R raslimali JF-Expert Member Nov 4, 2014 1,344 1,013 Jun 15, 2021 #1 Habari wakuu, Nilikuwa na namba za wachambuzi wa muziki Kama Rajab Zomboko, Chacha Maginga lakini bahati mbaya nimefanya reset ya Simu sizioni Tena. Naomba mwenye namba hizo na za wachambuzi wengine naomba anitumie hapa au PM au kwenye 0776655978
Habari wakuu, Nilikuwa na namba za wachambuzi wa muziki Kama Rajab Zomboko, Chacha Maginga lakini bahati mbaya nimefanya reset ya Simu sizioni Tena. Naomba mwenye namba hizo na za wachambuzi wengine naomba anitumie hapa au PM au kwenye 0776655978
Zidani JF-Expert Member Apr 5, 2021 970 3,939 Jun 15, 2021 #2 Nenda kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii utazikuta mkuu
Dumas the terrible JF-Expert Member Jan 20, 2021 4,122 8,372 Jun 15, 2021 #3 Oya mkuu hata humu tupo Mimi naweza nikuchambulie old skool za 70's, 80's, 90's Iwe rythm, rock, havy metal, soul, RnB, artenative, disco funk, Afro beat, Africana, world no Karibu Sana!
Oya mkuu hata humu tupo Mimi naweza nikuchambulie old skool za 70's, 80's, 90's Iwe rythm, rock, havy metal, soul, RnB, artenative, disco funk, Afro beat, Africana, world no Karibu Sana!
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 47,864 41,237 Jun 15, 2021 #4 Unafungua kituo cha tv
Idakolyanzoka Member May 19, 2021 25 70 Jun 15, 2021 #5 mtafute madam rita na baharia salama jabir watakusaidia hao ndo magwiji naowajua.
R raslimali JF-Expert Member Nov 4, 2014 1,344 1,013 Jun 17, 2021 Thread starter #7 Mtoto halali na hela said: Unafungua kituo cha tv Click to expand... Hapana mkuu!