Mwenye namba za wachambuzi wa muziki naomba msaada

raslimali

JF-Expert Member
Nov 4, 2014
1,344
1,013
Habari wakuu,

Nilikuwa na namba za wachambuzi wa muziki Kama Rajab Zomboko, Chacha Maginga lakini bahati mbaya nimefanya reset ya Simu sizioni Tena.

Naomba mwenye namba hizo na za wachambuzi wengine naomba anitumie hapa au PM au kwenye 0776655978
 
Nenda kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii utazikuta mkuu
 
Oya mkuu hata humu tupo Mimi naweza nikuchambulie old skool za 70's, 80's, 90's

Iwe rythm, rock, havy metal, soul, RnB, artenative, disco funk, Afro beat, Africana, world no

Karibu Sana!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…