Mwenye uzoefu na Marekani msaada nahitaji

Mwenye uzoefu na Marekani msaada nahitaji

Mkuu ukiwa na $1500 Kuna uwezokano wa kuishi Marekani hata kwa wiki maana kuna cheap hotel or guest for one night $40_50_58_60_75_mpaka $100 pia uwezokano waku survive kwa chakula kwa hiyo hiyo $1500 pia kuna zile nyumba za kupanga unakuta mpka $600_500_700_Kwa mwezi m1 tu

Chakula nacho kama
Sandwich $11
Bager 99 nakazalika vyakula vilivyopo huku nchini Marekan hasa ukiwa Marekan mtaa wa wachina I mean street chains

Ahsanten kwa ushauli wako pia
 
Trump ali propose immagration should be based on merit kwa level yako ya form 4 hautafika popote.
 
karibu sana... hapa MIAMI ipo kazi ya kutembeza CHUPI ufukweni..

pia maeneo ya CALIFORNIA...hapa kuna migahawa kibao unaweza ukapata kazi pia katika migahawa ya vyakula vya kiafrika.. sana sana mitaa ya magharibi..


UNA KIPAJI gani kwanza??

alafu swali lingine unamjua TRUMP-ET?
We upo USA yawap?
 
Piga kibiriti hiyo hela. Huna plan ya maisha yako. Dola 1500 ndo inakupa akili ya kwenda USA (sounds like USA RIVER)???
Manake ukiendelea kukaa nayo itakupa akili ya kwenda akhera/mbingu.
 
Piga kibiriti hiyo hela. Huna plan ya maisha yako. Dola 1500 ndo inakupa akili ya kwenda USA (sounds like USA RIVER)???
Manake ukiendelea kukaa nayo itakupa akili ya kwenda akhera/mbingu.
Hata hvy siku!aum kwa sababu uwezo wako wa kufikir umeishia hapo hapo ulipo waza tu congratulations [emoji312] [emoji312] [emoji312] [emoji312]
 
Mkuu ukibaunz utajutia kwanini senti yako umeipiga moto wapetrol
Nakutakia kila la kheri na safari yako
 
Siwezi kumshauri mtu aje Marekani kama hana mpango wa kukaa kihalali muda wote atakapokuwa huku.

Sijawahi kuwa out of legal status Marekani hata kwa sekunde moja. Naona uzuri wa kuwa hivyo.

Na naona watu wanavyohangaika sana kwa sababu hawana legal status.
 
Siwezi kumshauri mtu aje Marekani kama hana mpango wa kukaa kihalali muda wote atakapokuwa huku.

Sijawahi kuwa out if legal status Marekani hata kwa sekunde moja. Naona uzuri wa kuwa hivyo.

Na naona watu wanavyohangaika sanankwa sababu hawana legal status.
Mbali na kwenda kusoma sababu gani nnaweza kutoa ili nipewe visa ya kuja USA kuishi sio kutalii
Elimu yangu diploma,nna biashara zangu zisizonibana bongo hivyo hata nisipokuwepo shughuli zinaendelea?
 
Na kama una umeme hautoweza kuingia huku marekani! Huku marekani tunakaa watu wenye akili timamu tu! Hivyo kama una utapia mlo wa akili baki huko huko vichochoroni kwenu.
 
Mbali na kwenda kusoma sababu gani nnaweza kutoa ili nipewe visa ya kuja USA kuishi sio kutalii
Elimu yangu diploma,nna biashara zangu zisizonibana bongo hivyo hata nisipokuwepo shughuli zinaendelea?
Wamarekani wameweka mambo yao yote wazi kwenye mtandao.

US kuna visaza aina mbili, non-immigrant (kusoma, kutalii, biashara etc kimsingi visa yoyote ile ambayo ni ya kwenda Marekani, lakini unarudi kwenu, si ya kuhamia kimoja)

Halafu kuna "immigrant visa" kwa watu walioamua kuhamisha makazi kuja kuishi US.

Naona swali lako limejikita kwenye hii immigrant visa.

Habari zaidi kuhusu aina tofauti na masharti yake zimeandikwa vizuri katika mitandao ya tovuti za serikali ya Marekani.

Ona hapa The Immigrant Visa Process
 
Wamarekani wameweka mambo yao yote wazi kwenye mtandao.

US kuna visaza aina mbili, non-immigrant (kusoma, kutalii, biashara etc kimsingi visa yoyote ile ambayo ni ya kwenda Marekani, lakini unarudi kwenu, si ya kuhamia kimoja)

Halafu kuna "immigrant visa" kwa watu walioamua kuhamisha makazi kuja kuishi US.

Naona swali lako limejikita kwenye hii immigrant visa.

Habari zaidi kuhusu aina tofauti na masharti yake zimeandikwa vizuri katika mitandao ya tovuti za serikali ya Marekani.

Ona hapa The Immigrant Visa Process
Thanks Mkuu ngoja niipitie
 
Siwezi kumshauri mtu aje Marekani kama hana mpango wa kukaa kihalali muda wote atakapokuwa huku.

Sijawahi kuwa out if legal status Marekani hata kwa sekunde moja. Naona uzuri wa kuwa hivyo.

Na naona watu wanavyohangaika sanankwa sababu hawana legal status.

Upo sahihi mkuu unachotakiwa ni kutoa njia kwa vijana wafanye nini ili wafike huko na kuishi bila kuvunja sheria kama unajua kama haujui tulia tuu watapata njia maana hakuna lisilowezekana wala msiwakatishe tamaa kabisa...
 
Back
Top Bottom