Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Tukuwekee ushaidi ukiwa kama nani mijitu mingine sijui inaongelea midomo ipi.huyu mwenyekiti anatakiwa awe makini na maneno yake,kwanza kitendo walichomfanyia mkuu wa wilaya ni udhalilishaji,pili hawana adabu vijana walioenda kumtoa maana nilikuwepo eneo la tukio na hawakumtendea haki kumsikiliza kwani alikuwa akijitetea .tatu mtuwekee ushahidi halisi kuwa alikuwa anapanga kuwaingilia uchaguzi wenu?