pesa za ruzuku.
Chadema kwa nini mnajikita nje ya nchi kuliko Tanzania sasa mnakwenda kufungua tawi Marekani siku ya sensa Tanzania huu kweli ni uzalendo.
Ngoja na mimi nisafiri kwenda kuomba msaada wa vyandarua vinavyofaa kwa uvuvi (yaani multipurpose) kule Washington. Sijui nitafanikiwa kurudi kabla ya sensa?Safari njema kamanda mkuu, sauti ya zee, mzee wa anga...We are supporting you, M4C mpaka kieleweke!